Natafuta mchumba wa kiume, awe anaishi London

Zanzibar2014

Upendo hauna vigezo, punguza masharti
 
Lakini atapata na ataolewa Mkuu....Mamdogo wangu kafunga harusi mwaka Jana akiwa na 43 .palipo na mwanamke aliyechelewa kuolewa,pana mwanaume pia aliyechelewa kuoa
Asilimia ni ndogo sana kwa wanawake kuolewa katka umri mkubwa kuanzia 35+ na hasa kwa sisi Waafrika.

Huyo ndugu yako ilikuwa bahati yake tu. Katika wanawake 10 wa umri huo ni mmoja 5 tu ndio anaweza olewa ( 1:10). Tena awe na vizuri financially.
 
Dah sifa zote nnazo kasoro kuishi london...Je sisi wa Leeds huku unatufikiria?
 
Mm ni mstaafu lakini bado nina nguvu za kunyandua kwa kasi ya 5G.
Nina taaluma nyingi ikiwemo CPA(T)
Ikikupendeza njoo PM tuyajenge.
 
Nimesoma comment anazoreply mleta uzi daah, wazanzibar mnamajibu yasiyoumiza kwa maswali yanayochefua...Utapata mumee ila utafika umechoka mno, mm nimekosa vigezo vyotee ila nimepanda ustaarabu wako!
 
Ikawe kheri kwako.
Ukipata watatu nigaie mmoja ila awe wa huko London
 
Nakuombea upate hitaji la moyo wako.

Mungu ni mwema
 
Inaonyesha bibie kama kweli upo ng'ambo si mtu wa kujichanganya sana.

Hadi kubeba box hujui maana yake, kweli?
Samahani kwa kweli sikufahamu vizuri. Na Ni kweli muda mwingi niko kazini sio sana kuwa na watu, ahsante saana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…