Lusungo
JF-Expert Member
- Jan 4, 2014
- 28,259
- 41,416
Tuma picha basSawa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tuma picha basSawa
SifaMbona wapo tu mzee? Kwenye Kila wanaume waliochelewa kuoa Basi jua wapo na wanawake waliochelewa kuolewa
Kwenye Kila wanawake waliochelewa kuzaa basi jua pia wapo na wanaume..
Tangazo lake lipo very straight huna sifa pita kushoto.. Hajasema anataka ushauri wa jinsi ya kupata mchumba/mume
Sent from my Infinix PR652B using JamiiForums mobile app
HhhhhmmmmmKama upo serious njoo DM nikuunganishe na mpwa wangu yupo hapo London anafundisha chuo, umri 43 ila sio muislam.
Kipochi manyoyaNitakununulia na wewe mirinda nyeusi baridi ili upoze machungu baada ya watu kucheza na kipochi manyoya
Machungu 😤😤Nitakununulia na wewe mirinda nyeusi baridi ili upoze machungu baada ya watu kucheza na kipochi manyoya
WazeeMbona wapo tu mzee? Kwenye Kila wanaume waliochelewa kuoa Basi jua wapo na wanawake waliochelewa kuolewa
Kwenye Kila wanawake waliochelewa kuzaa basi jua pia wapo na wanaume..
Tangazo lake lipo very straight huna sifa pita kushoto.. Hajasema anataka ushauri wa jinsi ya kupata mchumba/mume
Sent from my Infinix PR652B using JamiiForums mobile app
Samahani nimejibu kwa kukosea sio yangu mimiNitakununulia na wewe mirinda nyeusi baridi ili upoze machungu baada ya watu kucheza na kipochi manyoya
Ahsante saaaanaMbona wapo tu mzee? Kwenye Kila wanaume waliochelewa kuoa Basi jua wapo na wanawake waliochelewa kuolewa
Kwenye Kila wanawake waliochelewa kuzaa basi jua pia wapo na wanaume..
Tangazo lake lipo very straight huna sifa pita kushoto.. Hajasema anataka ushauri wa jinsi ya kupata mchumba/mume
Sent from my Infinix PR652B using JamiiForums mobile app
UzowefuMwanaume gani akae 41 yrs bila mchepuko wala mtoto wa kubambika. Utapata wapi uzoefu ?!.
Wakubandika 🫣🤭🫢🤫Mwanaume gani akae 41 yrs bila mchepuko wala mtoto wa kubambika. Utapata wapi uzoefu ?!.
Kwa nini ??Zanzibar2014 nikusifu una busara sana.
Mimi ndivyo nilivyo, lakini najifunza ili nikija niko makini mnooo.Zanzibar2014 nikusifu una busara sana.
Nimefuatilia watu wana jibu kejeli ila unawajibu vizuri kistaarabu.Kwa nini ??
WowKama upo serious njoo DM nikuunganishe na mpwa wangu yupo hapo London anafundisha chuo, umri 43 ila sio muislam.
mimi sio mtu wa maneno kwa hiyo nashangaa mnoooNimefuatilia watu wana jibu kejeli ila unawajibu vizuri kistaarabu.
mimi sio mtu wa maneno kwa hiyo nashangaa mnoooNimefuatilia watu wana jibu kejeli ila unawajibu vizuri kistaarabu.
Unashangaa nini?mimi sio mtu wa maneno kwa hiyo nashangaa mnooo
Samahani mwanzoni nimejibu kwa kukosea sio yangu mimiMbona wapo tu mzee? Kwenye Kila wanaume waliochelewa kuoa Basi jua wapo na wanawake waliochelewa kuolewa
Kwenye Kila wanawake waliochelewa kuzaa basi jua pia wapo na wanaume..
Tangazo lake lipo very straight huna sifa pita kushoto.. Hajasema anataka ushauri wa jinsi ya kupata mchumba/mume
Sent from my Infinix PR652B using JamiiForums mobile app
Kuona baadhi yao wanafoka mnoooUnashangaa nini?