Natafuta mchumba wa kiume, awe anaishi London

Natafuta mchumba wa kiume, awe anaishi London

Mbona wapo tu mzee? Kwenye Kila wanaume waliochelewa kuoa Basi jua wapo na wanawake waliochelewa kuolewa

Kwenye Kila wanawake waliochelewa kuzaa basi jua pia wapo na wanaume..

Tangazo lake lipo very straight huna sifa pita kushoto.. Hajasema anataka ushauri wa jinsi ya kupata mchumba/mume

Sent from my Infinix PR652B using JamiiForums mobile app
Sifa
 
Mbona wapo tu mzee? Kwenye Kila wanaume waliochelewa kuoa Basi jua wapo na wanawake waliochelewa kuolewa

Kwenye Kila wanawake waliochelewa kuzaa basi jua pia wapo na wanaume..

Tangazo lake lipo very straight huna sifa pita kushoto.. Hajasema anataka ushauri wa jinsi ya kupata mchumba/mume

Sent from my Infinix PR652B using JamiiForums mobile app
Wazee
 
Mbona wapo tu mzee? Kwenye Kila wanaume waliochelewa kuoa Basi jua wapo na wanawake waliochelewa kuolewa

Kwenye Kila wanawake waliochelewa kuzaa basi jua pia wapo na wanaume..

Tangazo lake lipo very straight huna sifa pita kushoto.. Hajasema anataka ushauri wa jinsi ya kupata mchumba/mume

Sent from my Infinix PR652B using JamiiForums mobile app
Ahsante saaaana
 
Hujachoka kusema tu, huoni kama unajithalilisha bure kushindana na mwanamke kama ( wewe sio mwanamke pia, sasa nini kinachokufanya hutuli) Hata kama bi kizee ni bibi yako au mama yako au dada yako sasa unakereka nini kila kukicha, umeshika 41, 41, 41, 41, nothing new!!😤😤

Acha ujinga na uhuni, bichwa limejaa ujuaji, njaa, shida, ushamba, uwongo na unyanyasaji, kama yako unayaweza usingekuwa na muda wa kushindana na mimi. Huna hata aibu kwa akili zako finyo zilojaa takataka na tamaa/chuki za maisha, hujui nini ufanye umeambulia kuwa muhuni. 🤣😂

Nakusihi rudi kanisani ili usiwape tabu/aibu wazee wako, (shule walishashindwa kama ulisoma hata ya bure) ukajifunze adabu, kutochukia na kutobaguwa, maisha ni mafupi mnooo!!Usije kufa siku sio zako, na pia utafunzwa huko vyema vya kuheshimu wanawake wa ndani ya familia yako na jamii pia hata kama utaambulia mwanamke wa kuowa kabla ya kuolewa wewe kwa tamaa zako.
😳🙄

Kukuonyesha ustarabu sasa kuwa wewe sio wa level yangu, hutonisikia tena kuwa sina muda na kiumbe mchafu kama wewe unajifanya mtakatifu huku unanuka unafiki na roho mbaya na kwa tarifa yako mtakatifu bado hayazaliwa jifunze, halafu bichwa ngumu katafute kwengine hunifai 🫣🫣
 
Mbona wapo tu mzee? Kwenye Kila wanaume waliochelewa kuoa Basi jua wapo na wanawake waliochelewa kuolewa

Kwenye Kila wanawake waliochelewa kuzaa basi jua pia wapo na wanaume..

Tangazo lake lipo very straight huna sifa pita kushoto.. Hajasema anataka ushauri wa jinsi ya kupata mchumba/mume

Sent from my Infinix PR652B using JamiiForums mobile app
Samahani mwanzoni nimejibu kwa kukosea sio yangu mimi
 
Back
Top Bottom