Natafuta mchumba

Natafuta mchumba

Teh ganagana=baiskeli. Siku hiyo nimefika Nzega nataka kwenda mjini, wenyeji wakaniambia twende tukupeleke barabarani ukapande ganagana (me kwa akili yangu nikajua daladala), Nikasema eeh huku Wameendelea. Khaaa nashangaa kitu kinaitwa "ganagana", me Nipo mwee hiyo hiace gani inayoitwa hivi [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13], x-pozha unique sana
Hahaaaa! Watu na eksipoza zenu[emoji3] [emoji3]
 
atoto unaona mambo hii!

Mwenzio anakula mihogo na wenye hela wenzake huku wanapiga deals za millions.
Yaani angekufaa kweli jamani dah!

Halafu ni kweli au nimeota kuwa mchumba kapatikana?!,...aisee kama ni kweli tu appeal hivo vigezo vipunguzwe.

X-pozha tunaweza ipata pale kwenye mzunguko.
Kwa akili itabidi tumuone Karucee atupe darasa.
Halafu Heaven Sent atufunde kwenye manners.
Sura sio tatizo sana, hata kama tumefanana sana na baba zetu tunaweza fanya plastic surgery japo ya kurekebisha pua kidogo iwe kama ya wadhungu.
Mae mchumba kapatikana, hapa tusubiri tu kwa mentor tuone nae atatoka vipi,

Tatizo lingine ni mbahiri huyu hatari, sasa mama uzuri wa Heaven on Earth nao tutaupata kwenye plastiki sijui nini hiyo? If yes basi fanya mpango na hayo maeksipozha basi.
 
Hahaha afu na yeye mchoyo kumbe, mbona hanipi hizo tactics na me nitoboe

Yaani mie hapa nta mlaumu huyu atoto kwa huu Ujecha ulotuhusu mpaka kesho.
Akienda kwenye vijiwe vyake level 9 sijui 10 anatesa!, akija kwetu anajifanya hambo.
Itabidi na sisi tuweke tangazo.
 
Kwahio mkuu mwanamke mmoja hawezi kuwa mzuri,exposed,tabia njema na educated?

Hawa dada zetu waleo ukimkuta mzuri na anaelimu bas tabia ziro, ukimkuta anatabia njema na mzuri basi hana elimu na ukimkuta ana elimu, exposed,tabia njema basi sura km ashangedele
 
Yaani mie hapa nta mlaumu huyu atoto kwa huu Ujecha ulotuhusu mpaka kesho.
Akienda kwenye vijiwe vyake level 9 sijui 10 anatesa!, akija kwetu anajifanya hambo.
Itabidi na sisi tuweke tangazo.
Uwiiiiii[emoji134] [emoji134] we kui ndio umeamua kunisingizia asubuhi ma mapema hivyo[emoji24] [emoji24]
 
Yaani mie hapa nta mlaumu huyu atoto kwa huu Ujecha ulotuhusu mpaka kesho.
Akienda kwenye vijiwe vyake level 9 sijui 10 anatesa!, akija kwetu anajifanya hambo.
Itabidi na sisi tuweke tangazo.
Hahaha mtoto mbaya huyo kama sura yake. Nimefuta naye undugu sio kwa kutuzunguka huko khaaa

Yeah sure, ngoja tuweke tangazo letu amazing sana
 
Mae mchumba kapatikana, hapa tusubiri tu kwa mentor tuone nae atatoka vipi,

Tatizo lingine ni mbahiri huyu hatari, sasa mama uzuri wa Heaven on Earth nao tutaupata kwenye plastiki sijui nini hiyo? If yes basi fanya mpango na hayo maeksipozha basi.

Tukifanya plastic nanihii itabidi tupunguze pia kula mihogo ili mwili nao at least uendane na sura.

Salad shoga salad na matunda!, nilikwambia hukunisikia unaona sasa tumekatwa!
Itabidi kunywa maji sana kufidia njaa ikizidi, tupate basi hata hao rafiki zake.
 
Tukifanya plastic nanihii itabidi tupunguze pia kula mihogo ili mwili nao at least uendane na sura.

Salad shoga salad na matunda!, nilikwambia hukunisikia unaona sasa tumekatwa!
Itabidi kunywa maji sana kufidia njaa ikizidi, tupate basi hata hao rafiki zake.
[emoji134] [emoji134] [emoji134] [emoji134] hapo kwenye kula majani kwakweli naomba tusamehane mpendwa, aisee achana na kitu inaitwa kula, labda hiyo plastik nanihii ifanyike na ya kuondoa apetite.
 
[emoji134] [emoji134] [emoji134] [emoji134] hapo kwenye kula majani kwakweli naomba tusamehane mpendwa, aisee achana na kitu inaitwa kula, labda hiyo plastik nanihii ifanyike na ya kuondoa apetite.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] Kuna na liposunction..,inafyonza mafuta yote sehemu yasipotakikana....
 
[emoji134] [emoji134] [emoji134] [emoji134] hapo kwenye kula majani kwakweli naomba tusamehane mpendwa, aisee achana na kitu inaitwa kula, labda hiyo plastik nanihii ifanyike na ya kuondoa apetite.


Plastic surgery ya kuondoa appetite! 🙂

Itabidi tuulize kule JF Dr. Kama ipo.
Kama unataka wazito itakuwa muhimu, halafu unajua hawa 'wazito' naona kama wanapendaga petits!, sijui kwa nini!
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] Kuna na liposunction..,inafyonza mafuta yote sehemu yasipotakikana....
Duuuuh! Sitaki, yasije nikuta yalomkuta binti nanihii, ngoja tu nisubiri ninaloendana nalo.

Alafu mbona hutoi tangazo?[emoji57] [emoji57]
 
Plastic surgery ya kuondoa appetite! 🙂

Itabidi tuulize kule JF Dr. Kama ipo.
Kama unataka wazito itakuwa muhimu, halafu unajua hawa 'wazito' naona kama wanapendaga petits!, sijui kwa nini!
Sio wote, ila dont ask me[emoji12] [emoji12]
Hiyo plastik nanihii nimeghairi sitaki tena.
 
Back
Top Bottom