900 Itapendeza zaidi
JF-Expert Member
- Nov 19, 2017
- 7,704
- 9,186
atakuwa anabanwa sana kwenye sadaka na baba paroko sasa ana-stress kaona hailipi aanzishe kamradi kake hataki kamchezomchezoHuyu shamasi ni mkali balaa, kurusha ngumi kwake ni swala la kugusa tuu.
Halafu raia wanaleta utani kwenye mradi wakeatakuwa anabanwa sana kwenye sadaka na paroko sasa ana-stress kaona hailipi aanzishe kamradi kake hataki kamchezomchezo
Kukubari makosa sio Udhaifu.Ushaambiwa hakuna typing error ww unalazimisha au una tatizo lingine?
Então, Are you In?, como é que eu posso te convidar ? Podes me enviar o teu correio do google. Vou preparar o meet-google e partilhar o link. Concordas?Sério irmão, pegue esse e pratique mais
😁🙌Huyu shamasi ni mkali balaa, kurusha ngumi kwake ni swala la kugusa tuu.
Unabishana na mm nilie andika? Nunua kitabu ujue kwann nimeweka hayo maneno kwenye cover1.Unleashiing-UNLEASHING✍️
2.Yoiuth-YOUTH✍️
3.Poltics-POLITICS✍️
4.Develolopment-DEVELOPMENT✍️
5.Enchoes-ECHOES✍️
Wanaokukosoa nadhani lengo lao ni chanya zaidi ya unavyofikiri, Nimejiridhisha mwenyewe kuwa
Typing error zipo, kubali kukosolewa ndugu Shemasi🙏
duuuh, por que essa caligrafia parece de alguém que não conhece Kiswahili? parece que um robô foi usadoEntão, Are you In?, como é que eu posso te convidar ? Podes me enviar o teu correio do google. Vou preparar o meet-google e partilhar o link. Concordas?
MANAGER NIMESHA MPATA.... then Shirika la wasalesiani wa Donbosco 2025.... karibuNafikiri Unatafuta kichaka cha kujificha.Typing error sio tatizo la mwandishi ni tatizo la mchapaji.Ndio maana kuna watu wanaitwa proof readers ambao hulipa kwa idadi ya makosa ya kisarufi n.k. ambayo awatayakuta kwenye andiko lako.
Katika Case ya Shemasi amezingua.Kuleta mockup ambazo zina makosa.Kma hizo typo zilizopo hapo ni intentional basi hii kazi sitaisoma.Cha Pili Ameandika Vitabu vingi sana.Hiyo ni dalili kwamba bdo anajifunza uandishi.So Kwa makosa tuliyoona tunamsamehe.
Swali JE Tunamsaidieje.Anataka Meneja wa Namna Gani?
Mwisho Shemasi Upadirisho wako ni Lini?Jimbo/Shirika Gani?
Muulize mama yako kama mimi ni kilazaWewe ni kilaza
Acha kulazimisha vitu
Wewe nae mjuaji unakaza fuvu kwenye mambo madogo kama hata ili uonekaneSio Hongera kweli..?? Au na mimi ni mjuaji
Punguza ujuaji njungaAkiri tena shemasi au ndo ulitaka kusema akili..?
Ulijuaje ndugu..atakuwa anabanwa sana kwenye sadaka na paroko sasa ana-stress kaona hailipi aanzishe kamradi kake hataki kamchezomchezo
Nashukuru mkuu nimekuelewa 🙏Watz huwa wapo negative
So usimjibu MTU anayekukosoa just cool watu sahihi wanohitaji kazi zako hawawezi kukukosoa so kuwa cool
Mbaka ❌Kabla huja comment jiridhishe sana mkuu najua nacho kifanya mbaka nafikia level ya U shemasi sijarushwa tu nimepitia hatua zote. So hakuna Typing error hapo Asante.
LAKINI KUKOSEA NDIO KUJUAMbaka [emoji777]
Mpaka[emoji3581]
kwenye kujieleza ulipochapia umechapia tena kiswahili tu chenga hiyo lugha nyeupe unashupaza shingo ya nini shemasi wa mchongo