Adolph Jr
JF-Expert Member
- Nov 5, 2016
- 5,950
- 9,511
Nicheki na mimi nahitaji mmojaNimekupm mkuu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nicheki na mimi nahitaji mmojaNimekupm mkuu
Nicheki P.Muko seriouse? kuna vitu vitahitajika kama udi aina ya saphlora+kaniki nyeusi+ chungu kidogo +mafuta ya mzaituni+ubani wa mashitaka+ maji ya zamda +maji ya maiti(aliyooshewa maiti) + ubani wa marka+ chungu kidogo .Italetwa sura ya huyo mtesi wako /mbaya wako kwenye beseni / kioo .sasa utaamua wewe unataka umfanyaje!? kama uchukue wembe ukate ni wewe tu nk.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Sasa wakike utamtoaje busha??? Umesema huko juu
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]dah kweli
Kazi imeenda ilivyo takiwa na jambo langu limeisha
Na wana Jf ndio mlinisaidia,wakati nawatafuta hapa nilikuwa na stress vibaya
Kazi imeisha
Mimi nadhani sio mzima huyu au ni chakula ya watu hiiWewe ni mwanaume ama mwanamke unatuhaibisha sisi wanaume wenzio unabishana na mbususu kweli?
Mganga yupo Jamii forum anachatiMhanga Konki wa Makonki niko hapa mkuu, yaani hutojuta daima.
Ni chakula ya watu mjini,hao ndio wanaovaa vipesi vyakunaCha kushangaza utakuta The Icebreaker naye kaja PM kuchukua namba ya Imma
Chakula yetu hii sio Mwanaume Rijali hiloDah mzee unajibishana na mwanamke , ? ni aibu kubwa sana mwanaume kusutana na mwanamke..dah unawezaje ?
Chakula hii ya watu,unaweza kuta amepangishiwa nyumba huyuUnawezaje kujibishana na mwanamke? Mwanaume unaongea mara moja tu, ni juu yake achukue ushaur au akatae, kwani inakupunguzia nini? Sasa wewe mwanaume gani unajibizana paragraph zaidi ya 20 na mwanamke, umetahiriwa kweli wewe..unajua maana ya kinundu kwenye koromeo la mwanaume wewe? Acha ufala.
Utaroga watu wangapi katika maisha yako? Wewe hujawahi kumkosea mtu?
Ingekua kila anayekosewa anamroga mwenzake hii Dunia tungekuana watu wa aina gani leo hii?
Naomba [emoji23]Mbona Hamleti mirejesho jamani, VIPi nitoe connection nyingine?
Lakini mkuu mi namshauri kama naye kuna mahali alitumia njia isiyo halali kupata alichoibiwa asijaribu atajiumiza mwenyeweKua makini mkuu na namba zinazowekwa humu kwenye comments, asilimia 90 ni za uongo au hazihusiki. Ni wapumbavu tu wanaamua kucheza na akili za watu. Mtu wa ukweli mwenye conection ya ukweli hua anakufata mwenyewe inbox.