Natafuta mganga wa kienyeji konki

Natafuta mganga wa kienyeji konki

uko seriouse? kuna vitu vitahitajika kama udi aina ya saphlora+kaniki nyeusi+ chungu kidogo +mafuta ya mzaituni+ubani wa mashitaka+ maji ya zamda +maji ya maiti(aliyooshewa maiti) + ubani wa marka+ chungu kidogo .Italetwa sura ya huyo mtesi wako /mbaya wako kwenye beseni / kioo .sasa utaamua wewe unataka umfanyaje!? kama uchukue wembe ukate ni wewe tu nk.
Nicheki P.M
 
Unawezaje kujibishana na mwanamke? Mwanaume unaongea mara moja tu, ni juu yake achukue ushaur au akatae, kwani inakupunguzia nini? Sasa wewe mwanaume gani unajibizana paragraph zaidi ya 20 na mwanamke, umetahiriwa kweli wewe..unajua maana ya kinundu kwenye koromeo la mwanaume wewe? Acha ufala.
Chakula hii ya watu,unaweza kuta amepangishiwa nyumba huyu
 
Utaroga watu wangapi katika maisha yako? Wewe hujawahi kumkosea mtu?

Ingekua kila anayekosewa anamroga mwenzake hii Dunia tungekuana watu wa aina gani leo hii?
8AA1ADE8-CED7-4449-882D-380DEA514A52.png
Acha kujifanya unasahau vitu unavyoandikaga au unatafta reply tu
 
Kua makini mkuu na namba zinazowekwa humu kwenye comments, asilimia 90 ni za uongo au hazihusiki. Ni wapumbavu tu wanaamua kucheza na akili za watu. Mtu wa ukweli mwenye conection ya ukweli hua anakufata mwenyewe inbox.
Lakini mkuu mi namshauri kama naye kuna mahali alitumia njia isiyo halali kupata alichoibiwa asijaribu atajiumiza mwenyewe
 
Back
Top Bottom