Natafuta mganga wa kienyeji konki

Nicheki P.M
 
Chakula hii ya watu,unaweza kuta amepangishiwa nyumba huyu
 
Kua makini mkuu na namba zinazowekwa humu kwenye comments, asilimia 90 ni za uongo au hazihusiki. Ni wapumbavu tu wanaamua kucheza na akili za watu. Mtu wa ukweli mwenye conection ya ukweli hua anakufata mwenyewe inbox.
Lakini mkuu mi namshauri kama naye kuna mahali alitumia njia isiyo halali kupata alichoibiwa asijaribu atajiumiza mwenyewe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…