Natafuta mganga wa kienyeji konki

Jambo langu limekamilika [emoji736],nilipewa siku 7 ndani ya siku 3 majibu tayari
Wana jf washukuriwe [emoji1433][emoji1431]
Dada samahani naomba usome ujumbe wnagu unijibu au Kama vipi naomba unisaidie connection ya ulikosaidika namimi nisaidiweee pls pls
 

Mzee unaonekana unajua mengi sana kuhusu mambo haya
 
Umempata ndg na unakuwa tajiri haswa na mtu maarufu uzuri wake hana masharti magumu,sharti ni kumpa tigo mfano leo tarehe 12/11/022 ukampa tigo ni mpaka mwakani tarehe kama ya leo na mwezi kama wa leo,simple tu ndg
πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…
 
Habari ya wakati huu ndugu, kama unamjua mganga popote hapa TANZANIA mwenye uwezo wa kumfanya mtu apate mali (PESA) Kwa njia yoyote au freemason na una uhakika 100% tafadhali unisaidie kunielekeza. Natafuta sana hilo jambo

Nipo Moshi

0748 605 404
Maisha yanaweza kuwa magumu wakati mwingine lakini vumilia yatapita tu. Utajiri wa kiganga ni kama kujilisha sumu na majuto yake ni heri umaskini. Mtafute Mungu wa kweli mwombe hekima na msaada wake atakuonesha njia.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…