The Icebreaker
JF-Expert Member
- Feb 11, 2018
- 22,278
- 65,817
Hebu niambie vita yako unataka iwe na Matokeo gani.
Kutoa funzo ama Kuteketeza kabisa?
Kisha nitajua nikusaidieje.
Utaroga watu wangapi katika maisha yako? Wewe hujawahi kumkosea mtu?
Ingekua kila anayekosewa anamroga mwenzake hii Dunia tungekuana watuwa aina gani leo hii?
Duh sasa unataka kumpa shipa mwanamke🤣🤣.Usiniharibie uzi sio mambo ya mapenzi bwashee
Hili ni jambo jingine Mbona unaweka meme kama vile nateseka na mapenzi weuwee [emoji3][emoji3]
Mlengwa wangu ni wa kike
Poleni na majukumu ya kila siku
Nimekuja na ID yangu hii sina haja ya kujificha
Moja kwa moja kwenye mada,nahitaji msaada kama kuna mtu anamjua mganga wa uhakika anifanyie kazi yangu,kuna waganga huwa nasikia wanatoa watu mabusha,wanatuma majini au kumpa mtu ugonjwa nahitaji mganga wa hivyo
Hii dunia ina mengi,na ikifika kipindi cha vita unaambiwa usichague silaha,nahitaji jambo langu likamilike kwasababu kuna watu wanaweza kukukosea heshima mpaka wakapitiliza,ukimya na subira ni muhimu lakini kuna watu huwa wanaona kama umezubaa
Nikifanikiwa kazi yangu nitakupa ya shukrani sina hiyana
Watu wa mahubiri hapa sio sehemu yake...
Nawashukuruni naamini nitapata msaada wenu
Nini kimekupata Lightness?
Unalikataa jina lako lightness??Siitwi lightness hebu cheki folder lako vizuri
Utaroga watu wangapi katika maisha yako? Wewe hujawahi kumkosea mtu?
Ingekua kila anayekosewa anamroga mwenzake hii Dunia tungekuana watuwa aina gani leo hii?
Kama upo series kabisaa.Poleni na majukumu ya kila siku
Nimekuja na ID yangu hii sina haja ya kujificha
Moja kwa moja kwenye mada,nahitaji msaada kama kuna mtu anamjua mganga wa uhakika anifanyie kazi yangu,kuna waganga huwa nasikia wanatoa watu mabusha,wanatuma majini au kumpa mtu ugonjwa nahitaji mganga wa hivyo
Hii dunia ina mengi,na ikifika kipindi cha vita unaambiwa usichague silaha,nahitaji jambo langu likamilike kwasababu kuna watu wanaweza kukukosea heshima mpaka wakapitiliza,ukimya na subira ni muhimu lakini kuna watu huwa wanaona kama umezubaa
Nikifanikiwa kazi yangu nitakupa ya shukrani sina hiyana
Watu wa mahubiri hapa sio sehemu yake...
Nawashukuruni naamini nitapata msaada wenu
Tungekuwa mazombie yale ya slow motionUtaroga watu wangapi katika maisha yako? Wewe hujawahi kumkosea mtu?
Ingekua kila anayekosewa anamroga mwenzake hii Dunia tungekuana watuwa aina gani leo hii?
Mkuu mtafute Mungu hapa duniani sidhani kama umebakiza zaidi ya miaka 50Poleni na majukumu ya kila siku
Nimekuja na ID yangu hii sina haja ya kujificha
Moja kwa moja kwenye mada,nahitaji msaada kama kuna mtu anamjua mganga wa uhakika anifanyie kazi yangu, kuna waganga huwa nasikia wanatoa watu mabusha, wanatuma majini au kumpa mtu ugonjwa nahitaji mganga wa hivyo
Hii dunia ina mengi,na ikifika kipindi cha vita unaambiwa usichague silaha,nahitaji jambo langu likamilike kwasababu kuna watu wanaweza kukukosea heshima mpaka wakapitiliza, ukimya na subira ni muhimu lakini kuna watu huwa wanaona kama umezubaa
Nikifanikiwa kazi yangu nitakupa ya shukrani sina hiyana
Watu wa mahubiri hapa sio sehemu yake.
Nawashukuruni naamini nitapata msaada wenu
Comment yangu imekuja kwa mfumo wa kuuliza ndio maana kuna question mark,jifunze kusoma comment na kuielewa kuliko kukurupuka.Usisemee mioyo ya watu,pengine na mimi nimesharogwa sana tu,usiyoyajua yasikupe shida
Hapa jambo ni moja tu na lazima likamilike hakuna ushauri wa kurudi nyuma
Dunia ndio hii na sisi ndio walimwengu
Ametolea mfano,wewe darasani ilikuaje?Duh sasa unataka kumpa shipa mwanamke🤣🤣.
Ukifanikiwa nitumie kapicha mkuu nione busha la kike linakuwaje.