Natafuta mganga wa kienyeji konki

[emoji848][emoji16] JF raha sana at least umenitoa kwenye tuhuma ya utapeli sasa unakuja na ya usanii.. Kwahiyo kwako wewe chumvi sio tiba bali tiba ni matunguli!?
Analeta mchezo na Neal salt hajui kama inauwezo wa kuondoa maisha ya binadamu
 
Kupitia shida hakutoi uhalali wa wewe kukosea zaidi...

Huko kwa waganga unaenda kutafuta mikosi na laana tu...
Wewe ufanye upuuzi wako halafu uje useme mataputapu yako. Unafikili hapa kuna mtoto mdogo wa kumfundisha a,e,i,o,u. Hakuna huyo mtoto hapa
 
Nipm mapema sana
 
Check inbox mkuu
 
Nikufate pm?
 
Ulishapata unayemhitaji au bado kama bado nijuze.
 
Tusaidiane jamani haya ni maisha tuu mtu mpaka anakuja hapa kuomba connection ujue anapitia wakati mgumu either kwenye biashara, ajira au maradhi so kama unaweza msaidia we msaidie tuu maisha ni haya haya, mfano mimi nishawafata wengi tuu pm wanisaidie namba but hawajibu sasa najiuliza huyu mtu akinisaidia atapungukiwa nini coz siwezi interact kwenye issie zake kwasababu hatujuani ila mtu anakaza dah, kama kuna mtu anaweza nisaidia mganga wa kinga kwenye biashara please and please naomba anisaidie cause mambo sio kama mwanzo nina upinzani mkubwa sana nataka nikaangalie na huku huwezi jua nikapata msaada kama mwanzo na nitarudisha shukran. Thanks in advance.
 
Uwii
 
Watu wanabana mpaka koneksheni za waganga hii bongo hatari.
 
Duh [emoji23][emoji23][emoji23] sio bure kuna kitu mganga huwa anawaambia wakitoka huko… ila mafanikio kama ya kichoyo choyo
Si ndio huwap connection wahitaj
 
Duh! Yaan siamini juzi tu nimesema siendi kwa mganga nimeacha ila leo nipo ugangani na nimechanjwa dah!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…