Natafuta mganga wa kienyeji konki

Natafuta mganga wa kienyeji konki

[emoji848][emoji16] JF raha sana at least umenitoa kwenye tuhuma ya utapeli sasa unakuja na ya usanii.. Kwahiyo kwako wewe chumvi sio tiba bali tiba ni matunguli!?
Analeta mchezo na Neal salt hajui kama inauwezo wa kuondoa maisha ya binadamu
 
Kupitia shida hakutoi uhalali wa wewe kukosea zaidi...

Huko kwa waganga unaenda kutafuta mikosi na laana tu...
Wewe ufanye upuuzi wako halafu uje useme mataputapu yako. Unafikili hapa kuna mtoto mdogo wa kumfundisha a,e,i,o,u. Hakuna huyo mtoto hapa
 
Mimi humu ni mgeni ila shida yangu ni mganga ambaye ni mkali atakayenisaidia kurudisha mambo yangu mana kila kitu kimeharibika sio kazi, sio mwanaume niliye kuwa naye sio biashara yangu nipo Moshi naomba mnisaidie mtu wa karibu yangu kama huku upareni.

Tafadhali nashida nanipo serious kabisa sio utani na hii hali haijaanza leo.
Nipm mapema sana
 
Kama upo siriasi nikupe namba ya mtu yupo ssumbawanga ila sio bure mzee ye ni dogo ana mganga wake mambo ya ndagu hauui mtu sharti lake ni kuleta watu wawili tu sasa dogo alipata mmoja akanambia na mimi saa nafasi yangu nakupa wewe kama upo tayari
Mis si kwamba sitaki utajiri ila maswala ninayofanya najuwa yatanipa utajir ila kwa kuchelewa
Check inbox mkuu
 
Kama upo siriasi nikupe namba ya mtu yupo ssumbawanga ila sio bure mzee ye ni dogo ana mganga wake mambo ya ndagu hauui mtu sharti lake ni kuleta watu wawili tu sasa dogo alipata mmoja akanambia na mimi saa nafasi yangu nakupa wewe kama upo tayari
Mis si kwamba sitaki utajiri ila maswala ninayofanya najuwa yatanipa utajir ila kwa kuchelewa
Nikufate pm?
 
Poleni na majukumu ya kila siku, nimekuja na ID yangu hii sina haja ya kujificha.

Moja kwa moja kwenye mada, nahitaji msaada kama kuna mtu anamjua mganga wa uhakika anifanyie kazi yangu, kuna waganga huwa nasikia wanatoa watu mabusha, wanatuma majini au kumpa mtu ugonjwa nahitaji mganga wa hivyo.

Hii Dunia ina mengi, na ikifika kipindi cha vita unaambiwa usichague silaha, nahitaji jambo langu likamilike kwasababu kuna watu wanaweza kukukosea heshima mpaka wakapitiliza. Ukimya na subira ni muhimu lakini kuna watu huwa wanaona kama umezubaa.

Nikifanikiwa kazi yangu nitakupa ya shukrani sina hiyana. Watu wa mahubiri hapa sio sehemu yake.

Nawashukuruni naamini nitapata msaada wenu.
Ulishapata unayemhitaji au bado kama bado nijuze.
 
Tusaidiane jamani haya ni maisha tuu mtu mpaka anakuja hapa kuomba connection ujue anapitia wakati mgumu either kwenye biashara, ajira au maradhi so kama unaweza msaidia we msaidie tuu maisha ni haya haya, mfano mimi nishawafata wengi tuu pm wanisaidie namba but hawajibu sasa najiuliza huyu mtu akinisaidia atapungukiwa nini coz siwezi interact kwenye issie zake kwasababu hatujuani ila mtu anakaza dah, kama kuna mtu anaweza nisaidia mganga wa kinga kwenye biashara please and please naomba anisaidie cause mambo sio kama mwanzo nina upinzani mkubwa sana nataka nikaangalie na huku huwezi jua nikapata msaada kama mwanzo na nitarudisha shukran. Thanks in advance.
 
Poleni na majukumu ya kila siku, nimekuja na ID yangu hii sina haja ya kujificha.

Moja kwa moja kwenye mada, nahitaji msaada kama kuna mtu anamjua mganga wa uhakika anifanyie kazi yangu, kuna waganga huwa nasikia wanatoa watu mabusha, wanatuma majini au kumpa mtu ugonjwa nahitaji mganga wa hivyo.

Hii Dunia ina mengi, na ikifika kipindi cha vita unaambiwa usichague silaha, nahitaji jambo langu likamilike kwasababu kuna watu wanaweza kukukosea heshima mpaka wakapitiliza. Ukimya na subira ni muhimu lakini kuna watu huwa wanaona kama umezubaa.

Nikifanikiwa kazi yangu nitakupa ya shukrani sina hiyana. Watu wa mahubiri hapa sio sehemu yake.

Nawashukuruni naamini nitapata msaada wenu.
Uwii
 
Duh [emoji23][emoji23][emoji23] sio bure kuna kitu mganga huwa anawaambia wakitoka huko… ila mafanikio kama ya kichoyo choyo
Si ndio huwap connection wahitaj
 
Duh! Yaan siamini juzi tu nimesema siendi kwa mganga nimeacha ila leo nipo ugangani na nimechanjwa dah!
 
Back
Top Bottom