Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Analeta mchezo na Neal salt hajui kama inauwezo wa kuondoa maisha ya binadamu[emoji848][emoji16] JF raha sana at least umenitoa kwenye tuhuma ya utapeli sasa unakuja na ya usanii.. Kwahiyo kwako wewe chumvi sio tiba bali tiba ni matunguli!?
Atajifunza tuMwambie ajifunze tu uchawi...
Wewe ufanye upuuzi wako halafu uje useme mataputapu yako. Unafikili hapa kuna mtoto mdogo wa kumfundisha a,e,i,o,u. Hakuna huyo mtoto hapaKupitia shida hakutoi uhalali wa wewe kukosea zaidi...
Huko kwa waganga unaenda kutafuta mikosi na laana tu...
Nipm mapema sanaMimi humu ni mgeni ila shida yangu ni mganga ambaye ni mkali atakayenisaidia kurudisha mambo yangu mana kila kitu kimeharibika sio kazi, sio mwanaume niliye kuwa naye sio biashara yangu nipo Moshi naomba mnisaidie mtu wa karibu yangu kama huku upareni.
Tafadhali nashida nanipo serious kabisa sio utani na hii hali haijaanza leo.
Kuna mmoja anaitwa Adui chongo Yuko Pemba naskia sijuii kafa nuksi huyo nae balaaaa mnooi...unaulizwa afe saa ngapi?au na kitu Gani?ajali,moto ,kuumwa au vipi?usiombe
Check inbox mkuuKama upo siriasi nikupe namba ya mtu yupo ssumbawanga ila sio bure mzee ye ni dogo ana mganga wake mambo ya ndagu hauui mtu sharti lake ni kuleta watu wawili tu sasa dogo alipata mmoja akanambia na mimi saa nafasi yangu nakupa wewe kama upo tayari
Mis si kwamba sitaki utajiri ila maswala ninayofanya najuwa yatanipa utajir ila kwa kuchelewa
Nikufate pm?Kama upo siriasi nikupe namba ya mtu yupo ssumbawanga ila sio bure mzee ye ni dogo ana mganga wake mambo ya ndagu hauui mtu sharti lake ni kuleta watu wawili tu sasa dogo alipata mmoja akanambia na mimi saa nafasi yangu nakupa wewe kama upo tayari
Mis si kwamba sitaki utajiri ila maswala ninayofanya najuwa yatanipa utajir ila kwa kuchelewa
Ametolea mfano,wewe darasani ilikuaje?
Mwalimu alikua akitoa mfano,jibu lake unalijaza kwenye maswali yote atakayotoa?
Dada Maya Angelou, naomba PM.🤣🤣🤣🤣dah kweli
Kazi imeenda ilivyo takiwa na jambo langu limeisha
Na wana Jf ndio mlinisaidia,wakati nawatafuta hapa nilikuwa na stress vibaya
Kazi imeisha
Ulishapata unayemhitaji au bado kama bado nijuze.Poleni na majukumu ya kila siku, nimekuja na ID yangu hii sina haja ya kujificha.
Moja kwa moja kwenye mada, nahitaji msaada kama kuna mtu anamjua mganga wa uhakika anifanyie kazi yangu, kuna waganga huwa nasikia wanatoa watu mabusha, wanatuma majini au kumpa mtu ugonjwa nahitaji mganga wa hivyo.
Hii Dunia ina mengi, na ikifika kipindi cha vita unaambiwa usichague silaha, nahitaji jambo langu likamilike kwasababu kuna watu wanaweza kukukosea heshima mpaka wakapitiliza. Ukimya na subira ni muhimu lakini kuna watu huwa wanaona kama umezubaa.
Nikifanikiwa kazi yangu nitakupa ya shukrani sina hiyana. Watu wa mahubiri hapa sio sehemu yake.
Nawashukuruni naamini nitapata msaada wenu.
Nielekeze mm apaUlishapata unayemhitaji au bado kama bado nijuze.
UwiiPoleni na majukumu ya kila siku, nimekuja na ID yangu hii sina haja ya kujificha.
Moja kwa moja kwenye mada, nahitaji msaada kama kuna mtu anamjua mganga wa uhakika anifanyie kazi yangu, kuna waganga huwa nasikia wanatoa watu mabusha, wanatuma majini au kumpa mtu ugonjwa nahitaji mganga wa hivyo.
Hii Dunia ina mengi, na ikifika kipindi cha vita unaambiwa usichague silaha, nahitaji jambo langu likamilike kwasababu kuna watu wanaweza kukukosea heshima mpaka wakapitiliza. Ukimya na subira ni muhimu lakini kuna watu huwa wanaona kama umezubaa.
Nikifanikiwa kazi yangu nitakupa ya shukrani sina hiyana. Watu wa mahubiri hapa sio sehemu yake.
Nawashukuruni naamini nitapata msaada wenu.
unahitaji tiba ya niniHabari
Nahitaji kufahamishwa mganga mzuri wa kienyeji ambae anapatikana maeneo ya Bagamoyo
Kama kuna yeyote unamfaham naomba unisaidie mawasiliano yake
Ahsante