Natafuta mganga wa kienyeji konki

Mtumie PM BIN NUN yupo humu atakusaidia Mkuu kama imani yako katika kutatua matatizo yako itaisha kupitia Wataalamu
 
huyu namtaka nikamwone... nimempenda.
 
Shida yako nishaijua kabla hata hujasema. Njoo PM kwanza
 
Kampuni inaibiwa million 20 inatoa tangazo kwenye mitandao na donge nono linatangazwa we hujiulizi kwa nini hilo donge nono lisipelekwe kwa mganga wamnase huyo mwizi?
WAGANGA, WACHUNGAJI, MUNGU, ALBADILI, UCHAWI, MIZIMU NI VITU VYA DHAHANIA NA VINAMEA SANA KWENYE KICHWA CHA MWENYE LOW IQ KUPITIA STORY ZA VIJIWENI
 
Sasa Mkuu kwenye Kampuni kunakuwa na watu wenye imani tofauti na kila mtu na fikra zake. Mbona Uswazi juzi kati hapa kuna Dryer za Saloon ziliibiwa likatolewa tangazo siku 3 vifaa virudishwe lasivyo tusije laumiana. Siku 3 zikapita hakuna kilichorudi baada ya siku mbili wale Wezi walirudisha wenyewe vile vitu huku wakiwa Wamechakaa wamekuwa na manyonya kama Mbwa. Usicheze na Imani Mkuu.
 

Kila la kheri ila kuwa makini sana maana matapeli wanajua hadi kuanzisha uzi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…