Natafuta mganga wa kienyeji konki

Natafuta mganga wa kienyeji konki

Wakuu mambo vp?

Nina ishu serious sana inanisumbua nahitaji mganga mwenye uwezo wa kunitatulia tatizo langu. Maana wengi nilioenda hawana suluhisho la muda mrefu ni kama wanakutibu ndani ya muda mfupi tatizo linarudi tena!

Nipo Dar akipatikana aliye Dar itapendeza zaidi.

N.B: Wale wa chumvi ya mawe, mara sijui nimwombe Mungu yote hayo nayajua lakini siyataki kwenye uzi huu. Nataka watu wenye miamba konki ya kutatua tatizo langu.
Mtumie PM BIN NUN yupo humu atakusaidia Mkuu kama imani yako katika kutatua matatizo yako itaisha kupitia Wataalamu
 
Ndo unipe connection mjamaa,kuhusu waganga fake nawajua kuna mmoja huyo nilienda yupo vingunguti nikamwambia mganga naomba unipige ramli.

Jamaa anaanza kuniambia oohh unasumbuliwa na mapenzi sijui unafanya biashara za mitumba aisee NILIANGUA KICHEKO KISHA NIKAONDOKA...alivyosema tofauti na nilivyoviendea
huyu namtaka nikamwone... nimempenda.
 
Wakuu mambo vp?

Nina ishu serious sana inanisumbua nahitaji mganga mwenye uwezo wa kunitatulia tatizo langu. Maana wengi nilioenda hawana suluhisho la muda mrefu ni kama wanakutibu ndani ya muda mfupi tatizo linarudi tena!

Nipo Dar akipatikana aliye Dar itapendeza zaidi.

N.B: Wale wa chumvi ya mawe, mara sijui nimwombe Mungu yote hayo nayajua lakini siyataki kwenye uzi huu. Nataka watu wenye miamba konki ya kutatua tatizo langu.
Shida yako nishaijua kabla hata hujasema. Njoo PM kwanza
 
Wakuu mambo vp?

Nina ishu serious sana inanisumbua nahitaji mganga mwenye uwezo wa kunitatulia tatizo langu. Maana wengi nilioenda hawana suluhisho la muda mrefu ni kama wanakutibu ndani ya muda mfupi tatizo linarudi tena!

Nipo Dar akipatikana aliye Dar itapendeza zaidi.

N.B: Wale wa chumvi ya mawe, mara sijui nimwombe Mungu yote hayo nayajua lakini siyataki kwenye uzi huu. Nataka watu wenye miamba konki ya kutatua tatizo langu.
Kampuni inaibiwa million 20 inatoa tangazo kwenye mitandao na donge nono linatangazwa we hujiulizi kwa nini hilo donge nono lisipelekwe kwa mganga wamnase huyo mwizi?
WAGANGA, WACHUNGAJI, MUNGU, ALBADILI, UCHAWI, MIZIMU NI VITU VYA DHAHANIA NA VINAMEA SANA KWENYE KICHWA CHA MWENYE LOW IQ KUPITIA STORY ZA VIJIWENI
 
Kampuni inaibiwa million 20 inatoa tangazo kwenye mitandao na donge nono linatangazwa we hujiulizi kwa nini hilo donge nono lisipelekwe kwa mganga wamnase huyo mwizi?
WAGANGA, WACHUNGAJI, MUNGU, ALBADILI, UCHAWI, MIZIMU NI VITU VYA DHAHANIA NA VINAMEA SANA KWENYE KICHWA CHA MWENYE LOW IQ KUPITIA STORY ZA VIJIWENI
Sasa Mkuu kwenye Kampuni kunakuwa na watu wenye imani tofauti na kila mtu na fikra zake. Mbona Uswazi juzi kati hapa kuna Dryer za Saloon ziliibiwa likatolewa tangazo siku 3 vifaa virudishwe lasivyo tusije laumiana. Siku 3 zikapita hakuna kilichorudi baada ya siku mbili wale Wezi walirudisha wenyewe vile vitu huku wakiwa Wamechakaa wamekuwa na manyonya kama Mbwa. Usicheze na Imani Mkuu.
 
Wakuu mambo vp?

Nina ishu serious sana inanisumbua nahitaji mganga mwenye uwezo wa kunitatulia tatizo langu. Maana wengi nilioenda hawana suluhisho la muda mrefu ni kama wanakutibu ndani ya muda mfupi tatizo linarudi tena!

Nipo Dar akipatikana aliye Dar itapendeza zaidi.

N.B: Wale wa chumvi ya mawe, mara sijui nimwombe Mungu yote hayo nayajua lakini siyataki kwenye uzi huu. Nataka watu wenye miamba konki ya kutatua tatizo langu.

Kila la kheri ila kuwa makini sana maana matapeli wanajua hadi kuanzisha uzi.
 
Back
Top Bottom