Natafuta mganga wa kienyeji konki

KAMA BADO UNAITAJI MGANGA WA UHAKIKA NI CHEKI 0678063140 UKIFANIKIWA UTANISHUKURU
 
Chukuwa bakuli jeupe la udongo ntakuelekeza cha kufanya utaona kila kitu mubashara hapo hapo ulipo.

Mambo madogo hayo.
Kuishi kwingi kuona mengi, ukiona mtu amesimama kimaisha kibiashara usimchukulie poa kakwepa mishale mingi huyo, Halllah!
 
Fanya chini juu uonane na Bi Sandra (Mama yake na Diamond).
 
Wakuu kama title inavyojieleza, kuna rafiki yangu ambaye amepata matatizo na amehangaika makanisani miaka na miaka lakini tatizo ndio kama linaota mizizi.

Mimi ndie kama ndugu yake na msaada wake anaetegemea (Hana msaada) so najaribu kuhangaika sana ila nimeona ni bora nishirikishe wadau ili nipate mtaalamu wa uhakika mwenye uwezo wa kuondoa vifungo mbali mbali nk

Nipo Dar.. Kwa ambaye anayo namba ya mtaalamu mzuri wa uhakika kwenye mambo ya asili basi anipe mawasiliano yake.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…