Natafuta mganga wa kienyeji konki

Duuuuuh
 
Ni mkoa na wilaya gani huko
 
Huyo jamaa anaongea tu biashara za kwenye makaratasi aingie field aone kulivyo kugumu pamoja na kufanya hayo yote.
Hayo ni maneno ya kwenye makatasi, huku mtaani unaweza unafanya yoyote, uza sana bidhaa bora, shusha bei, fungua mapema na ukafunga kwa kuchelewa, ongea vizuri uwezavyo still UKAPIGWA DOLO LA WATEJA.

MTAA HUUJUI WEWE
 
Unakaza fuvu tu, hujui lolote. Watu tumefanya sana mambo hayo tena sana na zaidi ujuavyo lakini sio kama ulivyo andika.
Ninafanya biashara nafanikiwa kutokana na hilo sijatumia mganga wala majini
 
Achana na waganga we kenge utapigwa, njoo pm nikupe connection ya ana kwa ana na ibilisi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…