Ulifanya la maana na sometime wana haribu baishara nyumba za watuWapuuzi sana, kitambo nilikuwa napangisha nyumba nikawapa na bei yangu, basi wanakuja na watu wakijua kabisa hawamudu bei ya hapo, ila wanawadai ya usumbufu na ya kuona nyumba...pumbavu nikawatimua.
Nakubaliana na wewe kwa maelezo yako,ila kama kuna tofauti ya milioni 10 sioni kama kuna shida,kwakuwa kama ungeweza kumpata mteja mwenyewe si ungefanya hivyo?Mkuu. Tukisimama upande wa mwenye mali nadhani sote tutakataa kuuza.
Pili. Bei inaweza badilika sokoni muda wowote hivo nayeye muuzaji ana haki ya kusema bei hii kwa hapa hapana.
Tatu. Dalali alishindwa nini kumueleza muuzaji mapema kabla hajaenda na mteja ili kama atakataa waweze kuwekeana dau jipya..? Faida kwa wote
Umdhanie ndiye kumbe siye. Kama unawaza kumroga jiulize na mpaka anakipata alipitia wapi na mpaka leo anapitia wapi. Acha kumroga mtu au mali yake tafuta hela mkuu. Mali sio yako hiyoHana uwezo huo wa kuturoga hapo kwenyewe atamkumbuka huyo mteja yaani kiwanja kitatengenezwa hakitoonekana Kwa macho ya nyama milele
Kuna mtu kauziwa kiwanja 6M dalali kala 3M yaaniNimegairi kununua kiwanja Walahi
Nilidhani dalali anakula hata 1m kumbe mnapiga zaidi ya mwenye mali
Huo uwezo hauna hata uloge ukiwa unabaka wabibi wazee hauwez icho kituIlo eneo lake hatouza mpaka anaingia kaburini ajiandae kulilima Kila siku
Mteja tumepata Jana Kwa ghafla Leo ndio ilikua mauz Sasa tumeingia ndani kwake mteja tumemuacha nje Kwa ajili ya maongezi na yeye ghafla akawa kama kichaa sifanyi biasharaMkuu. Tukisimama upande wa mwenye mali nadhani sote tutakataa kuuza.
Pili. Bei inaweza badilika sokoni muda wowote hivo nayeye muuzaji ana haki ya kusema bei hii kwa hapa hapana.
Tatu. Dalali alishindwa nini kumueleza muuzaji mapema kabla hajaenda na mteja ili kama atakataa waweze kuwekeana dau jipya..? Faida kwa wote
Nageuka kwa sababu bei imepanda hivo mali inadhamani na nauza bei ya juu au nagairisha mpaka mwakani tena πππNakubaliana na wewe kwa maelezo yako,ila kama kuna tofauti ya milioni 10 sioni kama kuna shida,kwakuwa kama ungeweza kumpata mteja mwenyewe si ungefanya hivyo?
Kitendo cha kumtafuta dalali ni wazi unatambua mchango wake na kazi yake,kwanini baadae unageuka?
Na nyie kweli hamshindwi maana wengi wenu ni wachawi sanaHana uwezo huo wa kuturoga hapo kwenyewe atamkumbuka huyo mteja yaani kiwanja kitatengenezwa hakitoonekana Kwa macho ya nyama milele
Asubiri majibuNa nyie kweli hamshindwi maana wengi wenu ni wachawi sana
Ukiona mtu tumemchezea mchezo ujue kazingua ndio kama huyuLakini karma is a motherf@<Β£# jiandae yata kurudia yote hayo mliyo yacheza
Mbona kazi tushaimaliza na jamaa kashasema harudi na tunaenda upande wapili kulitengeneza eneo lionekane mavihoja haina nguvu, yani awaamini alafu mtake kumuuzia sehemu yenye mgogoro? Atajua tu kuna mchezo haujaenda sawa.
Tena ukute jamaa kaamua kuuz Kwa sababu ana Shida na ndio maana alitaja m18 ambayo pengine pia haitoshelez kutatua Shida yakeUnang'ang'ania eneo la watu na kilazmisha mtu auze kisa una 21m hata kama ni mm siuzi aisee eneo hukununua ww alaf hauna ela alaf unataka ela kubwa kulko mwenye eneo Tena mara 2 na nusu ya ela atakayopata mwenye eneo ? Ww hata eneo la robo futi huna alaf unataka ela za wanaume !! Tafuta lako ndo uuze Kwa milion 39 alaf uchukue zote!!
Hela sijapoteza nitatafutaje kitu ambacho sijakipoteza hivi unaakili timamu kweliUmdhanie ndiye kumbe siye. Kama unawaza kumroga jiulize na mpaka anakipata alipitia wapi na mpaka leo anapitia wapi. Acha kumroga mtu au mali yake tafuta hela mkuu. Mali sio yako hiyo
AiseeKuna mtu kauziwa kiwanja 6M dalali kala 3M yaani
ππππ watu gani tena haoWee jamaa alafu kuna watu walikua wanakutafuta ujue
Unazani unavotukana watu hawatokujua .... ππππππππ watu gani tena hao
Pesa ipo ilrimradi awe uhakika kazi yake huyu mjinga KATUKERA sana leo