Madalali ni wachawi sana mkuu. Sema wanajua kuipamba kazi yao.Aisee
Halafu halipi kodi hata penny
Kweli sidhani kama ntanunua kupitia dalali hata awe padri au ustadh
Ukisikia mtu katengeneza 3m kwa saa moja ndio huu sasa
Halafu mtu atabisha aseme kwa biashara gani? Kumbe mdomo tu
Sasa unalia lia nn kwa kitu ambacho sio chako.? Dalili ya umasikini ni kung'ang'ania vya wenzakoHela sijapoteza nitatafutaje kitu ambacho sijakipoteza hivi unaakili timamu kweli
Mcheza huchezwa. Take care kuna dalali haamki sahivi maana wamemuweza wajuvi wa mamboUkiona mtu tumemchezea mchezo ujue kazingua ndio kama huyu
Hawanipati tuMadalali ni wachawi sana mkuu. Sema wanajua kuipamba kazi yao.
SureMganga WA uhakika hanaga Namba ya simu, Kwa kifupi Hana mawasiliano kabisaaa, pia mganga WA ukweli hajawahi kujitangaza ukifika anakupiga mkwara kwanza umepata wapi taarifa zake.... Anamalizie labda tunaweza kujaribu
We mbona unahangaika kunijibu kwani we ndio mwenye eneo?Sasa unalia lia nn kwa kitu ambacho sio chako.? Dalili ya umasikini ni kung'ang'ania vya wenzako
Ndio eneo langu sasa kafanye ulonzi wako kwa amani ila usije jutiaWe mbona unahangaika kunijibu kwani we ndio mwenye eneo?
Hahhaha dalali mtu mbaya kwa kweliHawanipati tu
Hahahaaaa, tunaijua hiyo..Ndio
Mshana Jr Kuna mtu anahitaji msaada wako hapa.Msaada wa mtaalamu wa kurudisha mtu aliebebwa (msukule)au nin kifanyike ile mtu wetu asiteswe waliohusika wapate tabu please bado siku 10 to 40 days
Kama kichwa kinavyosema jamani nahitaj msaada wa hilo jambo
Acha imani za kipumbavu na kimaskini.Msaada wa mtaalamu wa kurudisha mtu aliebebwa (msukule)au nin kifanyike ile mtu wetu asiteswe waliohusika wapate tabu please bado siku 10 to 40 days
Kama kichwa kinavyosema jamani nahitaj msaada wa hilo jambo
Huko mkoani Lindi kuna Bwana mmoja ame-specialize kwenye hiyo habari ya kurudisha misukule..