Maya Angelou
JF-Expert Member
- Oct 19, 2019
- 1,086
- 2,576
- Thread starter
-
- #161
Ur IQ is below normal ndio maana hata unachokiandika hakieleweki
Masharti utayaweza?
Kumbuka ukifanya ndio Basi Tena, usije ukamuonea huruma uliyemtendea ukadhani unaweza kumtibia.
Hebu fikiri Tena, hasira hasara.
Fikiria Tena kabla hata hujaandika.
Take time hata mwezi.
Ili umkomeshe tu au sio?πππAsante nipo tayari kwa hilo
Ili umkomeshe tu au sio?[emoji23][emoji23][emoji23]
Mambo ni yale yale.Kitakachogeuka badae kitakua ni kulogana.kwasababu hata hao utakaowaloga nao watapambana kujiagua mwishoni watajua ni wewe watajibu mashambulizi.Kwasababu wataalamu wanaotumika kuloga ndio hao hao wanaoagua.kwahiyo mnaweza kujikuta mmeangamizana uku wataalamu wakineemeka.Kwahiyo haya mambo yanahitaji umakini na busara sana.Dada nakuunga mkono
Ukipata nisaidie na mimi.
Nimedhulumiwa mil 5.4 walionidhulumu wanadunda tu mjini na wanajibu kunya.
Ninaweza kuwafata front ila nahofia matokeo yake maana nina familia, haitapendeza wanangu na mke wangu kuja kuniona jela, majukumu yangu atatimiza nani.
Tafadhali ukipata usinisahau.
Liverpool VPN kuna uzi amethibitisha uchawi upo....Soma kwa utulivu nimeweka mfano tu ila nahitaji mtaalamu wa fani hizo
Na huo ndio ubaya wa ushirikina mtarogana mpaka muwe masikiniMambo ni yale yale.Kitakachogeuka badae kitakua ni kulogana.kwasababu hata hao utakaowaloga nao watapambana kujiagua mwishoni watajua ni wewe watajibu mashambulizi.Kwasababu wataalamu wanaotumika kuloga ndio hao hao wanaoagua.kwahiyo mnaweza kujikuta mmeangamizana uku wataalamu wakineemeka.Kwahiyo haya mambo yanahitaji umakini na busara sana.
I love the spirit of this "dada" no retreat no surrender, saa nyingine kuna mambo yanakela mpaka unakaribia kujitoa roho.. fanya kweli dada mzuri usiutese moyo wako.Usisemee mioyo ya watu,pengine na mimi nimesharogwa sana tu,usiyoyajua yasikupe shida
Hapa jambo ni moja tu na lazima likamilike hakuna ushauri wa kurudi nyuma
Dunia ndio hii na sisi ndio walimwengu
Dini ndio ziliwaambia mtu akikudhulumu/akikuonea basi achana nae?
kumbe ndio huyu aliyepo hapa barabarani, kaburi lake sasa hivi ni makumbusho, kwenda kuliangalia ni laki taslim...Mzee Mwandulami yule alifariki mwaka jana ambapo alikuwa amejijengea kaburi la billion 1? Sema Yule mzee alikuwa sio poa, kwahiyo kijiti kapewa mtoto wake?
atuui tuna oneshana makali...Imeandikwa USIUE
Kwani Mungu ameshindwa? Imani yako ni haba
I love the spirit of this "dada" no retreat no surrender, saa nyingine kuna mambo yanakela mpaka unakaribia kujitoa roho.. fanya kweli dada mzuri usiutese moyo wako.
Mchepuko tu ndo unataka kutoa mtu roho? huyo dada naye alitongozwa tu kama weweOption zote mbili kinacho wezekana kifanyike
Na huo ndio ubaya wa ushirikina mtarogana mpaka muwe masikini
Mtu ukiingia katika haya mambo inabidi mfukoni uwe na pesa ya kutosha
Umeona eehhAnajulikana sana,niliishi pande za huko hakuna asiemjua huyo atakuwa mgeni labda
Ahahahahaπ π π
View attachment 2267797