Maya Angelou
JF-Expert Member
- Oct 19, 2019
- 1,086
- 2,576
- Thread starter
- #161
Ur IQ is below normal ndio maana hata unachokiandika hakieleweki
Bado unabishana na mtu mwenye IQ ndogo[emoji23][emoji23][emoji23]wenye IQ kubwa ni wanaopita kimya kimya,you stoop so low kujibishana na mimi mwenye IQ ndogo
Huna point una ruka ruka ka popcorn Mara IQ mara tabia hebu endelea nataka ujibu mpaka siku ukiona umemaliza ntakuwa hapa kukujibu,huwa sikimbii uzi nilioanzisha mimi mwenyewe,we ulisikia wapiii!