Natafuta mganga wa kienyeji konki

Natafuta mganga wa kienyeji konki

Ur IQ is below normal ndio maana hata unachokiandika hakieleweki

Bado unabishana na mtu mwenye IQ ndogo[emoji23][emoji23][emoji23]wenye IQ kubwa ni wanaopita kimya kimya,you stoop so low kujibishana na mimi mwenye IQ ndogo
Huna point una ruka ruka ka popcorn Mara IQ mara tabia hebu endelea nataka ujibu mpaka siku ukiona umemaliza ntakuwa hapa kukujibu,huwa sikimbii uzi nilioanzisha mimi mwenyewe,we ulisikia wapiii!
 
Masharti utayaweza?
Kumbuka ukifanya ndio Basi Tena, usije ukamuonea huruma uliyemtendea ukadhani unaweza kumtibia.
Hebu fikiri Tena, hasira hasara.
Fikiria Tena kabla hata hujaandika.
Take time hata mwezi.

Huu ni mwezi wa tatu dhamira yangu ipo pale pale,huwa sikurupuki ndio maana bado nafanya utafiti wa mtu wa uhakika,wawili hata watatu ili nikishaanza kazi ni kazi tu
Sina hasira nina nia na dhumuni huwezi kunibadilisha hapo
Sasa kama una msaada weka hapa
 
Dada nakuunga mkono
Ukipata nisaidie na mimi.
Nimedhulumiwa mil 5.4 walionidhulumu wanadunda tu mjini na wanajibu kunya.

Ninaweza kuwafata front ila nahofia matokeo yake maana nina familia, haitapendeza wanangu na mke wangu kuja kuniona jela, majukumu yangu atatimiza nani.

Tafadhali ukipata usinisahau.
Mambo ni yale yale.Kitakachogeuka badae kitakua ni kulogana.kwasababu hata hao utakaowaloga nao watapambana kujiagua mwishoni watajua ni wewe watajibu mashambulizi.Kwasababu wataalamu wanaotumika kuloga ndio hao hao wanaoagua.kwahiyo mnaweza kujikuta mmeangamizana uku wataalamu wakineemeka.Kwahiyo haya mambo yanahitaji umakini na busara sana.
 
Mambo ni yale yale.Kitakachogeuka badae kitakua ni kulogana.kwasababu hata hao utakaowaloga nao watapambana kujiagua mwishoni watajua ni wewe watajibu mashambulizi.Kwasababu wataalamu wanaotumika kuloga ndio hao hao wanaoagua.kwahiyo mnaweza kujikuta mmeangamizana uku wataalamu wakineemeka.Kwahiyo haya mambo yanahitaji umakini na busara sana.
Na huo ndio ubaya wa ushirikina mtarogana mpaka muwe masikini
Mtu ukiingia katika haya mambo inabidi mfukoni uwe na pesa ya kutosha
 
Usisemee mioyo ya watu,pengine na mimi nimesharogwa sana tu,usiyoyajua yasikupe shida
Hapa jambo ni moja tu na lazima likamilike hakuna ushauri wa kurudi nyuma
Dunia ndio hii na sisi ndio walimwengu
I love the spirit of this "dada" no retreat no surrender, saa nyingine kuna mambo yanakela mpaka unakaribia kujitoa roho.. fanya kweli dada mzuri usiutese moyo wako.
 
I love the spirit of this "dada" no retreat no surrender, saa nyingine kuna mambo yanakela mpaka unakaribia kujitoa roho.. fanya kweli dada mzuri usiutese moyo wako.

Mimi nimekuzwa naambiwa malizana na watu vizuri kuna watu jambo dogo anaweza kukufanyia kitu kibaya sana,dunia haina usawa
Sasa katika harakati za maisha anatokea mtu anakuona kujishusha kwako ni kama wewe ni mjinga sana,yani mtu akuonee na akutambie na aendeleze choko choko aisee awamu hii siwezi vumilia,unajua kuna mtu anaweza kukukosea dhamira ikamsuta akaacha uonevu,Ila kuna mtu anakuonea na anajitapa kwa uonevu hapo hapo anaendelea kukuharibia basi tu bila sababu maalum
Hakuna mahubiri zaidi ni kazi moja tu,mwezi wa tatu huu roho inaniuma na mkosaji anacheka....
 
Na huo ndio ubaya wa ushirikina mtarogana mpaka muwe masikini
Mtu ukiingia katika haya mambo inabidi mfukoni uwe na pesa ya kutosha

Sinywi pombe,sio mtu wa shughuli yani kifupi sina mambo mengi,wacha hii iwe hobby yangu mpya,nimejipanga na kazi zangu zinaendelea kama kawaida hakuna umaskini wala nini..!
Mafanikio yapo pale pale na mambo mengine yataendelea mpaka kieleweke
 
Mwacheni dada afanye utalii wa ndani ktk hii sekta... hii sekta kama imesahaulika au ina faraga sana au kuna jambo...

nina imani ataleta mrejesho, na kwakuwa namba za waganga, masheikh na mapadre mmempa hivyo mrejesho utakuwa mzuri sana
 
Back
Top Bottom