Natafuta mganga wa kienyeji konki

Natafuta mganga wa kienyeji konki

Na huo ndio ubaya wa ushirikina mtarogana mpaka muwe masikini
Mtu ukiingia katika haya mambo inabidi mfukoni uwe na pesa ya kutosha
Kwa kweli Uchawi ni Imani ya Mtu, Lakini kWaamini MUNGU wana nguvu kuliko uchawi! Usiombe kukutana na watu wa namna hii, kuna watu wanapendwa na Mungu,wanalindwa na Mungu mwenyewe.
Kuna stori nilishawahi kuiandika hapa,
Wakati fulani nilikuwa naishi na kufanya kazi upande wa pili, nikiwa uko kuna watu walikorofisha nikawasimamisha kazi, Wakaunda jopo kuniendea kwa mganga, nikasikia nikafanya maombi nikamaliza, ikapita.
Nyingine, Kulikuwa na mkakati wa kuniondoa kwenye nafasi yangu, akaletwa na mtu kabisa, Kuna mshikaji alikuwa rafiki sana, akanifuata na kuniomba anipeleke kwa Babu yake eti amesikia taarifa mbaya,Nilimwambia MUNGU niliyenaye anatosha, Ikapita, Japo nilifanyiwa vitimbi sana lakini mpaka leo namshukuru MUNGU nimeshinda.
 
[emoji23][emoji23][emoji23]
Screenshot_20220701-211043_Chrome.jpg


Uyu sio wewe kweli😄
 
Kwanini hakukataa alipotongozwa ili hali alikuwa anajua jamaa ameoa na siku ya harusi huyo mchepuko alikuwepo kuanzia kanisani hadi ukumbini na kuthibitisha kuwa jamaa ameoa?!

Kwani alifanya kubakwa ?


Isitoshe mke wa jamaa amekuwa akiwakamata mumewe na huo mchepuko mara kadhaa kwa miaka kadhaa na kumuonya mara kadhaa lakini mchepuko umeendelea kushupaza shingo na kumganda mume wa mtu kwa miaka yote hiyo?!

Mchepuko hauna kazi hata ya kuingiza kipato cha shilingi 100 mchepuko unaishi mjini Kwa kuwekwa na mume wa mtu halafu amepumbaza akili ya mume wa mtu kiasi nyumba imekufa na kuparagangika!

Halafu mchepuko haujui kuwa mke wa ndoa ndio wenye kufanya maendeleo ya familia yote anayoyajua na asoyajua?!

Mchepuko ameenda mbali kwa kuzaa na mume wa mtu na kumroga na kumfanya zezeta?!

Mchepuko wa hivyo sio wa kuupotezea tena enough is enough!

Mpe funzo ambalo litakuwa Somo kwa wengi.

Usimuue,

Kisasi ni cha Bwana,

Lakini funzo mpe tena kubwa sana lile la mwanaukome!

Yani mtu badala ya kuonesha kujutia makosa Eti yeye anatamba?

Hapana!

Mleta mada mimi nakuelewa Dunia hii nimejifunza iko na mambo mengi sana.

Kuna ndugu yangu anapitia mtihani wa kufanana na wako!
Aione deep pond kwenye jalada 🤣🤣🤣🤣🤣
 
Kikubwa hakikisha usiongee chochote kuhusu huyo mtesi na adui yako,

Hata kwa watu wengine usiongee chochote.

Usitume meseji yoyote.

Usipige simu,

Fanya matendo tu.

Nipo kimyaa kwa sasa ili jambo likitokea kusiwe na maneno kunihusu
 
Kama bado hujapata mganga nichek ila hapo kwenye kunipa shukran naomba usinipe hela Wala zawad yoyote ya kununua maana unavyo vingi vya kunibless nitafurahi ukinipa zawadi ya kipekee
 
Poleni na majukumu ya kila siku
Nimekuja na ID yangu hii sina haja ya kujificha

Moja kwa moja kwenye mada,nahitaji msaada kama kuna mtu anamjua mganga wa uhakika anifanyie kazi yangu, kuna waganga huwa nasikia wanatoa watu mabusha, wanatuma majini au kumpa mtu ugonjwa nahitaji mganga wa hivyo

Hii dunia ina mengi,na ikifika kipindi cha vita unaambiwa usichague silaha,nahitaji jambo langu likamilike kwasababu kuna watu wanaweza kukukosea heshima mpaka wakapitiliza, ukimya na subira ni muhimu lakini kuna watu huwa wanaona kama umezubaa

Nikifanikiwa kazi yangu nitakupa ya shukrani sina hiyana
Watu wa mahubiri hapa sio sehemu yake.

Nawashukuruni naamini nitapata msaada wenu
Kwa kuwa umeshaibiwa Sasa,usikubali kuendelea kuibiwa hakuna mganga wa kweli,ila wanafanya TU kama biashara au mfanyakazi wa ofisini,Hela Yako uliyonayo usiendelee kuibiwa,nipe Mimi na matatizo Yako yasiyoisha itakuwa mwisho wake🤣🤣🤣🤣
 
uko seriouse? kuna vitu vitahitajika kama udi aina ya saphlora+kaniki nyeusi+ chungu kidogo +mafuta ya mzaituni+ubani wa mashitaka+ maji ya zamda +maji ya maiti(aliyooshewa maiti) + ubani wa marka+ chungu kidogo .Italetwa sura ya huyo mtesi wako /mbaya wako kwenye beseni / kioo .sasa utaamua wewe unataka umfanyaje!? kama uchukue wembe ukate ni wewe tu nk.
Nataka danga langu nilipumbaze[emoji850]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom