Natafuta mganga wa kienyeji konki

Natafuta mganga wa kienyeji konki

Poleni na majukumu ya kila siku
Nimekuja na ID yangu hii sina haja ya kujificha

Moja kwa moja kwenye mada,nahitaji msaada kama kuna mtu anamjua mganga wa uhakika anifanyie kazi yangu, kuna waganga huwa nasikia wanatoa watu mabusha, wanatuma majini au kumpa mtu ugonjwa nahitaji mganga wa hivyo

Hii dunia ina mengi,na ikifika kipindi cha vita unaambiwa usichague silaha,nahitaji jambo langu likamilike kwasababu kuna watu wanaweza kukukosea heshima mpaka wakapitiliza, ukimya na subira ni muhimu lakini kuna watu huwa wanaona kama umezubaa

Nikifanikiwa kazi yangu nitakupa ya shukrani sina hiyana
Watu wa mahubiri hapa sio sehemu yake.

Nawashukuruni naamini nitapata msaada wenu
Ushirikina ni uovu
 
Kwanini hakukataa alipotongozwa ili hali alikuwa anajua jamaa ameoa na siku ya harusi huyo mchepuko alikuwepo kuanzia kanisani hadi ukumbini na kuthibitisha kuwa jamaa ameoa?!

Kwani alifanya kubakwa ?


Isitoshe mke wa jamaa amekuwa akiwakamata mumewe na huo mchepuko mara kadhaa kwa miaka kadhaa na kumuonya mara kadhaa lakini mchepuko umeendelea kushupaza shingo na kumganda mume wa mtu kwa miaka yote hiyo?!

Mchepuko hauna kazi hata ya kuingiza kipato cha shilingi 100 mchepuko unaishi mjini Kwa kuwekwa na mume wa mtu halafu amepumbaza akili ya mume wa mtu kiasi nyumba imekufa na kuparagangika!

Halafu mchepuko haujui kuwa mke wa ndoa ndio wenye kufanya maendeleo ya familia yote anayoyajua na asoyajua?!

Mchepuko ameenda mbali kwa kuzaa na mume wa mtu na kumroga na kumfanya zezeta?!

Mchepuko wa hivyo sio wa kuupotezea tena enough is enough!

Mpe funzo ambalo litakuwa Somo kwa wengi.

Usimuue,

Kisasi ni cha Bwana,

Lakini funzo mpe tena kubwa sana lile la mwanaukome!

Yani mtu badala ya kuonesha kujutia makosa Eti yeye anatamba?

Hapana!

Mleta mada mimi nakuelewa Dunia hii nimejifunza iko na mambo mengi sana.

Kuna ndugu yangu anapitia mtihani wa kufanana na wako!
Mchepuko amebebeshwa lawama zote ila mchepukaji halaumiwi huenda kwasababu yeye ni mtoto mdogo.

Ila huyo mlogaji bora ajifunze uganga kabisa maana itabidi aloge wengi maana hilo litoto lake bado litaendelea kuchepuka kwingine tu.
 
Mchepuko amebebeshwa lawama zote ila mchepukaji halaumiwi huenda kwasababu yeye ni mtoto mdogo.

Ila huyo mlogaji bora ajifunze uganga kabisa maana itabidi aloge wengi maana hilo litoto lake bado litaendelea kuchepuka kwingine tu.



Sababu mchepuko alikuwa na uwezo wa kukataa kuingia hayo mahusiano labda ithibitike kuwa alifanya kubakwa yaani kuingiliwa kwa nguvu bila ridhaa yake.

Hata baba mzazi anaweza kumuanza bintiye kumtaka kimapenzi ,

Je binti awe anakubali sababu yeye ameanzwa kutakwa na baba yake mzazi?

Anachotakiwa ni kukataa , sasa kwa nini akubali?

Mwanamke ndie wa mwisho kuridhia mahusiano ya mapenzi labda abakwe.

Halafu mbaya zaidi mwanamke akaona kufanya uhusiano bila kuroga haitoshi mpaka mpaka amroge Mwanaume kumpumbaza akili yake ?!

Haitoshi na kumwibia hela Mwanaume wa watu?!

Wote kweli ni wakosefu lakini mwanamke mchepuko ni mkosefu zaidi na adhabu yake inapaswa kuwa kubwa zaidi.
 
Nataka dawa yakumuadabisha jamaa aliyelala namke wangu. Kama ipo ni pm
 
Kama bado hujapata mganga nichek ila hapo kwenye kunipa shukran naomba usinipe hela Wala zawad yoyote ya kununua maana unavyo vingi vya kunibless nitafurahi ukinipa zawadi ya kipekee
Hio zawadi hao waganga wote watakuwa wamekutunzia wewe, wanakuogopa? Hujasoma hapo juu huyo mke wa mtu aliyelala kwa mganga siku tatu ili simu yake ipatikane? Siku tatu!!!! Na usiku wanaamshana kupiga stori!!! Na anasimulia kwa furaha!!!!

Au umesahau kisa cha mwaka Jana mganga kakutwa na zaidi ya chupi 50 za wake za watu wateja wake, akiipaka dawa yule mwanamke anajipeleka mwenyewe anamzini, ni rotation tu inaendelea.

Au wale waliotangazwa ITV wiki iliyopita, familia iliyopeleka watoto wao 3 wakiume wakazindikwe, dawa inatolewa usiku, wote wakalawitiwa!!! Eti nao wamekasirika wanatoa taarifa polisi !!!!
 
Hio zawadi hao waganga wote watakuwa wamekutunzia wewe, wanakuogopa? Hujasoma hapo juu huyo mke wa mtu aliyelala kwa mganga siku tatu ili simu yake ipatikane? Siku tatu!!!! Na usiku wanaamshana kupiga stori!!! Na anasimulia kwa furaha!!!!

Au umesahau kisa cha mwaka Jana mganga kakutwa na zaidi ya chupi 50 za wake za watu wateja wake, akiipaka dawa yule mwanamke anajipeleka mwenyewe anamzini, ni rotation tu inaendelea.

Au wale waliotangazwa ITV wiki iliyopita, familia iliyopeleka watoto wao 3 wakiume wakazindikwe, dawa inatolewa usiku, wote wakalawitiwa!!! Eti nao wamekasirika wanatoa taarifa polisi !!!!
Duhh

Sent from my SM-G935T using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom