Alubati
JF-Expert Member
- May 29, 2016
- 6,535
- 14,840
Naomba pmMkuu njoo inbox nikuelekeze hutajutia . Nimeshindwa kuweka number yangu au yake kwa sababu za kiusalama . Utakuja kunishukuru mkuu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Naomba pmMkuu njoo inbox nikuelekeze hutajutia . Nimeshindwa kuweka number yangu au yake kwa sababu za kiusalama . Utakuja kunishukuru mkuu
Kweli kabisaa ,kuna jamaa nilisimuliwa aliambiwa watakuja wageni awapokee kumbe cobra, cobra alipofika jamaa akamuua kumbe ilitakiwa amkarimu ampe na msosi ale daah utafutaji una mambo ,though waganga wanatofautiana maujuziutaweza masharti ama unatafta tu mganga wengi wenu mnaenda kwa waganga ila masharti yanawashinda
[emoji23][emoji23][emoji23], cobra mgeni!!! Du, nitatimuaKweli kabisaa ,kuna jamaa nilisimuliwa aliambiwa watakuja wageni awapokee kumbe cobra, cobra alipofika jamaa akamuua kumbe ilitakiwa amkarimu ampe na msosi ale daah utafutaji una mambo ,though waganga wanatofautiana maujuzi
Waganga wapo tofauti ,kuna mwingine kajikita kwenye mali ,mwingine magonjwa na mwingine vyote kwa pamojaBro. Kuna mwingine unampatia namba kabisaaa lkn haishii hapo tuu unamwelekeza hadi ramani yote ya kufika huko. Lakini bado anakuuliza maswali ya kipumbavu ,anataka kujua uchumi wako na unamaisha gani sasa unajaribu kujiuliza mtu umempatia namba anashindwaje kupiga simu na kama anahisi namba sio unampatia hadi ramani ya kufika huko. Sasa shida iko wapi alafu mtu huyo bado anakuita tapeli .UJINGA
Kwa hiyo Hornet unaturingia sio! Si uwasaidie hiyo namba na wengine wenye uhitajiMliringa na namba zenu nimempata mtaalamu
Dear tapeli shughuli yenu inaiva.
Kuna hyo alinipa namba akasema mpigie hyo atakusaidia wengine tunaomba namba kwa ajili ya ndugu zetu aloo nilioga matusi ya mie mchawi😂😂Bro. Kuna mwingine unampatia namba kabisaaa lkn haishii hapo tuu unamwelekeza hadi ramani yote ya kufika huko. Lakini bado anakuuliza maswali ya kipumbavu ,anataka kujua uchumi wako na unamaisha gani sasa unajaribu kujiuliza mtu umempatia namba anashindwaje kupiga simu na kama anahisi namba sio unampatia hadi ramani ya kufika huko. Sasa shida iko wapi alafu mtu huyo bado anakuita tapeli .UJINGA
[emoji16][emoji16][emoji23][emoji16][emoji16][emoji16]Kuna hyo alinipa namba akasema mpigie hyo atakusaidia wengine tunaomba namba kwa ajili ya ndugu zetu aloo nilioga matusi ya mie mchawi[emoji23][emoji23]
Duh!!....Watu wa jf ni wapuuzi sana ,mtu anakufata inbox umpe chaka kisha unampatia then akienda huko uliko muelekeza anafika anaongea yote uliyo yasimulia huku ,bahati mbaya sana tena sana huwez kuwatambua coz humu wanatumia id fake ila kiukweli sio vuzur, mwingine anakufata inbox kwa maneno mazuri tuu kumbe anakusnitch tuu baadae unagundua ni mpelelez wa maisha yako yaan anataka kujua unamiliki nini na nini ,sasa unajiuliza huyu kafata connection au mpelelez wa maisha yangu.
Mwingine anakuja inbox na vijimaswali vya kimitego akisha kupeleleza akijua uimara wako wa uchumi anaanza kuleta habari za biashara aifanyayo baadae unagundua kuwa huyu ni tapeli hivyo wengine tunafuatwa inbox na matapeli
Mwingine anafungua account nyingine ya jina la mdada kwa kuwa anajua ulielezea kuwa ulifanikiwa moja mbili basi atakupeleleza weeeeeee baadae unajua adhima yake ni nini, kuna maswali inbox unaulizwa hadi unashangaa sasa unategemea mtu kama huyo utampatia chimbo la kweli?
Sister tupe udambwi udambwi huoMliringa na namba zenu nimempata mtaalamu
Dear tapeli shughuli yenu inaiva.
Nmepata connection mwanga moshi uko wacha nijiendee
Wapare wanajitahidi sana...!
Ety enh nmeambiwa adi wanapika kwa wingi wa watuWapare wanajitahidi sana...!
YapEty enh nmeambiwa adi wanapika kwa wingi wa watu