Natafuta mganga wa kienyeji konki

Natafuta mganga wa kienyeji konki

Habari ya wakati huu ndugu, kama unamjua mganga popote hapa TANZANIA mwenye uwezo wa kumfanya mtu apate mali (PESA) Kwa njia yoyote au freemason na una uhakika 100% tafadhali unisaidie kunielekeza. Natafuta sana hilo jambo

Nipo Moshi

0748 605 404
Ukitaka utajiri wa haraka hivyo wewe kakwibe tu,na kama upo Moshi huenda umesahau maana ya MOSHI(Mungu Onyesha Hela Ilipo)🚶
 
Umempata ndg na unakuwa tajiri haswa na mtu maarufu uzuri wake hana masharti magumu,sharti ni kumpa tigo mfano leo tarehe 12/11/022 ukampa tigo ni mpaka mwakani tarehe kama ya leo na mwezi kama wa leo,simple tu ndg
Usha Pm namba za huyo mwamba anae toa pesa through kula kimba[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Umempata ndg na unakuwa tajiri haswa na mtu maarufu uzuri wake hana masharti magumu,sharti ni kumpa tigo mfano leo tarehe 12/11/022 ukampa tigo ni mpaka mwakani tarehe kama ya leo na mwezi kama wa leo,simple tu ndg
Daah 🤣🤣🤣
 
Habari ya wakati huu ndugu, kama unamjua mganga popote hapa TANZANIA mwenye uwezo wa kumfanya mtu apate mali (PESA) Kwa njia yoyote au freemason na una uhakika 100% tafadhali unisaidie kunielekeza. Natafuta sana hilo jambo

Nipo Moshi

0748 605 404
Mtafute Lwanda Magere atakupa mchongo wote kama una ndugu basi jua utawamaliza kwa kafara.
 
Kuna mchaga nilikua napiga nae story, anasema ile spirit ya kichaga ya kusaka life now haipo. Vijana wanapenda shortcut mno, wengi wana utajiri wa janjajanja kama huo wa mleta uzi.

Komaa kijana, jifunze nidhamu ya pesa la sivyo utaishia kuliwa ndgo dunia imeharibika hii.
 
Back
Top Bottom