Aaliyyah
JF-Expert Member
- Mar 20, 2022
- 19,041
- 46,239
Kweli kabisaKwa kweli, mwenyewe nimeona saivi nimegonga 86 na sina maisha si bora kujilipua tu 🤪
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kweli kabisaKwa kweli, mwenyewe nimeona saivi nimegonga 86 na sina maisha si bora kujilipua tu 🤪
Jina lake limerudi likiwa jeupe, yaani hana a wala be, ni mwepesi kuzidi karatasi 🤪Apia
😂😂😂😂🏃♂️
Andaa kiingilio tu, manake yule Mzee yeye hupenda kutoza shilingi 50 tu.Kweli kabisa
Limepita iloAndaa kiingilio tu, manake yule Mzee yeye hupenda kutoza shilingi 50 tu.
Kwahiyo nenda Benki mapema ukachenji shilingi 100 upate hizo 50 50
Hahaha.............sawa MkuuLimepita ilo
Tatizo ganiWakuu mambo vp?
Nina ishu serious sana inanisumbua nahitaji mganga mwenye uwezo wa kunitatulia tatizo langu. Maana wengi nilioenda hawana suluhisho la muda mrefu ni kama wanakutibu ndani ya muda mfupi tatizo linarudi tena!
Nipo Dar akipatikana aliye Dar itapendeza zaidi.
N.B: Wale wa chumvi ya mawe, mara sijui nimwombe Mungu yote hayo nayajua lakini siyataki kwenye uzi huu. Nataka watu wenye miamba konki ya kutatua tatizo langu.
Mkuu mbona huo ugonjwa unatibika hosp? Anywys pole sanaKuna watu hupenda kuona wenzao wanataseka tu, imagine mtoto mdogo wa miezi 2 wanataka kumfanya awe hazijaenea alafu aanguke kifafa. Alafu Mama yake ziwa lichafuke asinyonyeshe mtoto
Dunia ina mengi sana hii
😂😂😂 sasa si umuhurumie aisee?Jina lake limerudi likiwa jeupe, yaani hana a wala be, ni mwepesi kuzidi karatasi 🤪
Ni kweli, lakini Madaktari walishindwa kumtibia zaidi ya mwaka 1 anatibiwa bila mafanikio.Mkuu mbona huo ugonjwa unatibika hosp? Anywys pole sana
Kwahiyo unataka tufe masikini na Bibi yako? Na hivi tunalima miaka 50 sasa bila mafanikio 😀😂😂😂 sasa si umuhurumie aisee?
Ilitakiwa ulivofika tu ujue tayari shida zake....Nimefika aseme shida yake
Afike kilingeniIlitakiwa ulivofika tu ujue tayari shida zake....
Andika hilo tatizo Pm.Wakuu mambo vp?
Nina ishu serious sana inanisumbua nahitaji mganga mwenye uwezo wa kunitatulia tatizo langu. Maana wengi nilioenda hawana suluhisho la muda mrefu ni kama wanakutibu ndani ya muda mfupi tatizo linarudi tena!
Nipo Dar akipatikana aliye Dar itapendeza zaidi.
N.B: Wale wa chumvi ya mawe, mara sijui nimwombe Mungu yote hayo nayajua lakini siyataki kwenye uzi huu. Nataka watu wenye miamba konki ya kutatua tatizo langu.
Heri tu mpumzike mkiwa apecha aloloKwahiyo unataka tufe masikini na Bibi yako? Na hivi tunalima miaka 50 sasa bila mafanikio 😀