Kelsea
JF-Expert Member
- Dec 21, 2020
- 14,564
- 34,341
Ziba maskioBear kama Bear.
Nasikia baridi ya kinyakyusa leo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ziba maskioBear kama Bear.
Nasikia baridi ya kinyakyusa leo
mkuu,kwan hamwez kulonga bila kutaja chelsiii yetu?Hapana hata kwa kulipwa siwezi kua chelsii
NI mfano mzurimkuu,kwan hamwez kulonga bila kutaja chelsiii yetu?
kina magwaya huko wanatoa asist mbona tumenyamaza?...vp kuhus washka mtutu?NI mfano mzuri
Sasa huko kwa washika mtutu usifike kabisa, ishia kwa magwayakina magwaya huko wanatoa asist mbona tumenyamaza?...vp kuhus washka mtutu?
wavulana wanaweza vp fanya kaz ya wanaume?...pep ana viporo viwili,hadi hapa asanten kwa kushiriki!Sasa huko kwa washika mtutu usifike kabisa, ishia kwa magwaya
Msitutishe bhana tutapindua meza ethiadwavulana wanaweza vp fanya kaz ya wanaume?...pep ana viporo viwili,hadi hapa asanten kwa kushiriki!
HeheheYaani umeshindwa kumpata mke mtaani uje umpate Jf
Vijana wa siku hizi mmekuaje Mbona mmelegea hivi aisee
Ngoja aje single mama, then utakuja mwakani kuomba ushauri tukutukaneHabari,
Mimi nina umri wa miaka 40, natafuta mke asiezidi miaka 35, dini yoyote, kabila lolote, rangi awe mweupe. PM ipo wazi kwa aliye makini, aliyemaliza mambo yake, siitaji msumbufu uko nishatoka.
Akiwa na biashara au mfanyakazi, au mama wa nyumbani.
top 4 ndo kombe lenu msimu huu...saka ndo team star afu uchukue epl,famasihara ninMsitutishe bhana tutapindua meza ethiad
Saka ni mtu na nusu pale ung'ombeni msimu ujao ni kucheza nyumbani tu na mablichi yenutop 4 ndo kombe lenu msimu huu...saka ndo team star afu uchukue epl,famasihara nin
Mbona tunavunjana moyo mkuu? Uko ilikotoka. Nshavurugwa saaaana naitaji utulivu wa moyo, maisha yenyewe mafupi, angalau nipate wa kuendana nae, sio stress juu ya stress. Inshallah kwa uwezo wa Allah atakuja tu. Subira huvuta kheri. EID MUBARAK KWA WAISLAM WOTE.Ngoja aje single mama, then utakuja mwakani kuomba ushauri tukutukane
Mtu wa kukutia moyo ni yule ambaye utaona yeye mwenyewe anakufata, anaishi kadri ya uwezo wako, hata usipomstua wewe utamuona malangoni mwako, yaani kiufupi anakupenda na yuko tayali Kwa mvua na jua, rejea kwa Dr Nandipa wa huko South Africa alichofanya Kwa mwanaume wake ambaye ni mharifu,ndo utajua mapenzi ya mwanamke asiye weza kukutenda yukoje,ila ukimtafuta humu nakwambia utakomaMbona tunavunjana moyo mkuu? Uko ilikotoka. Nshavurugwa saaaana naitaji utulivu wa moyo, maisha yenyewe mafupi, angalau nipate wa kuendana nae, sio stress juu ya stress. Inshallah kwa uwezo wa Allah atakuja tu. Subira huvuta kheri. EID MUBARAK KWA WAISLAM WOTE.
Sent using Jamii Forums mobile app
chelsea sio level yenu,uefa,ueropa,super cup,club world zote tumebeba,una mangap kat ya hayo?...jana niliwaamin wamerarua odds 5 zang nyambafSaka ni mtu na nusu pale ung'ombeni msimu ujao ni kucheza nyumbani tu na mablichi yenu
UPo nafasi ya ngapi kwenye msimamo wa ligi?chelsea sio level yenu,uefa,ueropa,super cup,club world zote tumebeba,una mangap kat ya hayo?...jana niliwaamin wamerarua odds 5 zang nyambaf
kwa sasa hata sijitutumui,nalinda tu nishuke,no title race,no even top six...tukutane next season mkuuUPo nafasi ya ngapi kwenye msimamo wa ligi?
😂 sawa mkuu polekwa sasa hata sijitutumui,nalinda tu nishuke,no title race,no even top six...tukutane next season mkuu
Daaaah, ngoja niiweke hii, yakinikuta ntaleta mrejesho, pindi mwaka au miaka tutakapokua hai.Mtu wa kukutia moyo ni yule ambaye utaona yeye mwenyewe anakufata, anaishi kadri ya uwezo wako, hata usipomstua wewe utamuona malangoni mwako, yaani kiufupi anakupenda na yuko tayali Kwa mvua na jua, rejea kwa Dr Nandipa wa huko South Africa alichofanya Kwa mwanaume wake ambaye ni mharifu,ndo utajua mapenzi ya mwanamke asiye weza kukutenda yukoje,ila ukimtafuta humu nakwambia utakoma