Natafuta mke tutakaye-adopt watoto pamoja naye

Natafuta mke tutakaye-adopt watoto pamoja naye

The best option ambalo litakulindia heshima yako ni Wewe kuruhusu either Mzazi wako wa kiume au ndugu yako kulala na mke utakae muoa, Ni gumu sana hili ila litakueka Huru na maneno maneno, Wazungu ku adopt mtoto kwao ni possible kwa vile family zao nyingi Nuclear baba mama na watoto sasa sie Africans ni extended tuna mlolongo wa ndugu watakunyima tu raha mkuu, Wachana na Mambo ya pepo au sijui Mungu, Kama kweli anakupenda Mungu Kwanini asikujalie capability ya kubebesha Mimba, BTW mkuu luse ameeleza professional kuwa tatizo lako linatibika i mean liko ndani ya uwezo don't give to early mkuu hakuna msaada wowote kutokea mawinguni huko utakaokuja kukunasua ni Wewe mwenyewe Kuamka na kuamua kutatua changamoto inayokusibu, Uniwie radhi kama ntakuwa nimeongea baadhi ya kukukera

Ni mawazo yako mkuu. Nayaheshimu. Sijakata tamaa na nina amini Mungu atanipa watoto wangu mwenyewe kwa wakati tu. Ila in the mean time nataka ni-adopt. Wale wa kwangu wakija hata baada ya miaka 15 sawa tu.

Kuhusu kuachana na pepo na Mungu, nashindwa hata niseme nini? Lakini hapo ndipo tofauti yetu wanadamu ilipo. Naona hapo unamkufuru Mungu mkuu unaposema eti kama ananipenda kwa nini asingenipa mtoto. Ni sawa na kusema nimkimbilie shetani kwa sababu Mungu hajanitendea ninachotaka. Sitaki hata kusema zaidi.

Lakini wenye ushauri wa aina hii tafadhalini msinipe hata kidogo. Bakini nao. Mimi kwangu Mungu atabaki kuwa Mungu hata kama ataninyima vyote. Soma kitabu cha Ayubu na jinsi alivyoteseka. Mke wake alifika mahali akaongea maneno kama hayo hapo juu. Matokeo yake alikufa na Ayubu alibaki Mungu akamjali mara dufu ya kila alichopoteza.

Mimi ni mwafrika halisi lakini Mungu na ufalme wake anakuja kwanza kabla ya jambo lolote lile. Fahari zangu mwenyewe, familia na ukoo vyote vinafuata. Ni tofauti zetu kiimani na kiroho.

Naheshimu mawazo ya kila mmoja. Na ninayafanyia kazi. Nimejifunza mambo mengi mazuri kutoka ushauri wa wadau hapa lakini "as a general rule..." kama una mawazo yoyote ya aina hii...."keep them to yourself.."

MUNGU KWANZA... Mimi kitu gani? Mimi ni mavumbi tu... na siku moja nitarejea mavumbini....UKOO??? Ukoo kitu gani? Zilikuwako koo maarufu duniani kama ile ya Kaizari....au.. Faraoh....leo ni historia.....

Kama Mungu aishivyo....sitamwasi kamwe...Ije mvua...lije jua.......
 
POLE SANA,,,MUNGU AKUSAIDIE KAKA,,DUNIAN YOTE NI MAPITO,,HOPE KUNA SIKU HILI LITAPITA KWAKO...STAY STRONG BROTHER
 
Habari za leo wana JF.

Mimi ni kijana wa kiume rijali kabisa mwenye umri wa miaka 36. Nina elimu nzuri, mcha Mungu, nimeajiriwa, na nina ndoto za maisha vile vile. Kwa sababu zilizo nje ya uwezo wangu nimethibitishiwa na madaktari kuwa nina low sperm count kiasi ambacho siwezi kumpa mwanamke mimba.

Kwa hali hiyo basi nimebakiwa na option moja ya kuasili watoto yatima. Lakini siwezi kufanya jambo hilo peke yangu. Lazima niwe na mke. Nami sikutaka kuoa mke ambaye hata kubalina na matakwa hayo.

Nimeamua kuwa sasa ni wakati mwafaka wa kutangaza nia yangu hii kwa mwanamke ambaye pengine kwa sababu moja au nyingine naye yuko katika hali ngumu kama yangu kwamba naye hawezi kubeba mimba.

Kwa aliyetayari tafadhali niPM.

Sihitaji message zozote za maudhi ambazo hazinisaidii chochote. hujafa hujaumbika. hebu usiniongezee machungu bure wakati tayari nina machungu ya kutosha. kama haikuhusu pita kimya kimya na endelea na maisha yako. Najua kuna watu katika jukwaa hili lazima wacomment kila kitu tena kwa lugha za matusi, kejeli na kukatisha tamaa. kumbuka, kile upandacho utavuna hicho hicho. Tafadhali nyamaza.

Aliyeserious tu aje PM
Pole sana ndugu na hongera kwa ujasiri wako, Mungu anamalengo kwa kila limtokealo mwanadamu simamia maamuzi yako.
 
Ni mawazo yako mkuu. Nayaheshimu. Sijakata tamaa na nina amini Mungu atanipa watoto wangu mwenyewe kwa wakati tu. Ila in the mean time nataka ni-adopt. Wale wa kwangu wakija hata baada ya miaka 15 sawa tu.

Kuhusu kuachana na pepo na Mungu, nashindwa hata niseme nini? Lakini hapo ndipo tofauti yetu wanadamu ilipo. Naona hapo unamkufuru Mungu mkuu unaposema eti kama ananipenda kwa nini asingenipa mtoto. Ni sawa na kusema nimkimbilie shetani kwa sababu Mungu hajanitendea ninachotaka. Sitaki hata kusema zaidi.

Lakini wenye ushauri wa aina hii tafadhalini msinipe hata kidogo. Bakini nao. Mimi kwangu Mungu atabaki kuwa Mungu hata kama ataninyima vyote. Soma kitabu cha Ayubu na jinsi alivyoteseka. Mke wake alifika mahali akaongea maneno kama hayo hapo juu. Matokeo yake alikufa na Ayubu alibaki Mungu akamjali mara dufu ya kila alichopoteza.

Mimi ni mwafrika halisi lakini Mungu na ufalme wake anakuja kwanza kabla ya jambo lolote lile. Fahari zangu mwenyewe, familia na ukoo vyote vinafuata. Ni tofauti zetu kiimani na kiroho.

Naheshimu mawazo ya kila mmoja. Na ninayafanyia kazi. Nimejifunza mambo mengi mazuri kutoka ushauri wa wadau hapa lakini "as a general rule..." kama una mawazo yoyote ya aina hii...."keep them to yourself.."

MUNGU KWANZA... Mimi kitu gani? Mimi ni mavumbi tu... na siku moja nitarejea mavumbini....UKOO??? Ukoo kitu gani? Zilikuwako koo maarufu duniani kama ile ya Kaizari....au.. Faraoh....leo ni historia.....

Kama Mungu aishivyo....sitamwasi kamwe...Ije mvua...lije jua.......


Safi sana!!! Endelea kumwinua Bwana Yesu katika maisha yako...maana aja upesi na ujira wako!!!
 
There is still hope for you

Kwanza nikupe pole.
Mimi ushauri wangu ni nenda hospital wakufanyie further analysis. Hii itakusaidia kujua mobility ya the sperms, yaani uwezo wa hizo sperms kumove na pia itakusaidia kujua the morphology ya hizo sperms, yani shape yao ikoje.

Vipimo vya sperm count ni one of the first tests ili kujua tatizo, na sio kwamba vikija low basi ndo huwezi kuzaa kabisa. Further analysis is still needed.

Sikuhizi due to assistive reproductive technology, watu wenye tatizo la low sperm count bado kuna possibility ya wao kupata watoto.

Kwa mfano kwa kupitia IVF(in vitro fertilization) yani sperms na eggs zinakuwa fertilizatized kwenye lab halafu embryos zinapandikizwa kwenye uterus.

Au kwa njia ya ICSI( intracytoplasmic sperm injection) hii njia hasa hasa inatumika kwa wenye low sperm count ambapo ni sperm moja tu inahitajika, halafu wanaiinject kwenye yai/egg ya mwanamke, then baadae wanakuja kupandikiza embryo kwenye uterus.

Pia kapime fsh na lh, hizi ni hormones ambazo zinastimulate sperm production, kwa hiyo zikiwa low inabidi upate medication ya gonadotropin releasing hormone(GnRH) hii itafanya the pituitary kusecrete hizo hormones.

So ninachotaka kukwambia ni kuwa usilose hope, there is still a fighting chance. We nenda hospital wakazifanyie further analysis sperms zako, na pia wakacheki hormone levels zinazohusiana na sperm production. I think Muhimbili watakuwa wanaweza kufanya hivyo vipimo na pia siku hizi nadhani wanafanya hizo njia za kutunga mimba kwa kutumia assistive reproductive technology. So don't lose hope just yet!
Hii ni ile mbinu BBC walisema ya kuyadanganya mayai ya mwanamke kisha mimba inatungwa pasipo mbegu za mwanaume just like kuku wa mayai wanaotaga bila jogoo.
 
Mungu akakubarikie muujiza wake. Lakini juu ya yote, ailinde amani na furaha ya moyo wako. Kila la kheri
 
CHUKUA HUU USHAURI.
1/Tatizo la mwanaume kuwa na Low Sperm count ni suala la mpito sio jambo la kudumu, ni kitu kinachotibika kitaalamu kwa 100%. Fanya uchunguzi upya katika kituo kingine cha Afya, pia tafuta tiba. Tiba ipo.

2/Kama wewe haujaoa au kama umeoa lakini hukutani na mkeo at least wastani wa mara tatu kwa wiki mfululizo kwa muda wa mwaka mmoja na nusu, huwezi kusema wewe ni Mgumba. Kikubwa uume unasimama na unaweza kumwaga manii za kutosha, basi uwezo wa kumpa msichana mimba upo kwa zaidi ya 80%.

3/Tatizo la Low sperm count ni dogo sana linapokuja suala la kumpa mtu mimba, kwa sababu mara nyingi ni tatizo la mpito na linatibika kwa 100%.

4/Kama kweli imethibitika au itathibitika kwa namna zote kitaalamu kuwa wewe hauna uwezo wa kumpa msichana mimba, basi fikiria kuoa msichana mwenye mtoto tayari kuliko kutaka kuoa msichana Tasa ili kuja kufanya adoption. Kwa sababu zifuatazo...

¡/Suluhisho la ndoa yenu kuwa na mtoto litakuwa limepata suluhu tayari. Maana tayari mtoto yupo.

¡/Upendo wa dhati kwa huyo mtoto utakuwepo kwa sababu amezaliwa na mkeo.

¡¡¡/Wapo wasichana wengi sana waliozalishwa watoto na kukimbiwa na wavulana, hivyo wanalea watoto wasiokuwa na baba wanaofahamika, wasichana hao hitaji lao kubwa ni kutaka tu kuolewa na kufurahia maisha ya ndoa na wala sio kuzaa tena. Hivyo ukimpata huyo utakuwa umepata dhahabu.

¡v/Kumpata msichana ambaye hajaolewa kabisa
na asiyeweza kuzaa kabisa, akiwa na umri chini ya miaka 35 huku akijua kabisa hana uwezo wa kuzaa na akaikubali hiyo hali ni jambo gumu sana. Narudia tena, ni jambo gumu sana. Kwanini? Hawezi kujijua, hawezi kujikubali, haachi kujaribu tena na tena kulala na wanaume tofauti tofauti ili kutafuta mimba nk. Ukioa huyo mwanamke cha moto utakipata tu. Utaumizwa sana.

vi/Suala la kuasili mtoto(Adoption) lina michakato yake kisheria na changamoto zake huko mbele ya safari. Hivyo linaweza pia kukuzingua hapo mwanzoni au huko siku za usoni. Ni last option kwa wale wanandoa walioshindwa kabisa kuzaa. Sio kitu cha blah blah. Ushauri nasaha huwa unatumika sana kabla ya kuamua hilo.

v/Huenda huko mbele ya safari mambo yako yakakaa vizuri na ukaweza kumpa mimba pia. Mambo yote yanawezekana tu, kikubwa hujakata tamaa.
Pole sana mkuu nimesoma ushauri wote na nimetambua misimamo yako.Mimi binafsi ningekushauri kama huyu mdau.Hapa kuna points nyingi sana embu rudia tena kusoma hapa kwa ajili yangu tafadhali.Mungu akuepushe na Yatima hewa maana kwenye vituo kuna watoto yatima wenye wazazi.Waliofanya kwenye hivi vituo nadhani mtakuwa mnaelewa ninachokisema hapa.
 
Pole sana mkuu nimesoma ushauri wote na nimetambua misimamo yako.Mimi binafsi ningekushauri kama huyu mdau.Hapa kuna points nyingi sana embu rudia tena kusoma hapa kwa ajili yangu tafadhali.Mungu akuepushe na Yatima hewa maana kwenye vituo kuna watoto yatima wenye wazazi.Waliofanya kwenye hivi vituo nadhani mtakuwa mnaelewa ninachokisema hapa.


Asante sana mkuu. Ni kweli kuwa kuna ushauri mwingi sana umetolewa hapa. Na 98% ya ushauri huu ni mzuri. Mfano uliotoa hapo ni mojawapo. Jambo jema ni kuwa mimi ninasoma kila mchango wa mawazo unaotolewa. Ndiyo maana nimeshukuru hapo kabla na bado naendelea kushukuru kwa ushauri wenu. Na pia pale ninapohisi ushauri unaotolewa unamkufuru Mungu kwa kweli siwezi kukaa kimya. Ninajitokeza na kusema sitaki aina hiyo ya ushauri. Mungu atabaki kuwa Mungu...

Asanteni sana. Nimejifunza mambo mengi sana na mengi ni ya manufaa makubwa.
 
Pole sana mkuu nimesoma ushauri wote na nimetambua misimamo yako.Mimi binafsi ningekushauri kama huyu mdau.Hapa kuna points nyingi sana embu rudia tena kusoma hapa kwa ajili yangu tafadhali.Mungu akuepushe na Yatima hewa maana kwenye vituo kuna watoto yatima wenye wazazi.Waliofanya kwenye hivi vituo nadhani mtakuwa mnaelewa ninachokisema hapa.


Asante sana mkuu. Ni kweli kuwa kuna ushauri mwingi sana umetolewa hapa. Na 98% ya ushauri huu ni mzuri. Mfano uliotoa hapo ni mojawapo. Jambo jema ni kuwa mimi ninasoma kila mchango wa mawazo unaotolewa. Ndiyo maana nimeshukuru hapo kabla na bado naendelea kushukuru kwa ushauri wenu. Na pia pale ninapohisi ushauri unaotolewa unamkufuru Mungu kwa kweli siwezi kukaa kimya. Ninajitokeza na kusema sitaki aina hiyo ya ushauri. Mungu atabaki kuwa Mungu...

Asanteni sana. Nimejifunza mambo mengi sana na mengi ni ya manufaa makubwa.
 
Asante sana mkuu. Ni kweli kuwa kuna ushauri mwingi sana umetolewa hapa. Na 98% ya ushauri huu ni mzuri. Mfano uliotoa hapo ni mojawapo. Jambo jema ni kuwa mimi ninasoma kila mchango wa mawazo unaotolewa. Ndiyo maana nimeshukuru hapo kabla na bado naendelea kushukuru kwa ushauri wenu. Na pia pale ninapohisi ushauri unaotolewa unamkufuru Mungu kwa kweli siwezi kukaa kimya. Ninajitokeza na kusema sitaki aina hiyo ya ushauri. Mungu atabaki kuwa Mungu...

Asanteni sana. Nimejifunza mambo mengi sana na mengi ni ya manufaa makubwa.


Hongera sana kaka!!! Aisee dunia hii inawahitaji sana watu kama wewe ambao wamenyooka kama chuma cha pua kwa habari ya Mungu na ufalme wake.
 
Asante sana mkuu. Ni kweli kuwa kuna ushauri mwingi sana umetolewa hapa. Na 98% ya ushauri huu ni mzuri. Mfano uliotoa hapo ni mojawapo. Jambo jema ni kuwa mimi ninasoma kila mchango wa mawazo unaotolewa. Ndiyo maana nimeshukuru hapo kabla na bado naendelea kushukuru kwa ushauri wenu. Na pia pale ninapohisi ushauri unaotolewa unamkufuru Mungu kwa kweli siwezi kukaa kimya. Ninajitokeza na kusema sitaki aina hiyo ya ushauri. Mungu atabaki kuwa Mungu...

Asanteni sana. Nimejifunza mambo mengi sana na mengi ni ya manufaa makubwa.

Very true indeed! You just spoke my mind.
 
There is still hope for you

Kwanza nikupe pole.
Mimi ushauri wangu ni nenda hospital wakufanyie further analysis. Hii itakusaidia kujua mobility ya the sperms, yaani uwezo wa hizo sperms kumove na pia itakusaidia kujua the morphology ya hizo sperms, yani shape yao ikoje.

Vipimo vya sperm count ni one of the first tests ili kujua tatizo, na sio kwamba vikija low basi ndo huwezi kuzaa kabisa. Further analysis is still needed.

Sikuhizi due to assistive reproductive technology, watu wenye tatizo la low sperm count bado kuna possibility ya wao kupata watoto.

Kwa mfano kwa kupitia IVF(in vitro fertilization) yani sperms na eggs zinakuwa fertilizatized kwenye lab halafu embryos zinapandikizwa kwenye uterus.

Au kwa njia ya ICSI( intracytoplasmic sperm injection) hii njia hasa hasa inatumika kwa wenye low sperm count ambapo ni sperm moja tu inahitajika, halafu wanaiinject kwenye yai/egg ya mwanamke, then baadae wanakuja kupandikiza embryo kwenye uterus.

Pia kapime fsh na lh, hizi ni hormones ambazo zinastimulate sperm production, kwa hiyo zikiwa low inabidi upate medication ya gonadotropin releasing hormone(GnRH) hii itafanya the pituitary kusecrete hizo hormones.

So ninachotaka kukwambia ni kuwa usilose hope, there is still a fighting chance. We nenda hospital wakazifanyie further analysis sperms zako, na pia wakacheki hormone levels zinazohusiana na sperm production. I think Muhimbili watakuwa wanaweza kufanya hivyo vipimo na pia siku hizi nadhani wanafanya hizo njia za kutunga mimba kwa kutumia assistive reproductive technology. So don't lose hope just yet!

🙂🙂🙂🙂
 
Back
Top Bottom