Natafuta mpenzi aje kuwa mke

Natafuta mpenzi aje kuwa mke

GoodHB

Member
Joined
May 21, 2022
Posts
35
Reaction score
18
Hello babe, nimekusubiria kwa muda mrefu sana, sasa nimejitokeza hadharani kukukabirisha katika maisha yangu. Please dada/mwanamke anayejielewa aje inbox chap tukamilishe agano muhimu duniani. Njoo tusaidiane kutimiza ndoto zetu na kuenjoy maisha yetu hapa duniani.

SIFA ZAKE
  • Awe smart kichwani na mwili.
  • Awe mzuri (Muhimu sana)
  • Mwili wa kike kweli kweli
  • Asiwe mfupi (Lazima)
  • Awe maji ya kunde/mweupe (Lazima)
  • Asizidi miaka 34
  • Kabila lolote
  • Awe Mkristo (akiwa Muislam awe tayari kubadili na kuwa Mkristo)
  • Awe ameajiriwa serikalini/sekta binafsi inayoaminika (Lazima), kama ni mfanyabiashara iwe biashara ya kuaminika siyo online business.
  • Akiwa na mtoto (single mother) asizidi mmoja ila uhakikishe vigezo vingine vyote unavyo. Mtoto ni baraka tutamlea vizuri kwa pamoja na wale tutakaowapata.
  • Awe tayari kunizalia watoto wawili tu.
  • Awe anaishi popote hapa duniani, ila akiwa anaishi Dar es salaam ni vizuri zaidi.
  • Elimu yoyote.

SIFA ZANGU
  • Smart kichwani na mwili.
  • HB na mwili wa kiume.
  • Maji ya kunde.
  • Mrefu, almost ft 5.9
  • Miaka 34.
  • Elimu Degree.
  • Kazi Mhasibu (ila nimemaliza mkataba mahali fulani nasubiri kusaini mahali pengine soon).
  • Naishi Dar es salaam
  • Mkristo.
  • Msukuma.

Kama ukiwa na sifa zote au pungufu kidogo njoo PM tukamilishe mazungumzo na kuanza taratibu za ndoa. Natamani tuoane mwaka huu huu, sina sababu za kusubiri tena.

Karibu sana nakusubiri babe wangu
 
Hello babe,nimekusubiria kwa muda mrefu sana..sasa nimejitokeza hadharani kukukabirisha katika maisha yangu.
Please mdada/mwanamke anayejielewa aje inbox chap tukamilishe agano muhimu duniani.Njoo tusaidiane kutimiza ndoto zetu na kuenjoy maisha yetu hapa duniani.

SIFA ZAKE
-Awe smart kichwani na mwili.
-Awe mzuri (MUHIMU SANA)
-Mwili wa kike kweli kweli
-Asiwe mfupi(LAZIMA)
-Awe maji ya kunde/mweupe(LAZIMA)
-Asizidi miaka 34
-Kabila lolote
-Awe mkristo(akiwa muislam awe tayari kubadili na kuwa mkristo)
-Awe ameajiriwa serikalini/sekta binafsi inayoaminika(LAZIMA)
-Kama ni mfanyabiashara iwe biashara ya kuaminika siyo online business.
-Akiwa na mtoto(single mother) asizidi mmoja ila uhakikishe vigezo vingine vyote unavyo.Mtoto ni baraka tutamlea vizuri kwa pamoja na wale tutakaowapata.
-Awe tayari kunizalia watoto wawili tu.
-Awe anaishi popote hapa duniani,ila akiwa anaishi Dar es salaam ni vizuri zaidi.
-Elimu yoyote.


SIFA ZANGU
-Smart kichwani na mwili.
-HB na mwili wa kiume.
-Maji ya kunde.
-Mrefu almost ft 5.9
-Miaka 34.
-Elimu Degree.
-Kazi Mhasibu (ila nimemaliza mkataba mahali fulani nasubiri kusaini mahali pengine soon)
-Naishi Dar es salaam
-Mkristo.
-Msukuma.

Kama ukiwa na sifa zote au pungufu kidogo njoo PM tukamilishe mazungumzo na kuanza taratibu za ndoa.Natamani tuoane mwaka huu huu sina sababu za kusubiri tena.
Karibu sana nakusubiri babe wangu
Hapo kwenye Smart Kichwani na kimwili ndio umekosea!! Msukuma tangu lini akawa hivyo na ushamba umwachie nani!! Hahaahahah.....
 
Hapo kwenye Smart Kichwani na kimwili ndio umekosea!! Msukuma tangu lini akawa hivyo na ushamba umwachie nani!! Hahaahahah.....
Sawa sawa..hata mimi najua sisi wasukuma woteeeee ni washamba sana wala halinipi shida hili!
 
Back
Top Bottom