Stanboy
JF-Expert Member
- Jul 4, 2013
- 1,114
- 1,308
Hahaha kwahiyo aende Manispaa akalipie bango siyo😀Weka tangazo kwenye Barbara ya kariakoo utapata wenye sifa hizi ukikosa chukua mhaya atakuwa na sifa hizi zote na tena ziada
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahaha kwahiyo aende Manispaa akalipie bango siyo😀Weka tangazo kwenye Barbara ya kariakoo utapata wenye sifa hizi ukikosa chukua mhaya atakuwa na sifa hizi zote na tena ziada
Tunawakazia sana maana hawatunzi wake zao. Hawana helaHahahaa nyie Tanga si hamna kitu kingine mnawaza mapenzi tu[emoji3][emoji3][emoji3]
🤣🤣🤣[emoji23][emoji23][emoji23]
Una tabasamu zuri😀😀[emoji23][emoji23][emoji23]
Hahahaa Tanga hawana maajabuTunawakazia sana maana hawatunzi wake zao. Hawana hela
Sent from my SM-G955U using JamiiForums mobile app
Wewe unajuaje? Watu wanakuambia from experience, wewe huna experience yoyote na ndoa zaidi ya kuwaona wanandoa kwa macho tu. Tuulize sisiHuu ni mtazamo wako binafsi...ila amini zipo ndoa nyingi watu wanaenjoy na kufurahia kuwa pamoja..
Noma sana!Hapa ndipo Wasukuma mnapopigwa gap na Wanaume kutoka Tanga! Yaani sisi ni full kubembeleza! Sasa nyinyi ni ubabe ubabe tu! Rete hapa! Niretee Gwajima. Lazima awe mweupe.[emoji16][emoji16][emoji16]