Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahaha kwamba unataka msheee?Ninaye wangu ila ana watoto wawili. Nikupe? Vigezo vyote anavyo na zaidi...
Hapana. Nampa mazima awe wake pekeyake.Hahaha kwamba unataka msheee?
🤔🤣🤣🤣🤣🙆🏻♀️🙆🏻♀️
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787]Hivyo vigezo ni vya kutafta kazi sio mke[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mkuu una vigezo!, apply Jamaa ajipatie jiko😅😅Watu wavijijini mnamatatizo
Mke hakupatikana..Jf hakuna watu wanaokidhi vigezo
Vigezo ndio tatizo ngoja tusubiri…
Mke hakupatikana..Jf hakuna watu wanaokidhi vigezo