Hahaha kwamba unataka msheee?Ninaye wangu ila ana watoto wawili. Nikupe? Vigezo vyote anavyo na zaidi...
Hapana. Nampa mazima awe wake pekeyake.Hahaha kwamba unataka msheee?
🤔🤣🤣🤣🤣🙆🏻♀️🙆🏻♀️
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787]Hivyo vigezo ni vya kutafta kazi sio mke[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mkuu una vigezo!, apply Jamaa ajipatie jiko😅😅Watu wavijijini mnamatatizo
Mke hakupatikana..Jf hakuna watu wanaokidhi vigezo
Vigezo ndio tatizo ngoja tusubiri…
Mke hakupatikana..Jf hakuna watu wanaokidhi vigezo