Mpaka utakapompata giza litakuwa limeingia.Mwanaume nnayemuhitaji awe miaka 28 mpaka 35.
Awe na shughuli maalumu inayomuingizia kipato ili isiwe kazi tukiamua kutaka kufunga ndoa
Awe mkristo, RC itapendeza zaidi.
Mkoa wowote, akiwa dsm itapendeza zaidi.
Mrefu wa kawaida.
Asiwe na mtoto.
Awe serious na si mume wa mtu.
Kindly you are welcome.
PM.
una ukorofi mwingi πSawa kafanye assignment
Dah acha kunichuza bc
Me mgeni, ndio wapo huko? πHebu wahi pm
Anatoa ushauri nasaha π€£π€£π€£Utadhani muoaji
Jaribu bahati anaweza elewaMbn kama nafit kabisa hapa tatizo ujobless
Uko poa mdada?Sawa kafanye assignment
Nyuma ya buza πππMe mgeni, ndio wapo huko? π
Kwa mparange au? πNyuma ya buza πππ
SidhaniKwa mparange au? π
Una matatizo ya akili!Mwanaume nnayemuhitaji awe miaka 28 mpaka 35.
Awe na shughuli maalumu inayomuingizia kipato ili isiwe kazi tukiamua kutaka kufunga ndoa
Awe mkristo, RC itapendeza zaidi.
Mkoa wowote, akiwa dsm itapendeza zaidi.
Mrefu wa kawaida.
Asiwe na mtoto.
Awe serious na si mume wa mtu.
Kindly you are welcome.
PM.
Kwa Mama kibonge au buza kanisani? πSidhani
Acha kutuharibia bhana, masingle man tupo.Huku JF wengi wastaafu na waume za watu dada
Huko mtaani hamna?
Huku JF wengi wastaafu na waume za watu dada
Huko mtaani hamna?