Natafuta mpenzi wa kike mtu mzima

Natafuta mpenzi wa kike mtu mzima

Nina miaka 55, mfupi 5 7, mfanyabiashara, naishi Dar, Nina watoto wakubwa, wanaishi kivyao na Kwa mama yao.
Nahitaji mpenzi wa kike tupendane.
Maswali zaidi uliza inbox tafadhali
Mungu akujalie mkuu, ila ukipata wawili naomba usinisahau namimi..😊
 
Mie nimezoea mchakamchaka wa vitoto vya 2000's, vinapeleka moto hatari.
Nina marioo wangu huyo wa 2003, kmmke, natarajia kumpangia chumba shangazi yako mieee.
Ananikamua, kunianika na kunianika kwa pamoja.
😄😄😄
Huyo unampa tu mfereji wa maji taka kamoja tu anakuachia mashilingi ya kutosha
 
Back
Top Bottom