Natafuta mtu anayeweza kuwekeza kwa mtaji wa milioni 50 na kupata faida ya hadi milioni 70

Natafuta mtu anayeweza kuwekeza kwa mtaji wa milioni 50 na kupata faida ya hadi milioni 70

Mwanza kwetu pia

Senior Member
Joined
May 25, 2021
Posts
104
Reaction score
151
Ndugu wadau habari zenu kama kichwa cha habari kinavyojieleza hapo juu, Mimi nipo Geita najishughulisha na biashara ya madini ya dhahabu offisi ni ya watu so Mimi ni msimamizi na wakati mwingine natoa ushauri pale inapobidi, ili kazi iwe yenye tija zaidi. Kwa upande wangu huwa tu nalipwa mshahara Kila mwezi na kama mnavyojua wadau mshahara huwa haukidhi mahitaji so utaendelea kumtumikia mtu yeye anaendelea we Bado uko pale pale.

Hivyo basi nimeamua kuandika post hi kwa mwenye kujaaliwa na Mwenyezi mtaji angalau si chini ya milioni 50 namkaribisha tufungue offisi Kwan ukiwekeza mtaji kama huwo ndani ya miezi 4 kwakuwa ndo tumeanza mauzo ni tshs 80,000,000/= hivyo ukitoa matumizi yaani mtaji faida ni tshs milioni 30.

Hivyo kwakuwa tulisharudisha gharama yaani milioni 50 kwa muhusika(mtoaji wa mtaji) haitampasa kutoa Tena hela yake kwakuwa faida ndio itakayoendesha kwa shughuli zote za uendeshaji wa kiwanda

Ambapo baada Tena ya miezi 4 kiwanda kitakuwa kimeuza madini yenye thamani ya si chini ya tshs milioni 89-120 hivyo ukitoa matumizi ya milioni 30 faida ni kuanzia milion 59 na kuendelea.

Na hiyo faida inakuwa imepatikana ndani ya miezi 4, napenda kuongezea faida itakuwa kubwa kutokana na ukubwa wa mtaji,
Mfano sisi labda tuliwekeza hiyo tshs milion 50 na faida ndo kama hyo niliyotaja hapo juu, mwingine anaweza kuwekeza labda tshs milioni 100 hvyo faida yke itakuwa mara 2.5 ya tuliyopata sisi

Mwingine anaweza kuwa amewekeza labda tshs milioni 100 na pia pembeni ana kitendea kazi kama excavator huyo huwezi kushindana nae kwakuwa faida atakayopata yeye kwa miezi 4 si chini ya milioni 500 hadi billion 1, kutokana tu na akili anavyozichezesha kwa kujiongeza kununua labda kama advanced equipment kama Trommel screen, centrifugal concentrator au anaweza kuwa na shaking table na hammer Mill ambapo akiwa navyo hvyo huku pembeni ana excavator tunaita mnyama basi anauwezo wa kupata milioni 100 Kila baada ya wiki 3.

Na kama ni mtu wa kujiongeza na kwakuwa aliwezeshwa na mnyama excavator kupata material ya kutosha Hana budi kuitumikisha excavator yaani mnyama impatie material yatakayomwezesha kupata angalau dollars za kimarekani 150000 ili aweze kuagiza toka nje CIL PLANT 200 t/d ambayo itamuwezesha kuchenjua tani 200 kwa siku.

Ngoja niweze kuwapa mchanganuo wa tani 200 kwa siku anaweza kuingiza tshs ngapi kibindoni Kila siku
Tuseme material yake yanasoma 2.2ppm( Kila tani moja in gram 2.2 za dhahabu)
Hivyo 2.2*tani 200=440gm za dhahabu

Uwezo wa CIL PLANT mara nyingi ni 94% hadi 96%, hvyo chukua gm 400 zidisha × labda tuchukue 94%
400×0.94=376gm
Uwezo wa carboni kuiachia dhahabu huwa mara nyingi haichengi 96%

376gm×0.96=360
Hivyo hiyo plant atakayonunua ataweza kupata gm 360 za dhahabu labda kwa Kila baada ya siku 2

360×15=5414.40gm
Tuangalie thamani ya gm 5414 ukiipeleka sokoni utapewa shs ngapi

Tuseme labda bei ya leo tola/ yaani gram 12 ni tshs 1400000 na material ya sehemu aliyopo labda yanasoma ubora wa dhahabu 93%

Hivyo chukua 5414.40gm×93%÷1200×1400000=587,462,400
Toa vat ambayo ni 7%(41,122,368)

587,462,400-7%=546,340,032

Hivyo atakuwa ana uwezo wa kuingiza tshs 546,340,032

Hivyo kama ni mtu wa kujiongeza atatakiwa mwenye excavator (mnyama) akodi au anunue mobile crane ya angalau si chini ya 50ton kwakuwa mnyama hatoweza kuchimba material yenye gredi nyingi za dhahabu kudeep kwenda chini hvyo mobile crane itabidi asogee eneo la tukio aweze kumnyanyu mnyama na kumdumbukiza ndani na mnyama atakuwa anachota na kupakia kwenye labda mini contena ambalo likipakizwa lisizidi tani 50 za ore, na Kila baada ya mwisho wa kazi mnyama atakuwa anatolewa ndani na mobile crane na kuwekwa nje akajipumzishe.

Nyongeza iwapo eneo ambalo mnyama(excavator) atakuwa anafanya kazi yaani ndani ya open cast kumetokea maji na material ya hapo ni tope mnyama hatoweza kufanya kazi kwa ufanisi labda kwakuwa itakuwa open cast ipo deep sana so haitatusumbua akili kwakuwa pesa ipo tutaagiza au kununua mnyama mwingine aliyetengenezwa kwa ajili ya eneo la tope na maji maji (amphibious).
Nyongeza, amphibious excavator tunaweza kutumia double girder over head crane kwa ajili ya kuidumbukiza na kuitoa.

Wakuu hayo ni mawazo yangu kwenda kwenu kwa kuwafungua macho kwa wale wenye pesa zao zimekaa tu na hawajui wafanye biashara gani au ana miliki excavator na imekaa haimuingizii hela na ameamua kuingiza sokoni na huu mwaka wa pili unaenda wa tatu na hakuna mteja aliyepatikana kwa ajili ya kuinunua na mda unaenda.

Kwa mwenye kutaka ushauri anaweza kunicheki WhatsApp no. 0754028641
 
Ndugu wadau habari zenu kama kichwa cha habari kinavyojieleza hapo juu, Mimi nipo Geita najishughulisha na biashara ya madini ya dhahabu offisi ni ya watu so Mimi ni msimamizi na wakati mwingine natoa ushauri pale inapobidi, ili kazi iwe yenye tija zaidi. Kwa upande wangu huwa tu nalipwa mshahara Kila mwezi na kama mnavyojua wadau mshahara huwa haukidhi mahitaji so utaendelea kumtumikia mtu yeye anaendelea we Bado uko pale pale.

Hivyo basi nimeamua kuandika post hi kwa mwenye kujaaliwa na Mwenyezi mtaji angalau si chini ya milioni 50 namkaribisha tufungue offisi Kwan ukiwekeza mtaji kama huwo ndani ya miezi 4 kwakuwa ndo tumeanza mauzo ni tshs 80,000,000/= hivyo ukitoa matumizi yaani mtaji faida ni tshs milioni 30.

Hivyo kwakuwa tulisharudisha gharama yaani milioni 50 kwa muhusika(mtoaji wa mtaji) haitampasa kutoa Tena hela yake kwakuwa faida ndio itakayoendesha kwa shughuli zote za uendeshaji wa kiwanda

Ambapo baada Tena ya miezi 4 kiwanda kitakuwa kimeuza madini yenye thamani ya si chini ya tshs milioni 89-120 hivyo ukitoa matumizi ya milioni 30 faida ni kuanzia milion 59 na kuendelea.

Na hiyo faida inakuwa imepatikana ndani ya miezi 4, napenda kuongezea faida itakuwa kubwa kutokana na ukubwa wa mtaji,
Mfano sisi labda tuliwekeza hiyo tshs milion 50 na faida ndo kama hyo niliyotaja hapo juu, mwingine anaweza kuwekeza labda tshs milioni 100 hvyo faida yke itakuwa mara 2.5 ya tuliyopata sisi

Mwingine anaweza kuwa amewekeza labda tshs milioni 100 na pia pembeni ana kitendea kazi kama excavator huyo huwezi kushindana nae kwakuwa faida atakayopata yeye kwa miezi 4 si chini ya milioni 500 hadi billion 1, kutokana tu na akili anavyozichezesha kwa kujiongeza kununua labda kama advanced equipment kama Trommel screen, centrifugal concentrator au anaweza kuwa na shaking table na hammer Mill ambapo akiwa navyo hvyo huku pembeni ana excavator tunaita mnyama basi anauwezo wa kupata milioni 100 Kila baada ya wiki 3.

Na kama ni mtu wa kujiongeza na kwakuwa aliwezeshwa na mnyama excavator kupata material ya kutosha Hana budi kuitumikisha excavator yaani mnyama impatie material yatakayomwezesha kupata angalau dollars za kimarekani 150000 ili aweze kuagiza toka nje CIL PLANT 200 t/d ambayo itamuwezesha kuchenjua tani 200 kwa siku.

Ngoja niweze kuwapa mchanganuo wa tani 200 kwa siku anaweza kuingiza tshs ngapi kibindoni Kila siku
Tuseme material yake yanasoma 2.2ppm( Kila tani moja in gram 2.2 za dhahabu)
Hivyo 2.2*tani 200=440gm za dhahabu

Uwezo wa CIL PLANT mara nyingi ni 94% hadi 96%, hvyo chukua gm 400 zidisha × labda tuchukue 94%
400×0.94=376gm
Uwezo wa carboni kuiachia dhahabu huwa mara nyingi haichengi 96%

376gm×0.96=360
Hivyo hiyo plant atakayonunua ataweza kupata gm 360 za dhahabu labda kwa Kila baada ya siku 2

360×15=5414.40gm
Tuangalie thamani ya gm 5414 ukiipeleka sokoni utapewa shs ngapi

Tuseme labda bei ya leo tola/ yaani gram 12 ni tshs 1400000 na material ya sehemu aliyopo labda yanasoma ubora wa dhahabu 93%

Hivyo chukua 5414.40gm×93%÷1200×1400000=587,462,400
Toa vat ambayo ni 7%(41,122,368)

587,462,400-7%=546,340,032

Hivyo atakuwa ana uwezo wa kuingiza tshs 546,340,032

Hivyo kama ni mtu wa kujiongeza atatakiwa mwenye excavator (mnyama) akodi au anunue mobile crane ya angalau si chini ya 50ton kwakuwa mnyama hatoweza kuchimba material yenye gredi nyingi za dhahabu kudeep kwenda chini hvyo mobile crane itabidi asogee eneo la tukio aweze kumnyanyu mnyama na kumdumbukiza ndani na mnyama atakuwa anachota na kupakia kwenye labda mini contena ambalo likipakizwa lisizidi tani 50 za ore, na Kila baada ya mwisho wa kazi mnyama atakuwa anatolewa ndani na mobile crane na kuwekwa nje akajipumzishe.

Nyongeza iwapo eneo ambalo mnyama(excavator) atakuwa anafanya kazi yaani ndani ya open cast kumetokea maji na material ya hapo ni tope mnyama hatoweza kufanya kazi kwa ufanisi labda kwakuwa itakuwa open cast ipo deep sana so haitatusumbua akili kwakuwa pesa ipo tutaagiza au kununua mnyama mwingine aliyetengenezwa kwa ajili ya eneo la tope na maji maji (amphibious).
Nyongeza, amphibious excavator tunaweza kutumia double girder over head crane kwa ajili ya kuidumbukiza na kuitoa.

Wakuu hayo ni mawazo yangu kwenda kwenu kwa kuwafungua macho kwa wale wenye pesa zao zimekaa tu na hawajui wafanye biashara gani au ana miliki excavator na imekaa haimuingizii hela na ameamua kuingiza sokoni na huu mwaka wa pili unaenda wa tatu na hakuna mteja aliyepatikana kwa ajili ya kuinunua na mda unaenda.

Kwa mwenye kutaka ushauri anaweza kunicheki WhatsApp no. 0754028641
Mnakuaga matapeli sana nyinyi
 
Ndugu wadau habari zenu kama kichwa cha habari kinavyojieleza hapo juu, Mimi nipo Geita najishughulisha na biashara ya madini ya dhahabu offisi ni ya watu so Mimi ni msimamizi na wakati mwingine natoa ushauri pale inapobidi, ili kazi iwe yenye tija zaidi. Kwa upande wangu huwa tu nalipwa mshahara Kila mwezi na kama mnavyojua wadau mshahara huwa haukidhi mahitaji so utaendelea kumtumikia mtu yeye anaendelea we Bado uko pale pale.

Hivyo basi nimeamua kuandika post hi kwa mwenye kujaaliwa na Mwenyezi mtaji angalau si chini ya milioni 50 namkaribisha tufungue offisi Kwan ukiwekeza mtaji kama huwo ndani ya miezi 4 kwakuwa ndo tumeanza mauzo ni tshs 80,000,000/= hivyo ukitoa matumizi yaani mtaji faida ni tshs milioni 30.

Hivyo kwakuwa tulisharudisha gharama yaani milioni 50 kwa muhusika(mtoaji wa mtaji) haitampasa kutoa Tena hela yake kwakuwa faida ndio itakayoendesha kwa shughuli zote za uendeshaji wa kiwanda

Ambapo baada Tena ya miezi 4 kiwanda kitakuwa kimeuza madini yenye thamani ya si chini ya tshs milioni 89-120 hivyo ukitoa matumizi ya milioni 30 faida ni kuanzia milion 59 na kuendelea.

Na hiyo faida inakuwa imepatikana ndani ya miezi 4, napenda kuongezea faida itakuwa kubwa kutokana na ukubwa wa mtaji,
Mfano sisi labda tuliwekeza hiyo tshs milion 50 na faida ndo kama hyo niliyotaja hapo juu, mwingine anaweza kuwekeza labda tshs milioni 100 hvyo faida yke itakuwa mara 2.5 ya tuliyopata sisi

Mwingine anaweza kuwa amewekeza labda tshs milioni 100 na pia pembeni ana kitendea kazi kama excavator huyo huwezi kushindana nae kwakuwa faida atakayopata yeye kwa miezi 4 si chini ya milioni 500 hadi billion 1, kutokana tu na akili anavyozichezesha kwa kujiongeza kununua labda kama advanced equipment kama Trommel screen, centrifugal concentrator au anaweza kuwa na shaking table na hammer Mill ambapo akiwa navyo hvyo huku pembeni ana excavator tunaita mnyama basi anauwezo wa kupata milioni 100 Kila baada ya wiki 3.

Na kama ni mtu wa kujiongeza na kwakuwa aliwezeshwa na mnyama excavator kupata material ya kutosha Hana budi kuitumikisha excavator yaani mnyama impatie material yatakayomwezesha kupata angalau dollars za kimarekani 150000 ili aweze kuagiza toka nje CIL PLANT 200 t/d ambayo itamuwezesha kuchenjua tani 200 kwa siku.

Ngoja niweze kuwapa mchanganuo wa tani 200 kwa siku anaweza kuingiza tshs ngapi kibindoni Kila siku
Tuseme material yake yanasoma 2.2ppm( Kila tani moja in gram 2.2 za dhahabu)
Hivyo 2.2*tani 200=440gm za dhahabu

Uwezo wa CIL PLANT mara nyingi ni 94% hadi 96%, hvyo chukua gm 400 zidisha × labda tuchukue 94%
400×0.94=376gm
Uwezo wa carboni kuiachia dhahabu huwa mara nyingi haichengi 96%

376gm×0.96=360
Hivyo hiyo plant atakayonunua ataweza kupata gm 360 za dhahabu labda kwa Kila baada ya siku 2

360×15=5414.40gm
Tuangalie thamani ya gm 5414 ukiipeleka sokoni utapewa shs ngapi

Tuseme labda bei ya leo tola/ yaani gram 12 ni tshs 1400000 na material ya sehemu aliyopo labda yanasoma ubora wa dhahabu 93%

Hivyo chukua 5414.40gm×93%÷1200×1400000=587,462,400
Toa vat ambayo ni 7%(41,122,368)

587,462,400-7%=546,340,032

Hivyo atakuwa ana uwezo wa kuingiza tshs 546,340,032

Hivyo kama ni mtu wa kujiongeza atatakiwa mwenye excavator (mnyama) akodi au anunue mobile crane ya angalau si chini ya 50ton kwakuwa mnyama hatoweza kuchimba material yenye gredi nyingi za dhahabu kudeep kwenda chini hvyo mobile crane itabidi asogee eneo la tukio aweze kumnyanyu mnyama na kumdumbukiza ndani na mnyama atakuwa anachota na kupakia kwenye labda mini contena ambalo likipakizwa lisizidi tani 50 za ore, na Kila baada ya mwisho wa kazi mnyama atakuwa anatolewa ndani na mobile crane na kuwekwa nje akajipumzishe.

Nyongeza iwapo eneo ambalo mnyama(excavator) atakuwa anafanya kazi yaani ndani ya open cast kumetokea maji na material ya hapo ni tope mnyama hatoweza kufanya kazi kwa ufanisi labda kwakuwa itakuwa open cast ipo deep sana so haitatusumbua akili kwakuwa pesa ipo tutaagiza au kununua mnyama mwingine aliyetengenezwa kwa ajili ya eneo la tope na maji maji (amphibious).
Nyongeza, amphibious excavator tunaweza kutumia double girder over head crane kwa ajili ya kuidumbukiza na kuitoa.

Wakuu hayo ni mawazo yangu kwenda kwenu kwa kuwafungua macho kwa wale wenye pesa zao zimekaa tu na hawajui wafanye biashara gani au ana miliki excavator na imekaa haimuingizii hela na ameamua kuingiza sokoni na huu mwaka wa pili unaenda wa tatu na hakuna mteja aliyepatikana kwa ajili ya kuinunua na mda unaenda.

Kwa mwenye kutaka ushauri anaweza kunicheki WhatsApp no. 0754028641

Kwa niaba ya waungwana wenye shukrani nashukuru kwa uzoefu wako uliopata ku"share" nasi hapa
 
Umeielezea vzr...lakini humu 99% wanaamini hii biashara ina mashetani!lol...
Ingawa umeongelea upande wa faida tu..hujaongelea dhahabu ikisoma 73_66%%😑!
All in all plant zinalipa hata iweje!
Kwa hiyo mwanachato mwenzetu umekubaliana nae kuwa unaweza piga hela mtu ukiwa na huo mtaji?
 
Ulianza vizuri kwa kutafuta mtu mwenye 50m ila sasa ulipo ongelea mwingine kabisa na mtaji wake mkubwa wa kupata mpaka 500m
Hapo ndio umenichanganya kabisa

Ni vizuri utushawishi kwa mtaji ulioweka tu hayo mengine ungeweka kama mtu ana cha ziada

Kila la kheri
 
Ndugu wadau habari zenu kama kichwa cha habari kinavyojieleza hapo juu, Mimi nipo Geita najishughulisha na biashara ya madini ya dhahabu offisi ni ya watu so Mimi ni msimamizi na wakati mwingine natoa ushauri pale inapobidi, ili kazi iwe yenye tija zaidi. Kwa upande wangu huwa tu nalipwa mshahara Kila mwezi na kama mnavyojua wadau mshahara huwa haukidhi mahitaji so utaendelea kumtumikia mtu yeye anaendelea we Bado uko pale pale.

Hivyo basi nimeamua kuandika post hi kwa mwenye kujaaliwa na Mwenyezi mtaji angalau si chini ya milioni 50 namkaribisha tufungue offisi Kwan ukiwekeza mtaji kama huwo ndani ya miezi 4 kwakuwa ndo tumeanza mauzo ni tshs 80,000,000/= hivyo ukitoa matumizi yaani mtaji faida ni tshs milioni 30.

Hivyo kwakuwa tulisharudisha gharama yaani milioni 50 kwa muhusika(mtoaji wa mtaji) haitampasa kutoa Tena hela yake kwakuwa faida ndio itakayoendesha kwa shughuli zote za uendeshaji wa kiwanda

Ambapo baada Tena ya miezi 4 kiwanda kitakuwa kimeuza madini yenye thamani ya si chini ya tshs milioni 89-120 hivyo ukitoa matumizi ya milioni 30 faida ni kuanzia milion 59 na kuendelea.

Na hiyo faida inakuwa imepatikana ndani ya miezi 4, napenda kuongezea faida itakuwa kubwa kutokana na ukubwa wa mtaji,
Mfano sisi labda tuliwekeza hiyo tshs milion 50 na faida ndo kama hyo niliyotaja hapo juu, mwingine anaweza kuwekeza labda tshs milioni 100 hvyo faida yke itakuwa mara 2.5 ya tuliyopata sisi

Mwingine anaweza kuwa amewekeza labda tshs milioni 100 na pia pembeni ana kitendea kazi kama excavator huyo huwezi kushindana nae kwakuwa faida atakayopata yeye kwa miezi 4 si chini ya milioni 500 hadi billion 1, kutokana tu na akili anavyozichezesha kwa kujiongeza kununua labda kama advanced equipment kama Trommel screen, centrifugal concentrator au anaweza kuwa na shaking table na hammer Mill ambapo akiwa navyo hvyo huku pembeni ana excavator tunaita mnyama basi anauwezo wa kupata milioni 100 Kila baada ya wiki 3.

Na kama ni mtu wa kujiongeza na kwakuwa aliwezeshwa na mnyama excavator kupata material ya kutosha Hana budi kuitumikisha excavator yaani mnyama impatie material yatakayomwezesha kupata angalau dollars za kimarekani 150000 ili aweze kuagiza toka nje CIL PLANT 200 t/d ambayo itamuwezesha kuchenjua tani 200 kwa siku.

Ngoja niweze kuwapa mchanganuo wa tani 200 kwa siku anaweza kuingiza tshs ngapi kibindoni Kila siku
Tuseme material yake yanasoma 2.2ppm( Kila tani moja in gram 2.2 za dhahabu)
Hivyo 2.2*tani 200=440gm za dhahabu

Uwezo wa CIL PLANT mara nyingi ni 94% hadi 96%, hvyo chukua gm 400 zidisha × labda tuchukue 94%
400×0.94=376gm
Uwezo wa carboni kuiachia dhahabu huwa mara nyingi haichengi 96%

376gm×0.96=360
Hivyo hiyo plant atakayonunua ataweza kupata gm 360 za dhahabu labda kwa Kila baada ya siku 2

360×15=5414.40gm
Tuangalie thamani ya gm 5414 ukiipeleka sokoni utapewa shs ngapi

Tuseme labda bei ya leo tola/ yaani gram 12 ni tshs 1400000 na material ya sehemu aliyopo labda yanasoma ubora wa dhahabu 93%

Hivyo chukua 5414.40gm×93%÷1200×1400000=587,462,400
Toa vat ambayo ni 7%(41,122,368)

587,462,400-7%=546,340,032

Hivyo atakuwa ana uwezo wa kuingiza tshs 546,340,032

Hivyo kama ni mtu wa kujiongeza atatakiwa mwenye excavator (mnyama) akodi au anunue mobile crane ya angalau si chini ya 50ton kwakuwa mnyama hatoweza kuchimba material yenye gredi nyingi za dhahabu kudeep kwenda chini hvyo mobile crane itabidi asogee eneo la tukio aweze kumnyanyu mnyama na kumdumbukiza ndani na mnyama atakuwa anachota na kupakia kwenye labda mini contena ambalo likipakizwa lisizidi tani 50 za ore, na Kila baada ya mwisho wa kazi mnyama atakuwa anatolewa ndani na mobile crane na kuwekwa nje akajipumzishe.

Nyongeza iwapo eneo ambalo mnyama(excavator) atakuwa anafanya kazi yaani ndani ya open cast kumetokea maji na material ya hapo ni tope mnyama hatoweza kufanya kazi kwa ufanisi labda kwakuwa itakuwa open cast ipo deep sana so haitatusumbua akili kwakuwa pesa ipo tutaagiza au kununua mnyama mwingine aliyetengenezwa kwa ajili ya eneo la tope na maji maji (amphibious).
Nyongeza, amphibious excavator tunaweza kutumia double girder over head crane kwa ajili ya kuidumbukiza na kuitoa.

Wakuu hayo ni mawazo yangu kwenda kwenu kwa kuwafungua macho kwa wale wenye pesa zao zimekaa tu na hawajui wafanye biashara gani au ana miliki excavator na imekaa haimuingizii hela na ameamua kuingiza sokoni na huu mwaka wa pili unaenda wa tatu na hakuna mteja aliyepatikana kwa ajili ya kuinunua na mda unaenda.

Kwa mwenye kutaka ushauri anaweza kunicheki WhatsApp no. 0754028641
mimi swali langu ni moja tu hiyoo 50M ndo inatoshaa mambo yote hayooo au sijaelewa.
 
mimi swali langu ni moja tu hiyoo 50M ndo inatoshaa mambo yote hayooo au sijaelewa.
Mkuu...ukiwa na 50m ukaamua kuwa na jiko..yaan.hapo usiinyofoe sijui ulipie pango sijui ununulie mzan wa dhahabu hiyo 50m ukiingiza yote ukawa unanunua kwa makota..yaan makota wanakuletea ww..uhakika wa kupata 20m kwa mwez kama faida ni mkubwa...unaangalia wenzako wananunulia kwa shilngi nhap..mfano wanunue kwa 115,000/ wewe nunulia kwa 116,000! Utawapata wanyantuzu kibao .ila na ww unawaminya kwenye purity..kama dhahabu yake ni safi tuseme inasoma 92 ww hakikisha inasoma 88%( faulo)! Ndo wanavyofanya .hapo umekula ganji ndefu sana! So buku yako inarudi mara 4! Ukitaja upotee uweke hisa maduarani ..! Hiyo huwa 50/50! Lakini wapo wanaopata hela mtakato kupitia hayo maduara
 
Back
Top Bottom