Natafuta mtu mwenye asili ya Kihindi kumuajiri au kufanya naye biashara

Natafuta mtu mwenye asili ya Kihindi kumuajiri au kufanya naye biashara

Jaman mimi ni muajiriwa nafasi fulani ya juu kidogo hapa nchini.
Nimeweza kupata mil 70 ambayo ni matokeo ya SAVING ya muda mrefu na hela zangu fulani nilikuwa nazidai kulipwa.
Mpango nilionao ni kuanzisha biashara ya spears za pikipiki na tri cycles (guta au Toyo)
Changamoto niliyonayo ni kuwa mimi muda mkubwa wa usimamizi sina nimewaza kumuweka wife nae kasema hawezi acha ajira yake aingie kwenye biashara ambayo hata haijui(in short wife sio mtu wa biashara) nikawaza nipate hata msichana mmoja wa Kichaga mwenye uwezo wa kutumia computer kwa sababu nimepanga niweke CCTV CAMERA na MFUMO WA MAUZO WA KIDIGITAL ila bado imani na hawa watu weusi sina kabisa.
Nilishafunguaga ka biashara cha hizi simu ndogo maarufu kama viswaswadu nikaweka mtoto wa Aunt alichonifanya sina hamu hata ya kuhadithia.
Nirudi kwenye mada iliyonifanya nifungue uzi huu sasa.Nimewaza nipate mu INDI ili nimuajiri au tufanye kama partnership i mean yeye awekeze kwenye Management mimi CAPITAL kwa sababu target yangu mimi ni kuua biashara za wenye viduka vidogo vidogo vya spear hapa wilayani ili nitawale soko kwa mikakati ifuatayo:
1.Kuteka mafundi wazuri wa injini,umeme na mechanics wazuri wenye jina kwa kuwalipa kukaa mbele ya duka langu ambalo lipo hapa city center
2.Nimepata eneo ambalo lipo kando kando ya barabara hapa mjini ambalo kwa mbele lina uwazi mkubwa kiasi cha kuweza ku accomodate mafundi wengi mbele
3.Kazi yangu nadeal sana na watu wa nje i mean wazungu,wachina Waindi n.k hivyo nina rafiki zangu wachina huwa wanaagiza na kufuata containers za spears huko china na wana duka la jumla KKOO hivyo wameniambia kwenye order zao wata include na yangu ili nipate kwa bei nzuri.
4.Kuuza kwa bei ya vunjabei kwa sababu mimi nitapata kwa bei ya chini sana hivyo ni rahisi kunifikia mzigo kwa bei ndogo sana
5.Kuwa na offer kila jumamos kila ataekuja pale dukani kufanya services na maintenance atajaziwa mafuta nusu lita kama offer kila mmoja .
Anyway nimewaza ili mipango yangu iende sawa nahitaji mtu wa kusimamia alie serious ila wabongo siwataki kwa sababu za tabia zetu za WIZI,UMALAYA,UVIVU,EXCUSES NA UJINGA UJINGA AMBAO BILA KUPATA WA KUVICONTROL HULETA HASARA KWENYE KAMPUNI.
NB:
Mwenye jamaa mwenye asili ya INDIA 🇮🇳 anaejielewa aje inbox please usiniletee WAPEMBA nataka Muindi nitamlipia PERMIT ili tufanye kazi ili tunyanyuke wote.
Muajiriwa nafasi ya juu kuandika huwezi, kiswahili hujui
 
Jaman mimi ni muajiriwa nafasi fulani ya juu kidogo hapa nchini.
Nimeweza kupata mil 70 ambayo ni matokeo ya SAVING ya muda mrefu na hela zangu fulani nilikuwa nazidai kulipwa.
Mpango nilionao ni kuanzisha biashara ya spears za pikipiki na tri cycles (guta au Toyo)
Changamoto niliyonayo ni kuwa mimi muda mkubwa wa usimamizi sina nimewaza kumuweka wife nae kasema hawezi acha ajira yake aingie kwenye biashara ambayo hata haijui(in short wife sio mtu wa biashara) nikawaza nipate hata msichana mmoja wa Kichaga mwenye uwezo wa kutumia computer kwa sababu nimepanga niweke CCTV CAMERA na MFUMO WA MAUZO WA KIDIGITAL ila bado imani na hawa watu weusi sina kabisa.
Nilishafunguaga ka biashara cha hizi simu ndogo maarufu kama viswaswadu nikaweka mtoto wa Aunt alichonifanya sina hamu hata ya kuhadithia.
Nirudi kwenye mada iliyonifanya nifungue uzi huu sasa.Nimewaza nipate mu INDI ili nimuajiri au tufanye kama partnership i mean yeye awekeze kwenye Management mimi CAPITAL kwa sababu target yangu mimi ni kuua biashara za wenye viduka vidogo vidogo vya spear hapa wilayani ili nitawale soko kwa mikakati ifuatayo:
1.Kuteka mafundi wazuri wa injini,umeme na mechanics wazuri wenye jina kwa kuwalipa kukaa mbele ya duka langu ambalo lipo hapa city center
2.Nimepata eneo ambalo lipo kando kando ya barabara hapa mjini ambalo kwa mbele lina uwazi mkubwa kiasi cha kuweza ku accomodate mafundi wengi mbele
3.Kazi yangu nadeal sana na watu wa nje i mean wazungu,wachina Waindi n.k hivyo nina rafiki zangu wachina huwa wanaagiza na kufuata containers za spears huko china na wana duka la jumla KKOO hivyo wameniambia kwenye order zao wata include na yangu ili nipate kwa bei nzuri.
4.Kuuza kwa bei ya vunjabei kwa sababu mimi nitapata kwa bei ya chini sana hivyo ni rahisi kunifikia mzigo kwa bei ndogo sana
5.Kuwa na offer kila jumamos kila ataekuja pale dukani kufanya services na maintenance atajaziwa mafuta nusu lita kama offer kila mmoja .
Anyway nimewaza ili mipango yangu iende sawa nahitaji mtu wa kusimamia alie serious ila wabongo siwataki kwa sababu za tabia zetu za WIZI,UMALAYA,UVIVU,EXCUSES NA UJINGA UJINGA AMBAO BILA KUPATA WA KUVICONTROL HULETA HASARA KWENYE KAMPUNI.
NB:
Mwenye jamaa mwenye asili ya INDIA 🇮🇳 anaejielewa aje inbox please usiniletee WAPEMBA nataka Muindi nitamlipia PERMIT ili tufanye kazi ili tunyanyuke wote.
wahindi wako committed na kazi
 
Kupania kufanya kitu na kuingia mazima ni tofauti kabisa
Unaposema unataka uuwe biashara za watu wadogo hapo ndio umeharibu kabisa
Kwanini usiwe Wholesaler tu na ukashusha container zima ila ukaweka vifaa vinavyoisha haraka kwenye guta na pikipiki?
Hapo utawauzia hao hao unaowapania kabla hujaanza
Wakati mwingine kutenda hayo ya kuwatoa sokoni mara nyingine yanakugeukia wewe na unajikuta senti zako hizo zinayeyuka na hapo kuwa chanzo cha kuanza kumtafuta mganga

Kuweka mafundi mbele ya duka ni sawa ila wao watapatana? Na je unafikiri watanunua kila bidhaa kwako?

Maana kama wewe unawaza hivi na wao wanawaza vile
Nakuombea kila la kheri ila kama hukai mwenyewe bora uache tu
Kwanini Wabongo wanapenda Biashara ya maduka?
Kama una uwezo wa kupata pesa ndefu kama hiyo kila mwaka;kama upo Dar es salaam wekeza kwenye ujenzi wa nyumba za kupangisha na ununuzi wa Viwanja na mashamba.Pia nunua hisa au wekeza pesa kwenye fixed deposit accounts za Benki kubwa kama NMB au CRDB mwisho wa mwaka unalamba faida yako.
Mimi ni mfanyabiashara,sikufichi Biashara ya duka inahitaji mwingi uwepo kusimamia.Zingatia ushauri wangu kwasababu una kazi ya kukuingizia kipato monthly huwezi kushindwa kusubiri magawio au kusubiri Kodi za nyumba kwa mwaka!
 
Kwanini Wabongo wanapenda Biashara ya maduka?
Kama una uwezo wa kupata pesa ndefu kama hiyo kila mwaka;kama upo Dar es salaam wekeza kwenye ujenzi wa nyumba za kupangisha na ununuzi wa Viwanja na mashamba.Pia nunua hisa au wekeza pesa kwenye fixed deposit accounts za Benki kubwa kama NMB au CRDB mwisho wa mwaka unalamba faida yako.
Mimi ni mfanyabiashara,sikufichi Biashara ya duka inahitaji mwingi uwepo kusimamia.Zingatia ushauri wangu kwasababu una kazi ya kukuingizia kipato monthly huwezi kushindwa kusubiri magawio au kusubiri Kodi za nyumba kwa mwaka!
Tatizo ni kuigana tu sio kitu kingine hebu fikiria kina MO na matajiri wakubwa yaani wamekazana na juices na mandazi na mikate

Kwa kweli leo mchina ametengeneza mashine zaidi ya 10,000 tena ndogo ndogo zinafanya kila kitu
Kwa hiyo hela anaweza kuwa na mashine za kuzalisha bidhaa hata 3 na akawa anafyatua tu

Ila mswahili humwambii kitu kwa biashara za kuigana

Kuna mpaka mashine za maji ambazo unapata mzunguko kiulaini
 
Kupania kufanya kitu na kuingia mazima ni tofauti kabisa
Unaposema unataka uuwe biashara za watu wadogo hapo ndio umeharibu kabisa
Kwanini usiwe Wholesaler tu na ukashusha container zima ila ukaweka vifaa vinavyoisha haraka kwenye guta na pikipiki?
Hapo utawauzia hao hao unaowapania kabla hujaanza
Wakati mwingine kutenda hayo ya kuwatoa sokoni mara nyingine yanakugeukia wewe na unajikuta senti zako hizo zinayeyuka na hapo kuwa chanzo cha kuanza kumtafuta mganga

Kuweka mafundi mbele ya duka ni sawa ila wao watapatana? Na je unafikiri watanunua kila bidhaa kwako?

Maana kama wewe unawaza hivi na wao wanawaza vile
Nakuombea kila la kheri ila kama hukai mwenyewe bora uache tu
Asome hapa na aelewe
 
Back
Top Bottom