Natafuta mtu mwenye asili ya Kihindi kumuajiri au kufanya naye biashara

Natafuta mtu mwenye asili ya Kihindi kumuajiri au kufanya naye biashara

Mtanzania ila nimekulia Dar
Mkuu wizi, roho mbaya au nzuri ni hulka ya mtu na sio utaifa wa mtu. Kama ambavyo unawasifia wahindi vilevile tambua hata hapa wabongo wapo vizuri pia. Kwahiyo jaribu kupanua fikra zaidi sio kuwa negative kila jambo linalohusu wa TZ.
 
Mentallity ya kimasikini sana hii... na usifanikiwe kwenye harakati zako milele.
Anajaribu kuua mende kwa nyundo....

Anafikiri biashara zinaendeshwa kwa hisia......apo abadiri kwanza hzo fikra zake za kuua biashara za wengine unless ata akiweka malaika kazi bure.
 
Hiyo ukaguzi wa kila siku ndo kazi ngumu kwangu kwa sababu vifaa vya pikipiki ni vidogo vidogo na pia mimi huwa nasafiri sana nataka kumuacha mtu huku nyuma ninaemuamini ambae anaweza jisimamia
Yaani shida ukoo wako mzima na kabila lako lote na unakosali hujapata mtu mwaminifu kazi ipo kweli
 
Hata mbongo unaweA muweka chamsingi hakikisha stock unaimonitor kila siku ukitoka kazini na kuhakikisha unakagua hesabu kila siku.

Anyway kwa muhindi landa uingie nae patnaship tu
Hilo la stocktaking Kila jioni kaulize watu wanavyolizwa kariakoo .Mtu anauza Halafu chap chap ana replace stock Kwa kununua duka lingine

Ukifikika jioni kama kauza 100 ukirudi akikuhurumia anakuambia nimeuza 20

Cha msingi kupata mtu mwaminifu au aache kazi asimamie mwenyewe.Mshika mawili moja humpokonyoka .Achague moja kazi ya ajira au biashara
 
Hilo la stocktaking Kila jioni kaulize watu wanavyolizwa kariakoo .Mtu anauza Halafu chap chap ana replace stock Kwa kununua duka lingine

Ukifikika jioni kama kauza 100 ukirudi akikuhurumia anakuambia nimeuza 20

Cha msingi kupata mtu mwaminifu au aiache kazi asimamie mwenyewe.Mshika mawili moja humpokonyoka .Achague moja kazi ya ajira au biashara
Kama hujapata muaminifu achana na wazo la biashara. Hata wahindi wapo wasio waaminifu.
 
Nirudi kwenye mada iliyonifanya nifungue uzi huu sasa. Nimewaza nipate Muhindi ili nimuajiri au tufanye kama partnership, i mean yeye awekeze kwenye Management mimi CAPITAL kwa sababu target yangu mimi ni kuua biashara za wenye viduka vidogo vidogo vya spear hapa wilayani ili nitawale soko kwa mikakati ifuatayo:
Spear ❌ , spare ✅. Shuleni ulienda kusomea ujinga? Ingawa HII NI CHAI ila nitakujibu. Wewe tayari umeshafeli kabla ya kuanza. Kwanini ufikirie uovu wa kuua biashara za wengine? Halafu hiyo 70m unaona nyingi sana kiasi cha kuweza kuua biashara zingine? Hujui kama siku hizi watu wana viduka vidogo huku stoo zikiwa zimesheheni? Kama una hiyo hela weka hata fixed account kwa biashara umeshafeli kabla ya kuanza.
 
Spear ❌ , spare ✅. Shuleni ulienda kusomea ujinga? Ingawa HII NI CHAI ila nitakujibu. Wewe tayari umeshafeli kabla ya kuanza. Kwanini ufikirie uovu wa kuua biashara za wengine? Halafu hiyo 70m unaona nyingi sana kiasi cha kuweza kuua biashara zingine? Hujui kama siku hizi watu wana viduka vidogo huku stoo zikiwa zimesheheni? Kama una hiyo hela weka hata fixed account kwa biashara umeshafeli kabla ya kuanza.
Kuua biashara ya mtu sio Rahisi hasa hao wafanyabishara wadogo.Washirikina hao hatari watamloga na biashara yake Hadi akome
 
Hilo la stocktaking Kila jioni kaulize watu wanavyolizwa kariakoo .Mtu anauza Halafu chap chap ana replace stock Kwa kununua duka lingine

Ukifikika jioni kama kauza 100 ukirudi akikuhurumia anakuambia nimeuza 20

Cha msingi kupata mtu mwaminifu au aache kazi asimamie mwenyewe.Mshika mawili moja humpokonyoka .Achague moja kazi ya ajira au biashara
Wewe kwenye biashara umeiva. Kimsingi kuna baadhi ya vitu mfanyakazi hatakiwi akuelewe kabisa. Ishu ya stock taking haitakiwi iwe kwa ratiba maalum.. inatakiwa iwe ya kushtukiza. Kama kuna upuuzi utagundua. Pia mfanyakazi anatakiwa aone unamuamini kumbe humuamini hata kwa 1% huku unafuatilia kila kitu kimyakimya. Mfanyakazi kujua ratiba za boss ni hatari.
 
Ikiwa hela inapitia kwenye mikono ya mwajiriwa wako basi kuibiwa ni lazima, maana asipo chukua hata kidogo ataonekana mjinga lakini pia hata maboss wana changia kuibiwa kwa kushindwa kutambua thamani ya mfanya kazi wake pamoja na uaminifu wake wote,, lakini cha muhimu hapa nikupata mtu anatakaye iba kwa kiwango kidogo sana hata 2% ya faida afu wewe ukipata hiyo 98% so mbaya sana,, acha uchoyo na ubinafsi,, kisa mtaji ni wako unataka upate kila kitu wewe mwenyewe afu mfanyakazi umlipe laki moja 😐
Biashara ikafanyika kiukandamizaji lazima na wewe uibiwe tu, ndani ya mwezi mmoja upate faida ya 5 milioni afu mfanya kazi anakula laki moja tu,, SASA TUTAFANYAJE KAZI ZA KANISA ikiwa wewe sio kanisa
 
Humu nimegundua watu wengi blaa blaa kibao ila hawajui na hawajawahi kufanya biashara.......serious mfanya biashara unashangaa mtu kusema ataua biashara za wenzie.

Binafsi najua ili biashara ikubali lazima uliteke soko na huko ndio kuwaua wenzio kibishara na hicho ni kitu cha kawaida sana kwenye biashara.

Kuhusu waafrika ni kweli sisi waafrika wengi tunahitaji kusimamiwa maana hatujawahi kujielewa wala kuwa serious kwenye kazi za watu.....watu wachache sana wenye uchungu wa maisha ndio wanajua kutumia nafasi kama hizo vizuri.

After all nakuona wewe ni boss mzungu sana kama ukipata kijana makini,shida ni upele humwota asiye na kucha ...nafasi kama hizi haziwapati watu ambao maisha yamewanyoosha hivyo washapevuka kiakili na wanajielewa....

Ila muhimu kuliko yote lazima ujitahidi upate hata mara moja kwa week ya kukagua biashara hata ile ya mkwara ili mfanyakazi asijisahau.
 
Humu nimegundua watu wengi blaa blaa kibao ila hawajui na hawajawahi kufanya biashara.......serious mfanya biashara unashangaa mtu kusema ataua biashara za wenzie.

Binafsi najua ili biashara ikubali lazima uliteke soko na huko ndio kuwaua wenzio kibishara na hicho ni kitu cha kawaida sana kwenye biashara.

Kuhusu waafrika ni kweli sisi waafrika wengi tunahitaji kusimamiwa maana hatujawahi kujielewa wala kuwa serious kwenye kazi za watu.....watu wachache sana wenye uchungu wa maisha ndio wanajua kutumia nafasi kama hizo vizuri.

After all nakuona wewe ni boss mzungu sana kama ukipata kijana makini,shida ni upele humwota asiye na kucha ...nafasi kama hizi haziwapati watu ambao maisha yamewanyoosha hivyo washapevuka kiakili na wanajielewa....

Ila muhimu kuliko yote lazima ujitahidi upate hata mara moja kwa week ya kukagua biashara hata ile ya mkwara ili mfanyakazi asijisahau.
Wewe pia nakushangaa sana kwa fikra za kijinga kudhani kuua biashara za wengine ndo wewe utabaki salama. Mbiashara smart hafikirii kuua biashara ya mtu. Hufikiria kuboresha tu biashara yake. Na ni hatari mno ukigundulika nia yako ya kutaka kuua biashara zingine. Utapotezwa haraka sana. Kama ana mtaji wa hela nyingi yeye awauzie wafanyabiashara wadogo kwa bei ya jumla.
 
Uaminifu -na management ndo msingi wa biashara na mafanikio.

Ukikosa muhindi wapo waswahili pia waaminifu sema mpaka umpike aelewe kuwa wizi haufai.

Wahindi huwa wanaamini ukiiba umejiibia wewe mwenyewe mambo ya karma wanayajua Sana so wana embrace honest .

Niseme umewaza sahihi mkuu mchakato wa kuwa tayari kuinuka na MTU ni mchakato ambao upo attached spirituality.
Kupata mswahili ambaye siyo mwizi labda aumbe mwenyewe kwa udongo.
 
Mkuu wizi, roho mbaya au nzuri ni hulka ya mtu na sio utaifa wa mtu. Kama ambavyo unawasifia wahindi vilevile tambua hata hapa wabongo wapo vizuri pia. Kwahiyo jaribu kupanua fikra zaidi sio kuwa negative kila jambo linalohusu wa TZ.
Mbongo ni mstaarabu akiwa hajapata Akipata anaanzisha tabia ngeni ambazo hata yenye mwenyewe huzishanagaa
 
Mbongo ni mstaarabu akiwa hajapata Akipata anaanzisha tabia ngeni ambazo hata yenye mwenyewe huzishanagaa

Mkuu wazoefu wa biashara wanasema ni heri ufanye kazi na watu unao weza kuwabadilisha muda wowote ila sio kutoa hisa
Kumiliki biashara moja watu wawili au zaidi ni kuhatarisha biashara yako/yenu
 
Humu nimegundua watu wengi blaa blaa kibao ila hawajui na hawajawahi kufanya biashara.......serious mfanya biashara unashangaa mtu kusema ataua biashara za wenzie.

Binafsi najua ili biashara ikubali lazima uliteke soko na huko ndio kuwaua wenzio kibishara na hicho ni kitu cha kawaida sana kwenye biashara.

Kuhusu waafrika ni kweli sisi waafrika wengi tunahitaji kusimamiwa maana hatujawahi kujielewa wala kuwa serious kwenye kazi za watu.....watu wachache sana wenye uchungu wa maisha ndio wanajua kutumia nafasi kama hizo vizuri.

After all nakuona wewe ni boss mzungu sana kama ukipata kijana makini,shida ni upele humwota asiye na kucha ...nafasi kama hizi haziwapati watu ambao maisha yamewanyoosha hivyo washapevuka kiakili na wanajielewa....

Ila muhimu kuliko yote lazima ujitahidi upate hata mara moja kwa week ya kukagua biashara hata ile ya mkwara ili mfanyakazi asijisahau.
Asante kwa kunielewa
Nia yangu kubwa ni hivi biashara ya vifaa vya pikipiki ni ya kuuza vitu vidogo vidogo so nikishiriki na mtu ambae hana akili ya kuelewa kuwa pale ndo ofisini kwetu pa kupatia ugali lazima nitajutia tu maana kinachoniuma ni hii style niliyoitumia kukusanya hizi pesa nimesave bila kutoa kwenye account ya UTT AMIS miaka 6 so nahisi gawio linalotoka halifanani na ukubwa wa hela yangu nimeanza kuwaza hata nikikosa huyo muhindi itabidi nitafute binti mwenye elimu ila asie na mambo mengi awe anakaa ndani ya duka coz siwezi hesabu kila siku bidhaa itakuwa biashara mateso kwangu.
 
Back
Top Bottom