Technophilic Pool
JF-Expert Member
- Jan 18, 2024
- 2,597
- 3,965
- Thread starter
-
- #61
ha ha ha kweliHiii nchi ni ya wanafiki, bila unafiki hutoboi, ni vyema kwenda na upepo. πππ usione wanamuunga mama mkono ukadhani inatoka moyoni ni unafiki mwanzo mwisho.
Mme wa dada yako au nae hana getoshemeji gan
sina dada we jamaaMme wa dada yako au nae hana geto
πππLipo ila isije kuwa wewe ndo unazibuliwa ukacha kinyesi kwenye shuka
Nilijua ukija lazima uje na hii commentMkuu usitupangie Cha kukushauri
Nenda lodge
HIV is reallyMimi ni kijana mwaminifu kabisa sio mwizi ila natafuta mtu wa kua ananiazima geto hata kwa masaa kwa ajili ya shughuli zangu ndogo ndogo!
Nitakua nampooza ya maji!!
NB: Wenye ushauri wa uende lodge/hotel siwataki
ππππ Daaaah, wee ni kijana wa hovyo aisee. By the way, hilo jina lako linanikumbusha hao bacteria aisee walinitesa kama mwaka mzima. Waligeuka kuwa sugu nikimeza antibiotics zinadunda! Mpaka nilipofanya urine culture, wakagundulika hao, aisee nilikuwa nimeshateseka vya kutosha. Staphylococcus Aureus ππMimi ni kijana mwaminifu kabisa sio mwizi ila natafuta mtu wa kua ananiazima geto hata kwa masaa kwa ajili ya shughuli zangu ndogo ndogo!
Nitakua nampooza ya maji!!
NB: Wenye ushauri wa uende lodge/hotel siwataki
mkuu naomba niku pm unataarifa muhimu sanaππππ Daaaah, wee ni kijana wa hovyo aisee. By the way, hilo jina lako linanikumbusha hao bacteria aisee walinitesa kama mwaka mzima. Waligeuka kuwa sugu nikimeza antibiotics zinadunda! Mpaka nilipofanya urine culture, wakagundulika hao, aisee nilikuwa nimeshateseka vya kutosha. Staphylococcus Aureus ππ
Tutokee hapa na phobia yakoHIV is really
Duuhunatia huruma! au uko kwene mahusiano yenye manyanyaso
Inang'ata hiyo Nyumba kali !??mimi nina nyumba kali kaka
jifunze kiswahili afu urudInang'ata hiyo Nyumba kali !??
mwaminifu,,Nina geto Kali sana sana manner ya CCM kirumba,na huwa sikai sana maana mimi ni mtu wa kusafiri sana thamani ya vitu vyote vilivyomo si chini ya m10, ni vigezo vp vitafanya nikuamini?
Pakua app ya airbnb chagua geto weka booking lipa kakae hayao masaa.Mimi ni kijana mwaminifu kabisa sio mwizi ila natafuta mtu wa kua ananiazima geto hata kwa masaa kwa ajili ya shughuli zangu ndogo ndogo!
Nitakua nampooza ya maji!!
NB: Wenye ushauri wa uende lodge/hotel siwataki
tanzania hizi mambo za Airbnb zipoPakua app ya airbnb chagua geto weka booking lipa kakae hayao masaa.
Zipo muda sana miaka mingi tu huenda unaishi nyuma ya wakati. Mimi nikienda mji nisiokuwa na makazi kama nakaa zaidi ya week nachukuaga airbnb... sometimes hata hapa hapa nilipo naweza chukua airbnb kali kwa siku moja tutanzania hizi mambo za Airbnb zipo
kwa siku moja ni sh ngapZipo muda sana miaka mingi tu huenda unaishi nyuma ya wakati. Mimi nikienda mji nisiokuwa na makazi kama nakaa zaidi ya week nachukuaga airbnb... sometimes hata hapa hapa nilipo naweza chukua airbnb kali kwa siku moja tu
kweli mkuu niko nyuma ya muda sana!Zipo muda sana miaka mingi tu huenda unaishi nyuma ya wakati. Mimi nikienda mji nisiokuwa na makazi kama nakaa zaidi ya week nachukuaga airbnb... sometimes hata hapa hapa nilipo naweza chukua airbnb kali kwa siku moja tu