Inategemea na nyumba yenyewe vitu vilivyomo location na mengine. zipo za dollar 15 hadi za dollar hata 150 kwa siku. Kuna moja niliichukua dodoma kwa muda wa mwezi back in 2021 hiyo nililipa kama lak 3.8 ilikuwaga simple sana ilikuwa ni master ina kitanda na mashuka na kila kitu na TV na na kijiko kidooogo sana. Hiyo ndio aribnb ambayo nadhani ilikuwa cheap kuliko zote nilizowahi kutana nazo maana 3.8 kwa mwez ni cheap sana.kwa siku moja ni sh ngap
Sema Dsm ni cheap zaidi nadhani. Niliona mfano airbnb bukoba bei ghali wakati nyumba zenyewe hizo zipo zipo tu.kweli mkuu niko nyuma ya muda sana!
ila watamxania wengj pia hawako exposed
siku moja n sh ngap
heeeh ndo apartment zenyewe cyoInategemea na nyumba yenyewe vitu vilivyomo location na mengine. zipo za dollar 15 hadi za dollar hata 150 kwa siku. Kuna moja niliichukua dodoma kwa muda wa mwezi back in 2021 hiyo nililipa kama lak 3.8 ilikuwaga simple sana ilikuwa ni master ina kitanda na mashuka na kila kitu na TV na na kijiko kidooogo sana. Hiyo ndio aribnb ambayo nadhani ilikuwa cheap kuliko zote nilizowahi kutana nazo maana 3.8 kwa mwez ni cheap sana.
Hee unakuta kila kitu nyingine unakuta haa mtu wa kukupa huduma ukitaka. Nyingine zinakuwa nyumba ya mtu anaamua kutoa chumba asichotumia kukipangisha lakini mimi siajwahi chukua hizo za kwenda kuishi na mtuheeeh ndo apartment zenyewe cyo
🤣🤣🤣Mimi ni kijana mwaminifu kabisa sio mwizi ila natafuta mtu wa kua ananiazima geto hata kwa masaa kwa ajili ya shughuli zangu ndogo ndogo!
Nitakua nampooza ya maji!!
NB: Wenye ushauri wa uende lodge/hotel siwataki
yaan nitoke mjini niende kuchukua geto porini marimbe bora mninyongeNjoo jioni mitaa ya kijiweni(malimbe road), uje na iyo pc utakayo ileta nione kama atafaa kuingia geto
mna andikishana mikatabaHee unakuta kila kitu nyingine unakuta haa mtu wa kukupa huduma ukitaka. Nyingine zinakuwa nyumba ya mtu anaamua kutoa chumba asichotumia kukipangisha lakini mimi siajwahi chukua hizo za kwenda kuishi na mtu
Basi wewe ni fogo mkuuyaan nitoke mjini niende kuchukua geto porini marimbe bora mninyonge
huko ni mbali elewa neno townBasi wewe ni fogo mkuu
Bora ww umesema nawaelekeza vilaza wa hapa wao wanawaza zinaaa ni kazi kweliwabongo tutachelewa sana kimaendeleo Mtu anaomba gheto hajatamka kama anaenda kufanya zinaa nyinyi tayari mmeshamtwisha mzigo wa dhambi sasa yupi kati yenu na huyu muwaza ngono kabla.Watu wana michongo kibao ndugu zangu mjini hapa msikae kiboya mnawaza ngono tu..
Sawa tajirihuko ni mbali elewa neno town
Kunakuwa na nllinzi hivyo huwezi ondoka na kitu. Yes si unafanya booking kwenye app manwasiliana unafuata procedures japo kama kawaida mbongo anaweza hata asikusainishe chochotemna andikishana mikataba
aah hilki kitu kipya nimejifunzaKunakuwa na nllinzi hivyo huwezi ondoka na kitu. Yes si unafanya booking kwenye app manwasiliana unafuata procedures japo kama kawaida mbongo anaweza hata asikusainishe chochote
sina sassKwanini wewe mwenyewe usianzishe biashara na Airbnb na upambe vyumba na kutumia ukitaka na wakati mwingine unakodisha kwa bei kali?
kww hela gan nilionayo🤣🤣🤣 dah nilijua unataka kununua