Natafuta mtu mwenye geto kali Mwanza awe ananiazima

Natafuta mtu mwenye geto kali Mwanza awe ananiazima

Wasiliana na Ritzmoko JK ana gheto lake moja kali sana pale Kisesa, Mwanza. Liko kwenye ka-mlima kamoja hivi ka bariiiidi sana kama Pilsner Lager. Naamini utapapenda.
 
Mimi ni kijana mwaminifu kabisa sio mwizi ila natafuta mtu wa kua ananiazima geto hata kwa masaa kwa ajili ya shughuli zangu ndogo ndogo!

Nitakua nampooza ya maji!!


NB: Wenye ushauri wa uende lodge/hotel siwataki
Mtu akukabidhi nyumba yake wewe umpe hela ya maji!? Una utani Sana
 
Kuwa makini kutukana watu mtandaoni unaweza kujikuta umentukana kibenten wa mama yako
Una akili za kisoda!
mi nilijua watu maarufu huwa wanakua wako “well upstair”…. kumbe ndo hamna kila kitu
 
Back
Top Bottom