Technophilic Pool
JF-Expert Member
- Jan 18, 2024
- 2,597
- 3,965
- Thread starter
- #101
lipiHilo nalo mkalitizame
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
lipiHilo nalo mkalitizame
Polesina sass
nikopeshePole
Unizike etinikopeshe
haya kama hutaki kunikopeshaUnizike eti
Hupati mtu
Ila weka malengo kwa miaka 5 utatoboa
Fursa nyingi sana ila subra vijana hawana
Tafuta sssakww hela gan nilionayo
hilo hiloGeto haliwez kuwa kali ivyo m nnalo simpo sabufa ndio muhimu
angeona uzi una wazimu angeuondoa kwaiyo we ndo unajiona una akili sana hapaMods lianzishwe jukwaa la wendawazimu mtu kama huyu akianzisha uzi wowote uhamishiwe huko
kama una akili huu uzi umeufungua wa kazi gan mbona kama hujisomi mzeeMods lianzishwe jukwaa la wendawazimu mtu kama huyu akianzisha uzi wowote uhamishiwe huko
Ndiyoangeona uzi una wazimu angeuondoa kwaiyo we ndo unajiona una akili sana hapa
Tahira ww!!Ndiyo
ha ha ha sawqWasiliana na Ritz Moko JK ana gheto lake moja kali sana pale Kisesa, Mwanza. Liko kwenye ka-mlima kamoja hivi ka bariiiidi sana. Naamini utapapenda.
Kuwa makini kutukana watu mtandaoni unaweza kujikuta umentukana kibenten wa mama yakoTahira ww!!
mtajuana huko huko!!….ila ww huna akiliKuwa makini kutukana watu mtandaoni unaweza kujikuta umentukana kibenten wa mama yako
Mtu akukabidhi nyumba yake wewe umpe hela ya maji!? Una utani SanaMimi ni kijana mwaminifu kabisa sio mwizi ila natafuta mtu wa kua ananiazima geto hata kwa masaa kwa ajili ya shughuli zangu ndogo ndogo!
Nitakua nampooza ya maji!!
NB: Wenye ushauri wa uende lodge/hotel siwataki
Una akili za kisoda!Kuwa makini kutukana watu mtandaoni unaweza kujikuta umentukana kibenten wa mama yako