Natafuta Mume aliye serious anayetaka mke. Nina miaka 36

Kwa ukali ndo maana bado anapuyanga na hiyo 36
Waone mnamtesa mwenzenu sura mbaya kama mr bean🤣🤣🤣 mwenyewe upo single kuanzia 70 hadi waleo unamsema mwenzenu na vile viatu vyenu kama greda za tanroads
 
Waone mnamtesa mwenzenu sura mbaya kama mr bean[emoji1787][emoji1787][emoji1787] mwenyewe upo single kuanzia 70 hadi waleo unamsema mwenzenu na vile viatu vyenu kama greda za tanroads
Umejuaje [emoji1][emoji1][emoji1]
 
Tuliopo apo singida ndio sisi hao hao tuliomo humu
 
Kabla sijatoa comments zangu zilizotukuka hebu ongeza umri angalau miaka 60. Are serious unatafuta mume? Huyo mwanao ni wa kike au wa kiume? Baba yake yupo hai au? Vipi ukipata mume hutakuwa msaliti? Unataka uolewe kwa staili ipi, kuvutawa, bomani au kanisani? Unasali kanisa gani? Unafanya kazi singida kampuni/taasisi gani? Una umri mzuri, mtu mzima uliyekomaa ki akili natumaini hutasumbua ndoani. Hebu nitafute pm tuyajenge, kupata mwenza mitandaoni imekuwa kawaida. Singida si mbali nitakuja fasta tuonane laivu kama kweli unataka mume umeshapata jiachie pm
 
Just text me through 073804171
 
Je hatoomba jicho?
 
Ps kukaa kote front umekosaje kuolewa mapema, we taaluma ujatendea haki, chuo ulichosoma au hamjaelekezwa jinsi ya kupaka wanja vizuri.?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…