Natafuta mume wa kuishi nae, nyumba ipo

Natafuta mume wa kuishi nae, nyumba ipo

very serious sema umri sasa ndio daa, ila ndo naingia 30's sasa, nadhani sio mbaya sana nicheki hapo mamie 0677 174 806
 
Punguza kidooooogo, kigezo cha umri tuyajenge mama mtarajiwa.
 
Nahitaji mume wa kuishi nae nyumba ipo nina vyumba viwili tutakaa hadi tujenge hakuna kulipa kodi.
Uje na vitu vya ndani vyote .ukiwa na gari itapendeza zaidi ila kama huna njoo tu tutanunua maisha ni mipango tu.

Kama una watoto wasiwe wengi na uje na dada yao tutamlipa maana mimi nimeajiriwa narudi nyumbani jioni. Ila uwe mtu mzima na akili timamu za mapenzi na maisha .Miaka 35 kwenda juu vijana sitaki kabisa

Naishi mkoa wa Dar es salaam
miaka yangu 35 sina mtoto bado
NJOO PM
 
Mdada tuliza akili...

Usitumie nguvu nyingi kutafuta mume mpaka unatoa offer ya makazi.

Wakati mwingine kuolewa ni bahati..

Kama yako ipo,atakuja tu kwa muda uliopangiwa.
 
ushapata?sisi watu wa pwani tunasema ustaarabu adabu,nisije tupa mashairi kumbe ushapata
 
Wale wasio na nyumba nendeni mkaishi makazi yapo tayali.
 
Akili yangu imetulia baada ya kumpata mtu sahihi,ukiwa na pasua kichwa hata uwe kwenye 40's unakuwa mwehu pia.

Ndio maana ni vyema zaidi kutumia busara sana kumchagua mwenzi.

Kweli kabisa, maana usipopata mtu sahihi inaweza hata kuharibu future yako.
 
Hakiya nani..huuu ni mtego..kuweni makini wanaume waJF kuna mtu anatafutwa usije ukawa mmoja wao
 
Back
Top Bottom