Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
mambo ya mlima kitonga hayooo. Kila ka kheri .Na mlivyowengi .....umeshapata nafasi au hujawahi PM..Mkuu siku hizi mambo ya kutongoza mwezi mzima hatutaki, kama hivi mdada kaleta maombi mwenyewe tunachangamkia
sitaki kwani lazima?Sasa kama hauna mtoto unaogopa nini kua na mwanaume ambaye atakua chini ya hiyo miaka 30? Kwa umri huo mwanaume hana mtu itakua siyo kweli yatakua ni maigizo.
NJOO PMNahitaji mume wa kuishi nae nyumba ipo nina vyumba viwili tutakaa hadi tujenge hakuna kulipa kodi.
Uje na vitu vya ndani vyote .ukiwa na gari itapendeza zaidi ila kama huna njoo tu tutanunua maisha ni mipango tu.
Kama una watoto wasiwe wengi na uje na dada yao tutamlipa maana mimi nimeajiriwa narudi nyumbani jioni. Ila uwe mtu mzima na akili timamu za mapenzi na maisha .Miaka 35 kwenda juu vijana sitaki kabisa
Naishi mkoa wa Dar es salaam
miaka yangu 35 sina mtoto bado
Wenzio wanawahi foleni. Wewe unauliza Kama ni nyumba ya urithi au lah....Hujaweka wazi, ni nyumba ya urithi au???
Akili yangu imetulia baada ya kumpata mtu sahihi,ukiwa na pasua kichwa hata uwe kwenye 40's unakuwa mwehu pia.Unajua kadri muda unavyosonga unajikuta automatically akili zinatulia zenyewe bila hata kulazimishwa.
Idadi hainiogopeshi me naenda na mzigo japo yeye amedai hahitaji kwa hiyo nitajibebea tuumambo ya mlima kitonga hayooo. Kila ka kheri .Na mlivyowengi .....umeshapata nafasi au hujawahi PM..
wanaume tunaangalia uzuri na mvuto pia..
PM yako itajaa soon
Akili yangu imetulia baada ya kumpata mtu sahihi,ukiwa na pasua kichwa hata uwe kwenye 40's unakuwa mwehu pia.
Ndio maana ni vyema zaidi kutumia busara sana kumchagua mwenzi.
Haya. Kila la kheriIdadi hainiogopeshi me naenda na mzigo japo yeye amedai hahitaji kwa hiyo nitajibebea tuu
Asante mkuu, wewe vp huitaji?Haya. Kila la kheri