Natafuta mume wa kuishi nae, nyumba ipo

Natafuta mume wa kuishi nae, nyumba ipo

Ninachojua, ndoa huanza na urafiki, na urafiki huanza kwa kujuana na watu wanaokuzunguuka. Anza na rafiki au tengeneza urafiki na watu ulionao karibu, kuwa reasonably kind, usijali muonekano wako, sometimes watu huvutika na wanawake wenye tabia nzuri na wakarimu kuliko wa sura nzuri. From there you can begin your move. All the best.
 
Vipi ambao tupo mkoa tofauti je inawezekana mama mtarajiwa.manake mm nina mapenzi ya kwel ila sipo dar
 
na kama ndivyo, hawachelewi kunasa, utakuta wanatafuta wenye makosa ya mitandao wajieleze kwake mchumba (TISS)
 
Jamani wanajukwaa, naomba mnisaidie kumwambia mama mtarajiwa ajibu PM zangu. Manake nmesubiri weee lakini wapi. Tangu Ijumaa nimempm application bila majibu. Au nikiona kimya nijue nimekosa? Aiii weweeee....!!.
 
Jamani wanajukwaa, naomba mnisaidie kumwambia mama mtarajiwa ajibu PM zangu. Manake nmesubiri weee lakini wapi. Tangu Ijumaa nimempm application bila majibu. Au nikiona kimya nijue nimekosa? Aiii weweeee....!!.
ana penda kwa hisia huyu mama mtalajiwa subiri labda bado husahiri una endelea zamu yako bado
 
Picha iko wapi? Unataka kutukamata juu kwa juu? Tuma picha tuthaminishe kwanza
 
Naamin vigezo namasharti vimezngatiwa kumpata baba mtarajiwa
 
ila hautaishi bure hapa kwangu .wala usitegemee kunidanganya kama wewe ni muongo nitakujua tu .kama huna mapenzi ya dhati unapenda mteremko bora usinitafute maana hapa sio mahali pake
Baada ya watu kumiminika pm umebadili gia angani
 
Nahitaji mume wa kuishi nae nyumba ipo nina vyumba viwili tutakaa hadi tujenge hakuna kulipa kodi.
Uje na vitu vya ndani vyote .ukiwa na gari itapendeza zaidi ila kama huna njoo tu tutanunua maisha ni mipango tu.

Kama una watoto wasiwe wengi na uje na dada yao tutamlipa maana mimi nimeajiriwa narudi nyumbani jioni. Ila uwe mtu mzima na akili timamu za mapenzi na maisha .Miaka 35 kwenda juu vijana sitaki kabisa

Naishi mkoa wa Dar es salaam
miaka yangu 35 sina mtoto bado

ieleweke sio lazima uishi kwangu hayo ni maamuzi yako tu .ila kama umepanga bora tukae kwangu maana ni bure hatutalipa ili tujipange
Niko tayari ila sipo dar niko shy na nafanya kazi!sasa itakuwaje?
 
Back
Top Bottom