Evelyn Salt
JF-Expert Member
- Jan 5, 2012
- 70,916
- 141,437
Chukua jiko.....Mimi najua kuitafuta pesa haswa, nishawahi poteza elfu mbili, wakati natoka kariakoo, nikatoka kuanzia mbagala kwa mguu naisaka elfu 2 yangu, nikaja kuipatia mtoni mtongani, niliangusha pale wakati nakula miwa π
Sio kwamba amekosa hapana, huyu ni mjanja anajua hii forum ya jamii inatumiwa na wanaume wengi wasomi na wenye mafanikio na yeye ataki masikini ndio mana kaja kubandika tangazo lake humu.Hii kitu sijawahi elewa. Yaani mimi na uzee huu nikitaka kuolewa kesho mume nampata kesho hiyo hiyo
Yaani nimemaanisha kesho asubuhi saa mbili nikitoka hapa home haifiki saa 6 mume nishampata na ndoa tayariKesho???? Unakua unasubiri nini siku ipite.....ukiachwa saa mbili inatakiwa saa kumi tayari tunawasha ubani tunakula chai na kalmat kwenye mikeka.....
Ingekuwa jiko la pumba, kuni sawa.. Ila hili linaonekana ni la umeme n gesi, siliwezi maisha yamepanda bei. πChukua jiko.....
Basi wakija nigawie mmojaSiwatafutagi wanakuja tu
Wengine tupo tu, tunaswampa swampaπWaume wamezagaa zagaa kila mahali
Mwanaume haogopi bei wewe anakua tu na kauli za kishujaa "kuna dili nasikilizia"Ingekuwa jiko la pumba, kuni sawa.. Ila hili linaonekana ni la umeme n gesi, siliwezi maisha yamepanda bei. π
Mnafwafwanzika mtaani π€£π€£π€£π€£π€£Wengine tupo tu, tunaswampa swampaπ
Muombe wawili dia na mie nna shidaBasi wakija nigawie mmoja
Upo mkoa gani mrembo?Mimi ni kijana wa kike, umri wangu ni miaka 28. Mimi ni mkristo, nasali kanisa la KKKT, elimu yangu ni degree moja. Ni mweupe kiasi, sio mrefu wala sio mfupi. Natafuta mchumba ambaye natamani aje kuwa mume wangu. Awe na sifa zifuatazao.
1. Asiwe mrefu sana wala mfupi sana
2. Awe mkristo
3. Elimu iwe degree moja na kuendelea
4. Rangi yake awe maji ya kunde ya mweusi. Asiwe mweupe
5. Ajue kutafuta pesa
5 ni kipengereMimi ni kijana wa kike, umri wangu ni miaka 28. Mimi ni mkristo, nasali kanisa la KKKT, elimu yangu ni degree moja. Ni mweupe kiasi, sio mrefu wala sio mfupi. Natafuta mchumba ambaye natamani aje kuwa mume wangu. Awe na sifa zifuatazao.
1. Asiwe mrefu sana wala mfupi sana
2. Awe mkristo
3. Elimu iwe degree moja na kuendelea
4. Rangi yake awe maji ya kunde ya mweusi. Asiwe mweupe
5. Ajue kutafuta pesa
Wanaume wa jf hawa wabahili πSio kwamba amekosa hapana, huyu ni mjanja anajua hii forum ya jamii inatumiwa na wanaume wengi wasomi na wenye mafanikio na yeye ataki masikini ndio mana kaja kubandika tangazo lake humu.
Wanakuwa wamekuja kwaajili yangu shostiBasi wakija nigawie mmoja
Jiko la umeme atakuja nalo, sie wadada wa jf tutamfanyia kitchen party.Ingekuwa jiko la pumba, kuni sawa.. Ila hili linaonekana ni la umeme n gesi, siliwezi maisha yamepanda bei. π
Unyama mwaisa..Mwanaume haogopi bei wewe anakua tu na kauli za kishujaa "kuna dili nasikilizia"
Kuna maisha baada ya kitchen party lakini. πJiko la umeme atakuja nalo, sie wadada wa jf tutamfanyia kitchen party.
Umeme atanunua yeye
Dada yupo vzr usiogope.Kuna maisha baada ya kitchen party lakini. π
Miujiza ya mungu inatendeka kwetu sisi, tunavyoamka chai tunavyoipata, mchana, vocha ni kiajabu ajabu tu πMnafwafwanzika mtaani π€£π€£π€£π€£π€£