Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kasema yeye sio mweupe so yawezekana anaogopa challenge!Weupe wamefanyaje jamani mbona huwataki?
Kila lakheri lakini rekebisha vigezo, Mfano vigezo vya kukataa Mrefu na Mweupe naviona haviana maana kwakua binadamu hajiumbi so hawezi kuchagua kuwa mrefu au mfupi au maji ya kunde!Mimi ni kijana wa kike, umri wangu ni miaka 28. Mimi ni mkristo, nasali kanisa la KKKT, elimu yangu ni degree moja. Ni mweupe kiasi, sio mrefu wala sio mfupi. Natafuta mchumba ambaye natamani aje kuwa mume wangu. Awe na sifa zifuatazao.
1. Asiwe mrefu sana wala mfupi sana
2. Awe mkristo
3. Elimu iwe degree moja na kuendelea
4. Rangi yake awe maji ya kunde ya mweusi. Asiwe mweupe
5. Ajue kutafuta pesa
Mbona umeondoa kenge na kuweka malaika? Sijapenda kwa kweli 😁😁😁🖐🖐🖐🏃🏿♂️🏃🏿♂️🏃🏿♂️🏃🏿♂️Bora umesema.
Hawa malaika wa humu wanajifanya ujuaji mwingi..😏
Degree moja au mbili siku hizi ni sawa na la saba tu. Maana wengi wao ni bodaboda, dereva bajaji, machinga, madalali, na wahuni mtaani tu
😂😂😂....malaika linawafaa zaidiMbona umeondoa kenge na kuweka malaika? Sijapenda kwa kweli 😁😁😁🖐🖐🖐🏃🏿♂️🏃🏿♂️🏃🏿♂️🏃🏿♂️
Hufai aisee.😂😂😂....malaika linawafaa zaidi
Id yako ya zaman ni ipMimi ni kijana wa kike, umri wangu ni miaka 28. Mimi ni mkristo, nasali kanisa la KKKT, elimu yangu ni degree moja. Ni mweupe kiasi, sio mrefu wala sio mfupi. Natafuta mchumba ambaye natamani aje kuwa mume wangu. Awe na sifa zifuatazao.
1. Asiwe mrefu sana wala mfupi sana
2. Awe mkristo
3. Elimu iwe degree moja na kuendelea
4. Rangi yake awe maji ya kunde ya mweusi. Asiwe mweupe
5. Ajue kutafuta pesa
𝐦𝐢𝐦𝐢 𝐧𝐢 𝐦𝐮𝐡𝐚 𝐩𝐮𝐫𝐞 𝐰𝐚 𝐤𝐢𝐠𝐨𝐦𝐚 𝐯𝐢𝐩 𝐮𝐭𝐚𝐤𝐮𝐛𝐚𝐫𝐢 𝐤𝐮𝐣𝐚 𝐤𝐮𝐢𝐬𝐡𝐢 𝐡𝐮𝐤𝐮 𝐜𝐡𝐚𝐧𝐤𝐚 𝐛𝐡𝐚𝐠𝐚𝐛𝐡𝐨 𝐧𝐝𝐚𝐧𝐢 𝐧𝐝𝐚𝐧𝐢 𝐦𝐩𝐚𝐤𝐚𝐧𝐢 𝐦𝐰𝐚 𝐓𝐳 𝐧𝐚 𝐁𝐮𝐫𝐮𝐧𝐝𝐢Mimi ni kijana wa kike, umri wangu ni miaka 28. Mimi ni mkristo, nasali kanisa la KKKT, elimu yangu ni degree moja. Ni mweupe kiasi, sio mrefu wala sio mfupi. Natafuta mchumba ambaye natamani aje kuwa mume wangu. Awe na sifa zifuatazao.
1. Asiwe mrefu sana wala mfupi sana
2. Awe mkristo
3. Elimu iwe degree moja na kuendelea
4. Rangi yake awe maji ya kunde ya mweusi. Asiwe mweupe
5. Ajue kutafuta p𝐞𝐬𝐚
HeheHufai aisee.
Nilisoma hiyo kenge nikasonya tu na kuondoka zangu kimya kimya. Adhabu inakuhusu! 😁😁😁
Uko poa lakini?
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Mimi najua kuitafuta pesa haswa, nishawahi poteza elfu mbili, wakati natoka kariakoo, nikatoka kuanzia mbagala kwa mguu naisaka elfu 2 yangu, nikaja kuipatia mtoni mtongani, niliangusha pale wakati nakula miwa [emoji23]
Ngoja watskula degree zao. Maana degree mbili kuzikusanya zote mnashibavigezo vyote ninavyo kasoro hyo degree,
Umri?Mimi ni kijana wa kike, umri wangu ni miaka 28. Mimi ni mkristo, nasali kanisa la KKKT, elimu yangu ni degree moja. Ni mweupe kiasi, sio mrefu wala sio mfupi. Natafuta mchumba ambaye natamani aje kuwa mume wangu. Awe na sifa zifuatazao.
1. Asiwe mrefu sana wala mfupi sana
2. Awe mkristo
3. Elimu iwe degree moja na kuendelea
4. Rangi yake awe maji ya kunde ya mweusi. Asiwe mweupe
5. Ajue kutafuta pesa
We huu mwandiko hauna degree.Kabila gani were uwe mkwel na uje pm Kam uko serious mnk mm pia Ni .mkkkt mzuri tu na ningependa nioe mke wa kutoka kkkt
Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Hawa wako selective sana, akisalimiwa anaringa wanatafuta mume tajiriHii kitu sijawahi elewa. Yaani mimi na uzee huu nikitaka kuolewa kesho mume nampata kesho hiyo hiyo
Eti bro....Hehe
Ila ulikua chap [emoji23][emoji23]
Nipo poa..sijui wewe bro
😂😂😂😂Eti bro....
Ushindwe mpaka ujishangae....
Ushindwe kuzidi Manchesta Yunaitedi [emoji16][emoji16][emoji16]