Kifulambute
JF-Expert Member
- May 8, 2011
- 2,539
- 758
katika post zote wewe umeuaChura ipo?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
katika post zote wewe umeuaChura ipo?
[emoji23] [emoji23] [emoji23]katika post zote wewe umeua
Dm ndio wapi?Njoo dm plz
Nitafute inbox npo seriousJamani kama kichwa habari kinavyojieleza,
Ni mara pili sasa natafuta mume na sio mchumba.Umri 30+ awe mkristo na pia elimu ya kati awe mrefu mwenye upendo na mapenzi ya dhati. Mimi ni mkristo nina elimu ya kutosha kujitambua, mwajiriwa wa serikali umri wangu 30+.
Mtaa unaoishi hakuna wanamme ambao hawajaoa?Jamani kama kichwa habari kinavyojieleza,
Ni mara pili sasa natafuta mume na sio mchumba.Umri 30+ awe mkristo na pia elimu ya kati awe mrefu mwenye upendo na mapenzi ya dhati. Mimi ni mkristo nina elimu ya kutosha kujitambua, mwajiriwa wa serikali umri wangu 30+.
Ni pm sorry .nildhan niko instaDm ndio wapi?
kama hatamaniki je?Hapo ulipo serikali hakuna mwanaume wa kukutamani kuwa mke wake ?
Mtaaani kwako pia umekosa mwanaume
Utampata tu mungu atakusaidiaJamani kama kichwa habari kinavyojieleza,
Ni mara pili sasa natafuta mume na sio mchumba.Umri 30+ awe mkristo na pia elimu ya kati awe mrefu mwenye upendo na mapenzi ya dhati. Mimi ni mkristo nina elimu ya kutosha kujitambua, mwajiriwa wa serikali umri wangu 30+.
Jamani kama kichwa habari kinavyojieleza,
Ni mara pili sasa natafuta mume na sio mchumba.Umri 30+ awe mkristo na pia elimu ya kati awe mrefu mwenye upendo na mapenzi ya dhati. Mimi ni mkristo nina elimu ya kutosha kujitambua, mwajiriwa wa serikali umri wangu 30+.
Nashukuru nimepata mke, nakuomba tuongeeJamani kama kichwa habari kinavyojieleza,
Ni mara pili sasa natafuta mume na sio mchumba.Umri 30+ awe mkristo na pia elimu ya kati awe mrefu mwenye upendo na mapenzi ya dhati. Mimi ni mkristo nina elimu ya kutosha kujitambua, mwajiriwa wa serikali umri wangu 30+.
30 itapendezaMiaka 29 huchukui?
Kuwa hapo ulipo wanaume hawapo na kama wapo kwanini wasikuoe? Ushauri jiangalie mienendo yako.unataka utuambie hio miaka yote hakuna wanaume waliokuwa wanataka kukuoa? Inamaana unamiaka 12 uliofatiliwa.kengele ya alarm inakuamusha umechelewa huo sio mda wa kuchagua mwanaume yoyote yule sema nashukuru Mungu.Samahani kama nimetumia maneno makali.Jamani kama kichwa habari kinavyojieleza,
Ni mara pili sasa natafuta mume na sio mchumba.Umri 30+ awe mkristo na pia elimu ya kati awe mrefu mwenye upendo na mapenzi ya dhati. Mimi ni mkristo nina elimu ya kutosha kujitambua, mwajiriwa wa serikali umri wangu 30+.
Jaman ivi dunia hii utapata ambae hajatumika kama unataka mke apply tuKwahiyo umetumiwa weeee,sasa unatafuta wa kumletea makombo