Natafuta mume

Natafuta mume

Jamani kama kichwa habari kinavyojieleza,

Ni mara pili sasa natafuta mume na sio mchumba.Umri 30+ awe mkristo na pia elimu ya kati awe mrefu mwenye upendo na mapenzi ya dhati. Mimi ni mkristo nina elimu ya kutosha kujitambua, mwajiriwa wa serikali umri wangu 30+.
Nitafute inbox npo serious
 
Jamani kama kichwa habari kinavyojieleza,

Ni mara pili sasa natafuta mume na sio mchumba.Umri 30+ awe mkristo na pia elimu ya kati awe mrefu mwenye upendo na mapenzi ya dhati. Mimi ni mkristo nina elimu ya kutosha kujitambua, mwajiriwa wa serikali umri wangu 30+.
Mtaa unaoishi hakuna wanamme ambao hawajaoa?

Kama wapo na wanakuona na hawaonyesha nia ya kukuoa (za kuambiwa changanya na zako)
 
Jamani kama kichwa habari kinavyojieleza,

Ni mara pili sasa natafuta mume na sio mchumba.Umri 30+ awe mkristo na pia elimu ya kati awe mrefu mwenye upendo na mapenzi ya dhati. Mimi ni mkristo nina elimu ya kutosha kujitambua, mwajiriwa wa serikali umri wangu 30+.
Utampata tu mungu atakusaidia
 
Jamani kama kichwa habari kinavyojieleza,

Ni mara pili sasa natafuta mume na sio mchumba.Umri 30+ awe mkristo na pia elimu ya kati awe mrefu mwenye upendo na mapenzi ya dhati. Mimi ni mkristo nina elimu ya kutosha kujitambua, mwajiriwa wa serikali umri wangu 30+.
 
ukiona hujapata kabisa nakukaribisha pm, vigezo ni hakuna kuku du mpaka tupime ukimwi na ndoa juu
 
Jamani kama kichwa habari kinavyojieleza,

Ni mara pili sasa natafuta mume na sio mchumba.Umri 30+ awe mkristo na pia elimu ya kati awe mrefu mwenye upendo na mapenzi ya dhati. Mimi ni mkristo nina elimu ya kutosha kujitambua, mwajiriwa wa serikali umri wangu 30+.
Nashukuru nimepata mke, nakuomba tuongee
 
Sijui tuongee,maana kwa huu uhitaji wa mke nilio nao daaa!!
 
Kwahiyo umetumiwa weeee,sasa unatafuta wa kumletea makombo
 
Jamani kama kichwa habari kinavyojieleza,

Ni mara pili sasa natafuta mume na sio mchumba.Umri 30+ awe mkristo na pia elimu ya kati awe mrefu mwenye upendo na mapenzi ya dhati. Mimi ni mkristo nina elimu ya kutosha kujitambua, mwajiriwa wa serikali umri wangu 30+.
Kuwa hapo ulipo wanaume hawapo na kama wapo kwanini wasikuoe? Ushauri jiangalie mienendo yako.unataka utuambie hio miaka yote hakuna wanaume waliokuwa wanataka kukuoa? Inamaana unamiaka 12 uliofatiliwa.kengele ya alarm inakuamusha umechelewa huo sio mda wa kuchagua mwanaume yoyote yule sema nashukuru Mungu.Samahani kama nimetumia maneno makali.
 
Back
Top Bottom