Natafuta mume

Natafuta mume

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Kila La Heri Mama
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Ndio lengo la uzi mpenzi[emoji13][emoji13]
Leo unacheka ila kuna wakati utahuzunika kwa malipo ya hii dhihaka,, Mwenyezi mungu hukupa kwa wakati hachelewi wala hana kuwahi ila wewe umeamua kutafuta umaarufu kwa kutumia uongo wa hitaji ipo siku utahitaji kweli halafu utajiona mwenye mkosi, balaa, nuksi kumbe yote hayo umejitia mwenyewe,, muombe mungu wako akusamehe kwa dhati afute andiko lako katika himaya ya ibilisi akuepushe na tamaa ya umaarufu usio na faida,, huo ni ushauri tu na una hiari kuutumia au kuupotezea ila chunga kile moyo hutamani maana ndicho huwa chako hata kikiwa kibovu
 
Leo unacheka ila kuna wakati utahuzunika kwa malipo ya hii dhihaka,, Mwenyezi mungu hukupa kwa wakati hachelewi wala hana kuwahi ila wewe umeamua kutafuta umaarufu kwa kutumia uongo wa hitaji ipo siku utahitaji kweli halafu utajiona mwenye mkosi, balaa, nuksi kumbe yote hayo umejitia mwenyewe,, muombe mungu wako akusamehe kwa dhati afute andiko lako katika himaya ya ibilisi akuepushe na tamaa ya umaarufu usio na faida,, huo ni ushauri tu na una hiari kuutumia au kuupotezea ila chunga kile moyo hutamani maana ndicho huwa chako hata kikiwa kibovu
Duh, mzee baba hizi laana ulizonishushia sasa,!! Usiamini kila kitu jf, nyinyi ndo mnaotekwa kirahisi shauri yako
 
Eeeeh, Kwani nikiandika neno mpenzi maana yake sisi ni wapenzi?
zeshchriss mbona umefunga PM? Naingia nakutana na huu ujumbe You do not have permission to view this page or perform this action. Wewe mwanamke nilikuwa nakufuatilia sana ila nilijua umeolewa ndiyo maana nikakausha tu (Mke wa mtu sumu). Nitakutafuta baadae
 
La saba unaandika vizuri hivyo mmh Acha uongo ni mbaya
Kwamba la saba hajui kusoma na kuandika ama??

Uandishi ni uwasilishaji tu wa mawazo anayebeba mawazo jinsi alivyo yaani kuanzia umri wake na mengineyo ndivyo hufanya uone hicho anachokiandika kuwa kizuri sio sula linalobebwa kidato ama ngazi za elimu haswa, labda ungekuwa uandishi wa maandiko ya kitaaluma kama 'thesis' hapo ndo ungehoji ila sio uandishi wa text message.
 
Kwamba la saba hajui kusoma na kuandika ama??

Uandishi ni uwasilishaji tu wa mawazo anayebeba mawazo jinsi alivyo yaani kuanzia umri wake na mengineyo ndivyo hufanya uone hicho anachokiandika kuwa kizuri sio sula linalobebwa kidato ama ngazi za elimu haswa, labda ungekuwa uandishi wa maandiko ya kitaaluma kama 'thesis' hapo ndo ungehoji ila sio uandishi wa text message.
Sibishani na mtu asiye jua kuandika Sura yeye anaandika Sula.
 
zeshchriss mbona umefunga PM? Naingia nakutana na huu ujumbe You do not have permission to view this page or perform this action. Wewe mwanamke nilikuwa nakufuatilia sana ila nilijua umeolewa ndiyo maana nikakausha tu (Mke wa mtu sumu). Nitakutafuta baadae
Eeeeh jamani ulikuwa unanitafuta wapi?
 
Eeeeh jamani ulikuwa unanitafuta wapi?
Nilikuwa nafuatilia post zako na chochote ulichokuwa una comment. Ndipo mwanzo wa kuanza kukupenda kwa kuona michango yako ila nilijuwa tayari umeshaolewa. Unaweza kujiuliza unawezaje kumpenda mtu ambaye hujawahi kumuona? Upendo huanzia kwenye vitu vidogo vidogo sana kama kutoa thread, kucomment n.k ndipo unapopata shauku ya kutaka kumjua mtu ila ugumu huwa unakuja kwenye mawasiliano na vile mtu atakavyokuchukulia. Jinsi ya kupata mawasiliano yako ndipo kasheshe. Mapenzi ni sehemu ya maisha na huwa naogopa sana kuachiwa historia mbaya kwenye mahusiano ndiyo maana nilikaa kimya. Huwa naogopa sana kutongoza wanawake ovyo ovyo maana unaweza kujikuta ndiyo mwanzo wa mateso na shida za kila siku
Nitakutafuta zeshchriss
 
Nilikuwa nafuatilia post zako na chochote ulichokuwa una comment. Ndipo mwanzo wa kuanza kukupenda kwa kuona michango yako ila nilijuwa tayari umeshaolewa. Unaweza kujiuliza unawezaje kumpenda mtu ambaye hujawahi kumuona? Upendo huanzia kwenye vitu vidogo vidogo sana kama kutoa thread, kucomment n.k ndipo unapopata shauku ya kutaka kumjua mtu ila ugumu huwa unakuja kwenye mawasiliano na vile mtu atakavyokuchukulia. Jinsi ya kupata mawasiliano yako ndipo kasheshe. Mapenzi ni sehemu ya maisha na huwa naogopa sana kuachiwa historia mbaya kwenye mahusiano ndiyo maana nilikaa kimya. Huwa naogopa sana kutongoza wanawake ovyo ovyo maana unaweza kujikuta ndiyo mwanzo wa mateso na shida za kila siku
Nitakutafuta zeshchriss
Eeeeeh wewe [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Aseeee hahahahahahahah, sio kwa kutiririka huko,unampenda mtu humjui? My dear mimi nimefanana na babu zangu wadogo sasa usijipe pressure ya kudhan zesh ni bonge la mtu hahahahahahahah mimi ni kamtu tena ka hovyohovyo hiviiii,,,....

Halafuuuu michango yangu mingi mbona imejaa porojo!? Unawezaje kunambia unapenda michango yangu??? Unanidanganya mchana kweupeeeee? Seriously?
 
Eeeeeh wewe [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Aseeee hahahahahahahah, sio kwa kutiririka huko,unampenda mtu humjui? My dear mimi nimefanana na babu zangu wadogo sasa usijipe pressure ya kudhan zesh ni bonge la mtu hahahahahahahah mimi ni kamtu tena ka hovyohovyo hiviiii,,,....

Halafuuuu michango yangu mingi mbona imejaa porojo!? Unawezaje kunambia unapenda michango yangu??? Unanidanganya mchana kweupeeeee? Seriously?

Aisee,
We hutaki Mume...
Unamkosoa mtu kiasi hicho?
Yani unaonesha we mgomvi kweli
 
Back
Top Bottom