Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sina weusi anaomaanisha yeyeWewe ni mzungu?
Oooh, poa poa mkuu, nakuja na Uzi wangu nahitaji mwenye sifa kama zako[emoji3] [emoji3]Sina weusi anaomaanisha yeye
[emoji2] [emoji2] ,my dear naskia umewapata wengii,ila hata hujatupasia na Thad ,God is watching youuuHahahhahahahhahahahahahah
Hahaaa, una utani ujue kumbe pm kumefungwa sasa hizo negotiations mnafanyaje jamani. Umenishinda tabia mi nilikua nasubiria huku[emoji30][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Walisusa sababu sijafungua pm
Salaam kwenu.,,
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza, nikiwa na akili timamu kabisa bila kushawishiwa na mtu yeyote, naweka bandiko hili la kutafuta mwanaume ambae atakuja kuwa mume wangu.
Vigezo ;
Awe mchamungu,
Rangi yoyote ila nyeusi itapewa kipaumbele,
Asiwe na kitambi,
Awe anajitambua kuwa yeye ni mwanaume na autumie vizuri uanaume wake,
Elimu yoyote Ile, [emoji23][emoji23][emoji23]
Sifa za mimi:
Mweusi,
Mwembamba,
Sina matako makubwa,
Elimu la saba,
Sina mtoto.
Umri
Awe na miaka kuanzia 32+
Umri wangu 26
Aliye tayari kuanza maisha mapya aje pm
Ahsanteni sana
Kwanini unamrudisha kwao??? Amekosea wapi? Unadhani ni sahihi kufanya hivyo? Je ulichaguliwa na mtu?Hii dunia haijawahi kuwa na picha sawa katika maisha ya kila mmoja, Mie nampango wa kurudisha mtoto wa watu kwao nimeshindwa mambo ya ndoa. Daaah kila la kheri. Mie narudisha mwanamke kwao sina mpango tena wa kuoa labda nikivuka 30..31.. ndio nianze kupanga kuoa
Sijakulaani mamaake nimekukumbusha tu kuwa wakati unafanya jambo lako uzingatie uwepo na umuhimu wa muumba maana akisema iwe inakuwa ila akisema isiwe haitakuwa Abadan!!!Duh, mzee baba hizi laana ulizonishushia sasa,!! Usiamini kila kitu jf, nyinyi ndo mnaotekwa kirahisi shauri yako
Salaam kwenu.,,
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza, nikiwa na akili timamu kabisa bila kushawishiwa na mtu yeyote, naweka bandiko hili la kutafuta mwanaume ambae atakuja kuwa mume wangu.
Vigezo ;
Awe mchamungu,
Rangi yoyote ila nyeusi itapewa kipaumbele,
Asiwe na kitambi,
Awe anajitambua kuwa yeye ni mwanaume na autumie vizuri uanaume wake,
Elimu yoyote Ile, [emoji23][emoji23][emoji23]
Sifa za mimi:
Mweusi,
Mwembamba,
Sina matako makubwa,
Elimu la saba,
Sina mtoto.
Umri
Awe na miaka kuanzia 32+
Umri wangu 26
Aliye tayari kuanza maisha mapya aje pm
Ahsanteni sana