Natafuta mume

Natafuta mume

kuna sifa zingine umezificha...hebu nidokezee..are u B.q.rwa
 
Hii dunia haijawahi kuwa na picha sawa katika maisha ya kila mmoja, Mie nampango wa kurudisha mtoto wa watu kwao nimeshindwa mambo ya ndoa. Daaah kila la kheri. Mie narudisha mwanamke kwao sina mpango tena wa kuoa labda nikivuka 30..31.. ndio nianze kupanga kuoa
Salaam kwenu.,,

Kama kichwa cha habari kinavyojieleza, nikiwa na akili timamu kabisa bila kushawishiwa na mtu yeyote, naweka bandiko hili la kutafuta mwanaume ambae atakuja kuwa mume wangu.
Vigezo ;
Awe mchamungu,
Rangi yoyote ila nyeusi itapewa kipaumbele,
Asiwe na kitambi,
Awe anajitambua kuwa yeye ni mwanaume na autumie vizuri uanaume wake,
Elimu yoyote Ile, [emoji23][emoji23][emoji23]


Sifa za mimi:
Mweusi,
Mwembamba,
Sina matako makubwa,
Elimu la saba,
Sina mtoto.

Umri
Awe na miaka kuanzia 32+
Umri wangu 26

Aliye tayari kuanza maisha mapya aje pm


Ahsanteni sana
 
Hii dunia haijawahi kuwa na picha sawa katika maisha ya kila mmoja, Mie nampango wa kurudisha mtoto wa watu kwao nimeshindwa mambo ya ndoa. Daaah kila la kheri. Mie narudisha mwanamke kwao sina mpango tena wa kuoa labda nikivuka 30..31.. ndio nianze kupanga kuoa
Kwanini unamrudisha kwao??? Amekosea wapi? Unadhani ni sahihi kufanya hivyo? Je ulichaguliwa na mtu?
 
Duh, mzee baba hizi laana ulizonishushia sasa,!! Usiamini kila kitu jf, nyinyi ndo mnaotekwa kirahisi shauri yako
Sijakulaani mamaake nimekukumbusha tu kuwa wakati unafanya jambo lako uzingatie uwepo na umuhimu wa muumba maana akisema iwe inakuwa ila akisema isiwe haitakuwa Abadan!!!
 
Sijakulaani mamaake nimekukumbusha tu kuwa wakati unafanya jambo lako uzingatie uwepo na umuhimu wa muumba maana akisema iwe inakuwa ila akisema isiwe haitakuwa Abadan!!!
Okay
 
Umefanya modification kwenye ID. Nilikuwa naona hii ID iko very familiar ikabidi nifanye uchunguzi ndiyo nikapata uthibitisho,

Salaam kwenu.,,

Kama kichwa cha habari kinavyojieleza, nikiwa na akili timamu kabisa bila kushawishiwa na mtu yeyote, naweka bandiko hili la kutafuta mwanaume ambae atakuja kuwa mume wangu.
Vigezo ;
Awe mchamungu,
Rangi yoyote ila nyeusi itapewa kipaumbele,
Asiwe na kitambi,
Awe anajitambua kuwa yeye ni mwanaume na autumie vizuri uanaume wake,
Elimu yoyote Ile, [emoji23][emoji23][emoji23]


Sifa za mimi:
Mweusi,
Mwembamba,
Sina matako makubwa,
Elimu la saba,
Sina mtoto.

Umri
Awe na miaka kuanzia 32+
Umri wangu 26

Aliye tayari kuanza maisha mapya aje pm


Ahsanteni sana
 
Umefanya modification kwenye ID. Nilikuwa naona hii ID iko very familiar ikabidi nifanye uchunguzi ndiyo nikapata uthibitisho,
Hahahahahahahah jamani ndiwooo kaka nimefanya modification, maana iliwachanganya wengi
 
  • Nzuri
Reactions: BAK
Back
Top Bottom