Natafuta mwanamke aliye tayari kuingia mkataba wa kunizalia watoto wawili

Halafu kweli. Maana kuzaa watoto wawili haraka haraka nako kunazeesha. Ngoja tuone kama atakubali offer yetu. Million 5 na hela ya matumizi si haba.
Hapo kwenye kifaransa itabidi baba watoto atupeleke course mapema kabla watoto hajawajaja
Watu wanazeeka kutokana na matunzo si mazuri, lishe ya kunenepesha na stress za maisha.

We mzalie huyo, sema mwambie aongeze ifike 20M.
 
Wewe hujamwelewaa mleta mada,
Yeye hataki habari za love na maujinga mengine.

Yeye anataka watoto wawili umzalie akulipe basi.

Tena bora huyu kaja wazi, hivyo ni wewe kuamua.

Sasa unaanza kuleta stori hazina kichwa wala miguu sijui nini huko.

Ma single maza kibao almost 80% hawapewi hata kumi ya matunzo ya mtoto na kuolewa haolewi sembuse 10m??

Wabongo tuache longolongo.
 
Mama kwa huyu mtoa mada hataki mapenzi yeye ni biashara ya mtoto halafu kila MTU na njia zake. Ingekua mapenzi asingeweka masharti yote hayo
Exactly!!
Huyu analeta ishu za kilokole kwenye kazi za watu
 
Sasa Degree inasaidia nini ktk kukuzalia mbona umeweka kikwazo kwa walio vijijini na wanaojitafutia riziki mitaani wapate mtaji
 
Wewe ndo hujaelewa vizuri, kumbe mimba inaingia bila upendo? Inaweza isiingie miaka nenda rudi.

Uwezi kunilazimisha ni comment unavyotaka . after all Jf tuko free kuongea unachoona ni sahihi.
 
Mchukue zari the boss lady ndani ya miaka 2 utakuwa na watoto 2 tayari
 
Advance unatoa sh ngapi?
 

MKATABA HAUITAJI HAYA MASHARTI YA AKILI ETC, HUU UTAPELI
 
Kwann ukimbilie advance unataka upige advance usepe.... Wanawake wa bongo kwa logistic ni balaa.

Nimejikuta kucheka tu#Miss Natafuta#
Yaani project kama hii itakosa advance Mkuu? Itakuwa haiko fair
 
Najua wengi mmechukizwa na mawazo ya mtoa mada ila sioni kama ni kitu kikubwa kama kaamua kufanya maamuzi yake binafsi kikubwa ambacho nimekiona ni wazo zuri sana kwake kwa kuwa kitu kimoja kinachosababisha wanaume motality rate yetu iongezeke ni stress zinazoletwa na hawa jinsia ke so ni maamuzi mazuri sana nitakuja kufanya hivyo pia ni swala cha muda tu.
 
Bora hata amzalie.
Anaweza pia beba mimba ya jamaa jingine na kumsingizia mhusika kuwa ni ya kwake.
Wanawake huwa hatuplan kuzaa nao Kama sio mkeo.
 
Fursa kwenu wadada wenye hitaji kama la jamaaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…